kina kirefu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2018
- 15,188
- 18,583
Mhurumieni ndo kujitaidi kwenyewe kajitaidi kuonyesha ujinga wake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Russia bana Hadi rahaHuu ni Mtazamo wangu TU.
Katika vita zote kuna harakati kubwa mno nje na ndani ya uwanja vita,ambazo wanaopigana Kila mmoja hufanya ili kurahisisha kutaka kushinda vita.Harakati hizo ni Ujasusi.
Watu wengi wamekua wakitoa maneno mbalimbali ya dharau na mashaka juu ya uwezo wa Kijasusi wa Urusi.
Mashaka Yao ni kwamba Urusi ni dhaifu sana kwa ujasusi,kua iliidharau sana Ukraine na hivyo oparesheni imechukua mda mrefu.
Mtazamo wangu.
Namba hua hazidanganyi.
Kwa Mtazamo wangu Urusi ndio nchi yenye taasisi imara na Bora kabisa Dunia kwa Sasa na hata zamani.
Nasema hivi kwa sababu Jumuiya ya Ujasusi katika vita hii inapambana na umoja wa jumuiya za Ujasusi wa nchi za NATO zote na zaidi.
Kwa mfano kama NATO Ina nchi 30 basi ongeza na nchi kama Majasusi wa nchi rafiki wa NATO ambao sio Wanachama wa NATO.mfano Israel, Japan, Australia,Finland,Sweden n.k
Kwa hiyo utaona kwa Hali ya kawaida Majasusi wa nchi za west kama USA,UK,German,Franc,Canada,Poland, Turkey,Italy,Ukraine n.k ni moja ya majasusi Bora kabisa hapa duniani.
Sasa kwa Hali halisi tulitegemea kwa uwingi wao na ubora wao wangekua wameshafanya madhara makubwa sana kwa Russia,lakini wapi,na kinyume chake Urusi amefanikiwa kuwadhibiti kwa kiwango kikubwa sana.
Kama nilivyosema hapo juu kua namba haizdanganyi,Kijasusi Urusi Iko peke yake,lakini upande wa pili Kuna jumuiya za Kijasusi zaidi ya 30 lakini wote Urusi kawadhibiti.
Ukweli ni kwamba Ukraine ilishashindwa siku nyingi,lakini angalau bado inafurukuta kwa msaada wa Ujasusi kutoka nchi za Magharibi.
Ingawa kwa uchache lakini hata haya mafanikio madogo ya kupambana anayoyapata Ukraine ni kwa msaada wa Akina CIA ,MI6 na ujasusi wa nchi nyingine za NATO.
Watu wengi tunafahamu nguvu ya taarifa za Kijasusi katika medani za vita.
Ama ujasusi wa kijeshi,ama wa kiraia ama ujasusi wa vifaa,lakini una msaada mkubwa mno katika vita.
Mfano ukiondoa Marekani na Uingereza kuwa ziko vizuri katika ujasusi wa watu "human intelligence",lakini pia ziko juu sana katika ujasusi wa vifaa pia "Artificial Intelligence".
Na Hawa ndio wamekua mstari wa mbele kuwapa taarifa muhimu Ukraine juu ya mienendo na mipango ya majeshi ya Russia.
Lakini pamoja na msaada mkubwa mno Ukraine inaoupata kutoka jumuiya ya Ujasusi kutoka nchi zaidi ya 30 lakini majasusi wa Urusi peke yake wameweza kuwadhibiti majasusi wote wa NATO Hadi dakika hii.
Hivyo kwa Hali hii tunaweza kuona kua Urusi Kijasusi Iko imara kiasi Gani kwa uwezo wake wa kupambana na nchi zaidi ya 30 Kijasusi na yenyewe ikiwa peke yake.
Vita na vikwazo.
Kabla ya operation kuanza,west n Mashabiki wake walisema Urusi haiwezi kupigana hata kwa wiki moja kwa sababu ni maskini na Ina uchumi dhaifu au mdogo.
Nadhani pengine haya pia yalitokana na taarifa za majasusi wa NATO .
Mbali na kuwa na uchumi mdogo kwa maoni Yao poa wakamuongezea Urusi vikwazo vya kiuchumi na vikwazo vingine vuipya ambavyo havijawahi kutokea mahali popote Duniani ili kuidhoofisha haraka Urusi ambayo wao wanaiona Ina uchumi mdogo ili iwe rahisi kuishinda kijeshi kwa kuendelea kuipa msaada Ukraine wowote inao utaka.
Lakini kinyume chake ni kuwa matokea yamekua kinyume na mataeajio Yao,hapa pengine huenda majasusi wao walipiga hesabu zao vibaya.
Kwani vikwazo vianawaumiza zaidi wao kuliko Urusi.
Ukweli ni kwamba Sio kua vikwazo havimuumizi Urusi,lakini vinawaumiza na wao pia,Tena zaidi.
Hapa pia inawezekana nguvu ya Ujasusi wa Urusi huenda ilifanya kazi yake vizuri.
Pengine ilishauri kuwa tuyawekewa vikwazo vyote na kwa sababu hiyo tutengeneze namna Bora ya kukabiliana na vikwazo.
Ndio maana utaona Kila siku Ruble inapanda thamani ,pia kuhakikisha madhara ya vikwazo yanawaumiza na wao zaidi.
Majeshi.
Dunia kwa miaka mingi haikua inajua nguvu za kijeshi za Urusi.watu wengi wanajua kuwa Marekani ndio nchi pekee yenye Nguvu,italaloamua hakuna wa kupinga.
Kibaya zaidi muungano wao wa NATO kua ndio muungano wa kijeshi mkubwa zaidi wa kijeshi hapa Duniani ambao hakuna wa kuuzuia wala kushindana nao.
Kwamba ndio muungano wa kijeshi wa nchi matajiri zaidi duniani.
Sasa ajabu jingine Tena ni kwamba kwa Mtazamo wa watu wengi ni kwamba Urusi hawezi kukabiliana na umoja huu wa matajiri.
Lakini pia kinyume chake ni kua Wameonesha kutokua tayari kukabiliana moja kwa moja kijeshi dhidi ya Urusi ambayo propaganda za west zinaitangaza kama masikini.
Lakini ukweli sio masikini, na Sasa Dunia imejua kua Urusi sio masikini ,Bali ni taifa linalotegemewa na Ulaya yote.
NATO,USA ama UK ama France kwa nyakati tofauti zimekua na tabia ya kujiingiza kijeshi kuzipiga nchi nyingine kwa madai ama sababu mbalimbali.
Kwa uwezo wa kijeshi ambao tunaambiwa wanao nchi za west hasa USA na NATO na kwa jinsi wanavyoonekana,kuwa na jazba,hasira,ghadhabu na kukerwa na Op ya Urusi dhidi ya Ukraine na kwa desturi Yao tulitegemea tuone wameingiza majeshi kukabiliana na Urusi ambayo walituaminisha kuwa ni dhaifu dhidi Yao kijeshi,uchumi mdogo na haiwezi kupigana kwa wiki moja,ilibkuipiga Urusi na kumaliza huu mdororo wa uchumi.
Kinyume chake wameiogopa Urusi.
Waliweza kufanya hivyo kwa nchi nyingine hawajafanya kwa Urusi.
Tusubiri labda wanasubiri kwanza Urusi idhoofike.
Baada ya vita hii mambo mengi sana yatabadirika.
Kama Kuna nchi zimeanza kufanya biashara kwa kutumia sarafu zao ama za nchi nyingine badala ya Dola Hali hii sio nzuri kwa USA.
Finland na Sweden huenda wakajiunga na NATO,huenda Urusi ikapeleka silaha Kali Cuba, Venezuela,mexico au nchi nyingine za Latin au south Amerika.
Kama Urusi akishinda vita Kuna nchi zitaachana na utegemezi kwa USA ,na huenda. Urusi ikapata wafuasi wengi zaidi kwa uwazi kwa kua na uhakika wa ulinzi na uhuru wa kujiamlia mambo Yao.
Huu Mtazamo binafsi.
We jamaa ni muongo wa karnekwa mara ya kwanza nineskia superpawa anashambuliwa ndani ya nchi yake kijeshi tena zaid ya mara moja ndan ya mwezi waukraine wana ingia na kutoka salama na ndege za kivita. had karibu na moscow
supa pawa wa Nyoko russia.
yan hata india huezi kushambulia hivo kijeshi ukatoka.
Namwenye nchi yake anasema hv sasa tumuamini nani hapa!!!??Natamani usome makala hii kwa makini maana unaendelea kumpigia chapua Putin wakati analysts wanabainisha kuwa ameshindwa vibaya
American spy agencies review their misses on Ukraine, Russia
By NOMAAN MERCHANT and MATTHEW LEE, Associated Press - Saturday
WASHINGTON (AP) — The question was posed in a private briefing to U.S. intelligence officials weeks before Russia launched its invasion in late February: Was Ukraine’s leader, Volodymyr Zelenskyy, made in the mold of Britain’s Winston Churchill or Afghanistan’s Ashraf Ghani?
In other words, would Zelenskyy lead a historic resistance or flee while his government collapsed?
[emoji2398] Provided by Associated PressFILE - Director of National Intelligence Avril Haines testifies during a Senate Armed Services hearing to examine worldwide threats on Capitol Hill in Washington, May 10, 2022. Haines told lawmakers recently that intelligence officials will review how they assess a foreign government's will to fight and capacity to fight. (AP Photo/Jose Luis Magana, File)
Ultimately, U.S. intelligence agencies underestimated Zelenskyy and Ukraine while overestimating Russia and its president, even as they accurately predicted Vladimir Putin would order an invasion.
But Kyiv, Ukraine's capital, did not fall in a few days, as the the United States had expected. And while American spy agencies have been credited with supporting Ukraine's resistance, they now face bipartisan pressure to review what they got wrong beforehand — especially after their mistakes in judging Afghanistan last year.
Intelligence officials have begun a review of how their agencies judge the will and ability of foreign governments to fight. The review is taking place while U.S. intelligence continues to have a critical role in Ukraine and as the White House ramps up weapons deliveries and support to Ukraine, trying to predict what Putin might see as escalatory and seeking to avoid a direct war with Russia.
[emoji2398] Provided by Associated PressFILE - Director of National Intelligence Avril Haines and DIA Director Lt. General Scott Berrier appear during a Senate Armed Services hearing to examine worldwide threats on Capitol Hill in Washington, May 10, 2022. aines told lawmakers recently that intelligence officials will review how they assess a foreign government's will to fight and capacity to fight. (AP Photo/Jose Luis Magana, File)
President Joe Biden's administration announced it would give Ukraine a small number of high-tech, medium-range rocket systems, a weapon that Ukraine has long wanted. Since the war began on Feb. 24, the White House has approved shipping drones, anti-tank and anti-aircraft systems, and millions of rounds of ammunition. The U.S. has lifted early restrictions on intelligence-sharing to provide information that Ukraine has used to strike critical targets, including the flagship of the Russian navy.
![]()
Ukweli ndio huo na western wote wanalijua Hilo Hadi Sasa,ila wale wenzangu na mie waliolishwa propaganda za west na wakashiba hawataki hata kukubali kama mrusi Alisha jimegea pande no na amewaahidi kuendeleza mbali zaidi kutokana na misaada uchwara ya west.🚶Huu ni Mtazamo wangu TU.
Katika vita zote kuna harakati kubwa mno nje na ndani ya uwanja vita,ambazo wanaopigana Kila mmoja hufanya ili kurahisisha kutaka kushinda vita.Harakati hizo ni Ujasusi.
Watu wengi wamekua wakitoa maneno mbalimbali ya dharau na mashaka juu ya uwezo wa Kijasusi wa Urusi.
Mashaka Yao ni kwamba Urusi ni dhaifu sana kwa ujasusi,kua iliidharau sana Ukraine na hivyo oparesheni imechukua mda mrefu.
Mtazamo wangu.
Namba hua hazidanganyi.
Kwa Mtazamo wangu Urusi ndio nchi yenye taasisi imara na Bora kabisa Dunia kwa Sasa na hata zamani.
Nasema hivi kwa sababu Jumuiya ya Ujasusi katika vita hii inapambana na umoja wa jumuiya za Ujasusi wa nchi za NATO zote na zaidi.
Kwa mfano kama NATO Ina nchi 30 basi ongeza na nchi kama Majasusi wa nchi rafiki wa NATO ambao sio Wanachama wa NATO.mfano Israel, Japan, Australia,Finland,Sweden n.k
Kwa hiyo utaona kwa Hali ya kawaida Majasusi wa nchi za west kama USA,UK,German,Franc,Canada,Poland, Turkey,Italy,Ukraine n.k ni moja ya majasusi Bora kabisa hapa duniani.
Sasa kwa Hali halisi tulitegemea kwa uwingi wao na ubora wao wangekua wameshafanya madhara makubwa sana kwa Russia,lakini wapi,na kinyume chake Urusi amefanikiwa kuwadhibiti kwa kiwango kikubwa sana.
Kama nilivyosema hapo juu kua namba haizdanganyi,Kijasusi Urusi Iko peke yake,lakini upande wa pili Kuna jumuiya za Kijasusi zaidi ya 30 lakini wote Urusi kawadhibiti.
Ukweli ni kwamba Ukraine ilishashindwa siku nyingi,lakini angalau bado inafurukuta kwa msaada wa Ujasusi kutoka nchi za Magharibi.
Ingawa kwa uchache lakini hata haya mafanikio madogo ya kupambana anayoyapata Ukraine ni kwa msaada wa Akina CIA ,MI6 na ujasusi wa nchi nyingine za NATO.
Watu wengi tunafahamu nguvu ya taarifa za Kijasusi katika medani za vita.
Ama ujasusi wa kijeshi,ama wa kiraia ama ujasusi wa vifaa,lakini una msaada mkubwa mno katika vita.
Mfano ukiondoa Marekani na Uingereza kuwa ziko vizuri katika ujasusi wa watu "human intelligence",lakini pia ziko juu sana katika ujasusi wa vifaa pia "Artificial Intelligence".
Na Hawa ndio wamekua mstari wa mbele kuwapa taarifa muhimu Ukraine juu ya mienendo na mipango ya majeshi ya Russia.
Lakini pamoja na msaada mkubwa mno Ukraine inaoupata kutoka jumuiya ya Ujasusi kutoka nchi zaidi ya 30 lakini majasusi wa Urusi peke yake wameweza kuwadhibiti majasusi wote wa NATO Hadi dakika hii.
Hivyo kwa Hali hii tunaweza kuona kua Urusi Kijasusi Iko imara kiasi Gani kwa uwezo wake wa kupambana na nchi zaidi ya 30 Kijasusi na yenyewe ikiwa peke yake.
Vita na vikwazo.
Kabla ya operation kuanza,west n Mashabiki wake walisema Urusi haiwezi kupigana hata kwa wiki moja kwa sababu ni maskini na Ina uchumi dhaifu au mdogo.
Nadhani pengine haya pia yalitokana na taarifa za majasusi wa NATO .
Mbali na kuwa na uchumi mdogo kwa maoni Yao poa wakamuongezea Urusi vikwazo vya kiuchumi na vikwazo vingine vuipya ambavyo havijawahi kutokea mahali popote Duniani ili kuidhoofisha haraka Urusi ambayo wao wanaiona Ina uchumi mdogo ili iwe rahisi kuishinda kijeshi kwa kuendelea kuipa msaada Ukraine wowote inao utaka.
Lakini kinyume chake ni kuwa matokea yamekua kinyume na mataeajio Yao,hapa pengine huenda majasusi wao walipiga hesabu zao vibaya.
Kwani vikwazo vianawaumiza zaidi wao kuliko Urusi.
Ukweli ni kwamba Sio kua vikwazo havimuumizi Urusi,lakini vinawaumiza na wao pia,Tena zaidi.
Hapa pia inawezekana nguvu ya Ujasusi wa Urusi huenda ilifanya kazi yake vizuri.
Pengine ilishauri kuwa tuyawekewa vikwazo vyote na kwa sababu hiyo tutengeneze namna Bora ya kukabiliana na vikwazo.
Ndio maana utaona Kila siku Ruble inapanda thamani ,pia kuhakikisha madhara ya vikwazo yanawaumiza na wao zaidi.
Majeshi.
Dunia kwa miaka mingi haikua inajua nguvu za kijeshi za Urusi.watu wengi wanajua kuwa Marekani ndio nchi pekee yenye Nguvu,italaloamua hakuna wa kupinga.
Kibaya zaidi muungano wao wa NATO kua ndio muungano wa kijeshi mkubwa zaidi wa kijeshi hapa Duniani ambao hakuna wa kuuzuia wala kushindana nao.
Kwamba ndio muungano wa kijeshi wa nchi matajiri zaidi duniani.
Sasa ajabu jingine Tena ni kwamba kwa Mtazamo wa watu wengi ni kwamba Urusi hawezi kukabiliana na umoja huu wa matajiri.
Lakini pia kinyume chake ni kua Wameonesha kutokua tayari kukabiliana moja kwa moja kijeshi dhidi ya Urusi ambayo propaganda za west zinaitangaza kama masikini.
Lakini ukweli sio masikini, na Sasa Dunia imejua kua Urusi sio masikini ,Bali ni taifa linalotegemewa na Ulaya yote.
NATO,USA ama UK ama France kwa nyakati tofauti zimekua na tabia ya kujiingiza kijeshi kuzipiga nchi nyingine kwa madai ama sababu mbalimbali.
Kwa uwezo wa kijeshi ambao tunaambiwa wanao nchi za west hasa USA na NATO na kwa jinsi wanavyoonekana,kuwa na jazba,hasira,ghadhabu na kukerwa na Op ya Urusi dhidi ya Ukraine na kwa desturi Yao tulitegemea tuone wameingiza majeshi kukabiliana na Urusi ambayo walituaminisha kuwa ni dhaifu dhidi Yao kijeshi,uchumi mdogo na haiwezi kupigana kwa wiki moja,ilibkuipiga Urusi na kumaliza huu mdororo wa uchumi.
Kinyume chake wameiogopa Urusi.
Waliweza kufanya hivyo kwa nchi nyingine hawajafanya kwa Urusi.
Tusubiri labda wanasubiri kwanza Urusi idhoofike.
Baada ya vita hii mambo mengi sana yatabadirika.
Kama Kuna nchi zimeanza kufanya biashara kwa kutumia sarafu zao ama za nchi nyingine badala ya Dola Hali hii sio nzuri kwa USA.
Finland na Sweden huenda wakajiunga na NATO,huenda Urusi ikapeleka silaha Kali Cuba, Venezuela,mexico au nchi nyingine za Latin au south Amerika.
Kama Urusi akishinda vita Kuna nchi zitaachana na utegemezi kwa USA ,na huenda. Urusi ikapata wafuasi wengi zaidi kwa uwazi kwa kua na uhakika wa ulinzi na uhuru wa kujiamlia mambo Yao.
Huu Mtazamo binafsi.
Endelea kuota, anayesema ameua majenerali wa urusi ni huyo Ukraine anaepokea kipondo kila siku. Baada ya kuzidiwa anakuja na hoja za kuua majenerali wa urusi ili ku'boost' morale ya Askari. Yet hiyo haijasaidia, ila mu- Ukraine wa Namtumbo anaamini na anaichukulia hiyo propaganda kuwa ndo uhalisia. Can't you reason for the authenticity of the source of your information?!!! Kwahiyo Leo Ukraine wakipost wameua Askari laki moja wa urusi utaamini?We una ujasusi mzuri unapoteza magenerali wa vita zaidi ya 10 ndani ya miezi 3.
ile vita dhidi ya Ugaidi Marekani ilijilipua ili ipate kuingia Middle East kirahisi kufuata visima vya mafuta na kuanzisha vituo sabab ya potential strategic kwnye hyo region
Zipo makala nyingi zinathibitisha hilo pia Maafisa wa Iran walishasemaga hilo tena kwnye Baraza la UN
Kitisho Cha Urusi ni Nukes tu basi Hana intelligence ya maana ukiacha na udikteta na propaganda nyingi
Hivi kweli warusi wakitaka kumua zeleboy watashindwa?Zelensky kumuua ni ngumu kwa sababu analindwa na Majasusi wengi sana wa NATO,USA wanampa taarifa Kila siku kua anaviziwa sana.
USA iliwachukua miaka karibu nane kumuua Bin laden.
Hata hivyo hatujui mipanga ya Urusi kama ni kumuua..
Pia kupiga. Makombora Kiyev ikulu pengine sio mpango wa Urusi.
Hujuma zinazoendelea za kuunguza mioto ni Ugaidi na Ugaidi hauna macho.
Alqaida Waliteka ndege nne ndani ya USA ,wakalipia makao makuu ya jeshi la Marekani na kuua wanajeshi wengi TU.
Wakabamiza ndege katika majengo marefu zaidi duniani ya kibiashara.WTC.
Hayo yalifanyika ndani ya Ardhi ya Marekani kwenye ardhi ya CIA
Acha hasira ndugu, huo NI mtazamo wake binafsiUtterly nonsense.......kama wana ujasusi wa kudhibiti Magharibi mipango ya kumuua au assassinate attempt kwa Zelensky hata kwa kupiga tu Makombora mpaka ikulu Kyiv imeshindikana nini? Amalize vita
Hivi usikii hata hujuma za tasisi zake nyeti za ndani zinavyohujumiwa na moto hasa zile nyeti za Teknolojia Viwanda vya Kemikali n.k
Utterly nonsense