Pre GE2025 Vita ya Ubunge Arusha mjini; Makonda amzuia Mkuu wa Wilaya kushiriki mikutano ya Mbunge Gambo

Pre GE2025 Vita ya Ubunge Arusha mjini; Makonda amzuia Mkuu wa Wilaya kushiriki mikutano ya Mbunge Gambo

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kwanza umeandika kwa kupotosha.Makonda ameagiza kwamba kama kuna upigaji ufanyike uchunguzi na waliofanya hivyo wachukuliwe hatua
Wewe ndio umeandika majungu kwa maslahi yako.Au wewe ndio Gambo mwenyewe unaogopa kivuli chako?Kama kuna upigaji uchunguzi utabainisha au kama ni majungu ukweli utajulikana.
Wacha majungu.
Mbunge ameibua ufisadi,Makonda na Watumishi wake walete majibu badala ya kuleta majungu Kwa Mbunge.
 
Mkuu declare interest wazi wazi kuwa wewe ni timu Gambo, kama siyo Gambo mwenyewe!
Taarifa yako iko too biased!
Sijawahi elewa kuelewa huyo RC wenu maana inaonekana hajui kazi za Mbunge na anadhani Mbunge akiibia ufisadi anamchongea yeye.

Kila siku nawaambia watu dizaini ya hiyo ni hovyo kama Mwendazake,wanamimi wanaweza wakati hawawezi ndio maana anatumia Nguvu kuficha uovu na udhaifu,mtu akiibua anaonekana adui.

Fuatilia ziara za Makonda akiwa Mwenezi au akiwa RC,malalamiko ya watu kote alikoenda ni upigaji na hujuma za awamu ya 5 kutoa na tabia hizo za kupenda sifa n kujionesha unaweza Kila kitu.
 
Mbunge ameibua ufisadi,Makonda na Watumishi wake walete majibu badala ya kuleta majungu Kwa Mbunge.
Inaelekea wewe ndio huelewi unachokisema.Gambo angekuwa ana nia nzuri na huo anaouita ufisadi angeanza kwenye vikao.Hashiriki vikao vya madiwani na RCC yeye akiwa mjumbe.
Ni vizuri sana kufichua ufisadi lakini ufisadi huwa unashughulikiwa na vyombo kama Takukuru na Polisi na hatimaye kupelekwa mahakamani kama ushahidi unakidhi vigezo vya sheria.
Kupayuka tu kwenye majukwaa hakusaidii ni dalili ya siasa za populism.Gambo hana anayepatana nae ni bingwa wa majungu na wivu.
Muda wake wa kuwa mbunge unaelekea ukingoni na hana mahusiano mazuri na madiwani na Chama anachokiwakilisha.Ogopa kiongozi asiyetaka vikao.
 
Inaelekea wewe ndio huelewi unachokisema.Gambo angekuwa ana nia nzuri na huo anaouita ufisadi angeanza kwenye vikao.Hashiriki vikao vya madiwani na RCC yeye akiwa mjumbe.
Ni vizuri sana kufichua ufisadi lakini ufisadi huwa unashughulikiwa na vyombo kama Takukuru na Polisi na hatimaye kupelekwa mahakamani kama ushahidi unakidhi vigezo vya sheria.
Kupayuka tu kwenye majukwaa hakusaidii ni dalili ya siasa za populism.Gambo hana anayepatana nae ni bingwa wa majungu na wivu.
Muda wake wa kuwa mbunge unaelekea ukingoni na hana mahusiano mazuri na madiwani na Chama anachokiwakilisha.Ogopa kiongozi asiyetaka vikao.
Naendelea kusisitiza wewe ni mjinga sana,Mbunge hawajibiki na vikao popote na hata vikao vya Halmashauri hupangwa na DED Kwa ratiba maalumu na ajenda maalumu.

Hivyo sio vikao vya kusema nani ameiba nani hajaiba.

Haya Sasa hao wanaokaa kwenye vikoba ndio wameiba Sasa pesa na Gambo amewaumbua Sasa wanatafutana,hawakuona kwenye vikao? Mbona wanaanza kuulizana kwenye makamera?

Nasisitiza wewe na Konda wako ni useless na mnapambana kufanya siasa badala ya kutatua shida za wananchi.

Makonda alikataliwa Kigamboni Kwa nini akavuruge Arusha? Watendaji wanaiba yeye anafanya nini?

Mwisho wakati Tundu Lisu anashuguu Mbowe Kwa wizi ilikuwa ni kwenye vikao? 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Naendelea kusisitiza wewe ni mjinga sana,Mbunge hawajibiki na vikao popote na hata vikao vya Halmashauri hupangwa na DED Kwa ratiba maalumu na ajenda maalumu.

Hivyo sio vikao vya kusema nani ameiba nani hajaiba.

Haya Sasa hao wanaokaa kwenye vikoba ndio wameiba Sasa pesa na Gambo amewaumbua Sasa wanatafutana,hawakuona kwenye vikao? Mbona wanaanza kuulizana kwenye makamera?

Nasisitiza wewe na Konda wako ni useless na mnapambana kufanya siasa badala ya kutatua shida za wananchi.

Makonda alikataliwa Kigamboni Kwa nini akavuruge Arusha? Watendaji wanaiba yeye anafanya nini?

Mwisho wakati Tundu Lisu anashuguu Mbowe Kwa wizi ilikuwa ni kwenye vikao? 🤣🤣🤣🤣🤣
Wewe ndio mjinga haswa.Na kama wewe sio Gambo basi ni chawa wake mahsusi.Mbunge ni mjumbe kwenye vikao vya madiwani na pia ni mjumbe kwenye RCC. Kama kweli wewe Gambo wanabee ni mkweli kitu gani kilikufanya uvue joho na kukimbia kikao Mheshimiwa Makonda alipoingia kwenye kikao?
Gambo kazoea majungu na ndio mkwamishaji wa ujenzi wa Soko na Stendi Kuu kwenye Jiji la Arusha.Muda wa majungu na siasa za majitaka hamna hapa Arusha.
Ndio sababu madiwani wote wanampinga.Huwezi kuwa na bifu na madiwani 25 bila sababu.
Ogopa kiongozi anayeogopa vikao.
Hoja ya Tundu Lissu ni kwenye kampeni alikuwa na sababu ya kusema alichosema.Gambo anafanya kampeni na nani?Au ndio kuogopa kivuli?Hana pa kukimbilia labda ahame Chama Ila kwa Arusha ameshachoma kibanda.
 
Sijawahi ona RC ambae muda wote anabishana na kuwa kwenye migogoro na Wawakilishi wa Wananchi badala ya kutatua Kero za watu.Pia soma Pre GE2025 - Ulega katika kikao kizito na Makonda na Mrisho Gambo, akituliza hali baada ya kurushiana maneno

Ikiwezekana Rais amuondoe huyo RC huko Arusha Kwa sababu inakuaje ni vibaya Kwa Mbunge kuibua ufisadi Hadi RC akasirike?

Soma hapa zaidi Pre GE2025 - Gambo: Mimi sio Mfanyakazi wa Serikali ni Mbunge, Makonda anahitaji kuelimishwa

View: https://x.com/Nipashetz/status/1894291786379432057?t=ZBK73YSBfxJzG4KpEVHTkQ&s=19

My Take
Inawezekana tatizo ni vita ya kupigania nafasi ya Kuwa Mbunge wa Arusha maana chawa wameshafunguka
👇👇

View: https://x.com/Jambotv_/status/1894079305904185447?t=0JNELBsD5uCSQYia129xsw&s=19

View: https://youtu.be/5_lMWZaEZ7E?feature=shared

Gambo amchana Makonda live 😂😂👇👇

View: https://www.instagram.com/reel/DGgHY9YTG0B/?igsh=MTRtYTEyM2QyNjJiYg==
 
Huyu mjinga amejichongea.Hana support ya wananchi hapa Arusha wala ya Chama.Anajipapatua tu.Afurahie pensheni yake ya Ubunge. Hajui wakati gani aseme na wakati gani akae kimya.Makonda akiamua kugombea Gambo hana nafasi yeyote ya kuteuliwa na Chama.Hana popular support ya wananchi wa Jimbo la Arusha wala ya CCM mkoani na wilayani.
 
Huyu mjinga amejichongea.Hana support ya wananchi hapa Arusha wala ya Chama.Anajipapatua tu.Afurahie pensheni yake ya Ubunge. Hajui wakati gani aseme na wakati gani akae kimya.Makonda akiamua kugombea Gambo hana nafasi yeyote ya kuteuliwa na Chama.Hana popular support ya wananchi wa Jimbo la Arusha wala ya CCM mkoani na wilayani.
Sawa chawa wa Bashite naona baada a Kujiliza barazani umekuja kukomaa huku 😂😂👇👇

View: https://www.instagram.com/reel/DGkwR4LSZZk/?igsh=ZThtaDNtcHB3dzU1
 
Back
Top Bottom