ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Sijawahi ona RC ambae muda wote anabishana na kuwa kwenye migogoro na Wawakilishi wa Wananchi badala ya kutatua Kero za watu.Pia soma Pre GE2025 - Ulega katika kikao kizito na Makonda na Mrisho Gambo, akituliza hali baada ya kurushiana maneno
Ikiwezekana Rais amuondoe huyo RC huko Arusha Kwa sababu inakuaje ni vibaya Kwa Mbunge kuibua ufisadi Hadi RC akasirike?
Soma hapa zaidi Pre GE2025 - Gambo: Mimi sio Mfanyakazi wa Serikali ni Mbunge, Makonda anahitaji kuelimishwa
View: https://x.com/Nipashetz/status/1894291786379432057?t=ZBK73YSBfxJzG4KpEVHTkQ&s=19
My Take
Inawezekana tatizo ni vita ya kupigania nafasi ya Kuwa Mbunge wa Arusha maana chawa wameshafunguka
👇👇
View: https://x.com/Jambotv_/status/1894079305904185447?t=0JNELBsD5uCSQYia129xsw&s=19
View: https://youtu.be/5_lMWZaEZ7E?feature=shared
Ikiwezekana Rais amuondoe huyo RC huko Arusha Kwa sababu inakuaje ni vibaya Kwa Mbunge kuibua ufisadi Hadi RC akasirike?
Soma hapa zaidi Pre GE2025 - Gambo: Mimi sio Mfanyakazi wa Serikali ni Mbunge, Makonda anahitaji kuelimishwa
View: https://x.com/Nipashetz/status/1894291786379432057?t=ZBK73YSBfxJzG4KpEVHTkQ&s=19
My Take
Inawezekana tatizo ni vita ya kupigania nafasi ya Kuwa Mbunge wa Arusha maana chawa wameshafunguka
👇👇
View: https://x.com/Jambotv_/status/1894079305904185447?t=0JNELBsD5uCSQYia129xsw&s=19
View: https://youtu.be/5_lMWZaEZ7E?feature=shared