Vita ya Vinywaji...

mi binafsi k vamt sijawahi kuielewa kila nikinywa sipati nachokitaka kaabisa na nisipo kunywa konyagi sina amani kabisa ndani ya moyo yani najiona nimepoteza hela za bure tuu!
 
Hawa jamaa kuna sehemu wanakosea.
Tatizo lao kubwa ni distribution!! Hawana wasambazaji
 
Shida ya k vant wakuu inakata memory yote ukizima asubh hukubuki kilicho jiri jana zaidi ya kukumbuka mlango ulioingia pindi hujaanza kufyonza
Hahaahaaa.....[emoji12] [emoji12] [emoji23] [emoji23]
Mkuu, bora uhamie huku kwenye...[emoji39] [emoji39]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…