JUA ni Kali Sana
JF-Expert Member
- Feb 7, 2025
- 1,202
- 1,543
Makonda ni mharibifu
Sijawahi ona RC ambae mda wote anabishana na kuwa kwenye migogoro na Wawakilishi wa Wananchi badala ya kutatua Kero za watu.
Ikiwezekana Rais amuondoe huyo RC huko Arusha 👇 👇
View: https://youtu.be/HUnmSDs_z5A?feature=shared
My Take
Inawezekana tatizo ni vita ya kupigania nafasi ya Kuwa Mbunge wa Arusha maana chawa wameshafunguka 👇👇
View: https://youtu.be/5_lMWZaEZ7E?feature=shared
