Vita ya Ukraine na kisasi cha USA kwa Urusi

Russia bila Nuke hata sisi tunaruka nae...mamaee[emoji53]
 
Marekani huwa anaonea nchi ambazo hazina nguvu lakini NK ananuclear na ICBM ambazo zinaweza kufika mpaka Marekani.hawezi kugusa nchi yenye nuclear.
KIM kiande kama kiande wengine Huyo alishaambiwa ukijisikia unataka upotee au ubaki kwenye historia rusha hayo maroketi Yako popote unapotaka kwenye maslahi ya USA....utakutana na moto ambao Toka Dunia iumbwe haujawahi kushuhudiwa....mpaka Leo anaishia kurusha juu TU...
Soma hapa au msikilize JAMES MATTIS
[emoji116][emoji116]
 
Ndugu yangu unadhani kwa nini Russia anatumia s300 tu kwenye hii vita.??

Unadhani kwanini anapeleka magari ya zamani mengine mpaka yanakwama njiani sababu matairi chakavu.?

Unadhani kwanini hajapeleka ndege zake flagship yoyote anatumia za zamani.?

Anajua fika ni kosa NATO Kujua uwezo wa siraha zake za siri anazozitegemea na ndiyo kinachomsumbua..

Kwa kejeli wamazoongea NATO angekuwa ashapeleka midege ya hatari ule mwanzo wa vita kabla NATO hawajaingilia..

Tafuta Moskva iliyozamishwa mwanzo imeundwa mwakani alafu tafuta meli ya mwisho ya hatari RUSSIA kuiunda ni mwaka gani ndiyo utajua nachosema..
 
Mkuu wewe Ni nabii?
 
Warusi wa kinondoni Moscow hamuishiwi maneno.Hasara yote aliyopata Urusi,ya vifaa na wanajeshi waliokufa,Bado tu mnakuja na ngojera zingine?🤔
 
... umedadavua kwa upeo wa hali ya juu sana; professorial level! Sidhani kama marusi ya Buza yataelewa lolote!
Hawawezi kuelewa zaidi wameelekeza ubongo kwenye kukata suruali na kuvaa kobasi/kobazi
 
Ni rahisi kutamka lakini kufanikiwa kwake kunagharimu maelfu ya maisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…