Vita ya Vinywaji...

tofauti na soda ni kinywaji kipi kingine naweza kuchanganya na k vant au konyagi ili nisihisi ile harufu?? ile harufu ya nyagi na k vant huwa inanipa shida sana
 
Aisee hiyo makitu siku hizi sijui kwanini hawayatengenezi. Hayo madude ulikuwa ukiyapiga matano lazima uimbe kwaya baa...
tofauti na soda ni kinywaji kipi kingine naweza kuchanganya na k vant au konyagi ili nisihisi ile harufu?? ile harufu ya nyagi na k vant huwa inanipa shida sana
daily fresh milk inakuwa nzuri sana
 
tofauti na soda ni kinywaji kipi kingine naweza kuchanganya na k vant au konyagi ili nisihisi ile harufu?? ile harufu ya nyagi na k vant huwa inanipa shida sana
Weka kipande cha limao kiongozi
 
NDIO, HATA UKIPATA AZAM MILK SIYO MBAYA ILA YASIWE YA KUTOKA KUKAMULIWA KWA NG'OMBE! JARIBU UTAONA ILA KULEWA KUPO PALE PALE USIDHANI MAZIWA YATAZUIA. HAPANA!!!
We jamaa acha kumwingiza mwenzio chaka bhana
 
Babuuu asprin kumbe huvumi lkn umooo mzee mwenzio yuko wapi cc@Daby
 
K vant + safariπŸ™‚πŸ™‚
SI tumezoea Sana k VANT plus mo energy japo nasikia Ni sumu tunatengeneza..mtaan Kuna wakemia wakuu kazi Yao ku mix hizi mambo juzi wakaleta k VANT na hio sijui Inaitwa blue magic sijui blue moment asee ilikuwanga sho sho
 
Safari ni safari. Iwe mchana au usku safari ni safari..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…