Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Muda ule ule ambao mtu anaupoteza sasa kwenye mambo yasiyo ya msingi, kwa kuzurura kwenye mitandao ya kijamii na kufuatilia udaku, akiupeleka kwenye kusoma vitabu atapiga hatua zaidi.huo muda unasoma vitabu 50 ukiutumia kufanya biashara kwa bidii au kazi kwa bidii utafika mbali sana. mwisho wa mwaka nitakuwa na hela nyingi wewe utakuwa na story nyingi kichwani
Kuna aina mbili za waandishi inapokuja kwenye uandishi wa mambo ya hamasa.Kitu ambacho hua najiuliza n Hawa wanaotuandikia ivi vitabu vya kutu motivate kwanini Misha yao hayaendani na wanavyoviongea Yana wakupamba kwa mafanikio makubwa ambayo wao hawana
Au ndio ule msemo wa mganga hajigangi
Karibu sana
Hujaeleweka vizuri mkuu, tatizo lako ni nini na Plato ameingiaje hapa?Siamini katika kusoma vitabu ni kupotosha una msoma pilato wapi na wapi
Ni kweli kabisa, usomaji wa vitabu haupaswi kuwa mbadala wa kuchukua hatua.waandishi wa vitabu wenyewe wanajikwamua na ugumu wa maisha, na vizur kusoma vitabu ila sio kupoteza muda mwingi wa kukesha badala ya kufanya kazi kwa bidii,maan theory sio kitu bila practical
Mkuu vitabu vinavyohusu hamasa na mafanikio ni vingi mno, waandishi ni wengi mno, na vitabu vya Kiyosaki na wengine nimevichambua kwenye mafunzo mengine ninayotoa.Unawezaje Kuchambua Vitabu 50 vya hamasa za kibiashara na ukakosa Kitabu hata kimoja cha Robert Kiyosaki? Muwe serious bas, au huwa hamuelewi anacho andika?
Sipingi swala la usomaji wa vitabu ila najiuliza kwa sauti kubwa! Ikiwa hao wandishi wa ivyo vitabu wana mbinu na njia mbali mbali ambazo mtu akizitumia anatoboa maisha! anapasua au tuseme anatusua , kwanini wanaviuza ivyo vitabu wanaviuza ili iweje ikiwa wao wanazijua njia zote za kufanya ili mtu atusue kwanini bado wanataka uyu mtu asiye na kitu apoteze tena ela yake kwa kununua icho kitabu chake?Karibuni mjipatie vitabu vya kuongeza maarifa na kuweza kupiga hatua zaidi kwenye chochote kile ambacho mtu unafanya.
Maarifa ni uwekezaji, maarifa ni gharama.Sipingi swala la usomaji wa vitabu ila najiuliza kwa sauti kubwa! Ikiwa hao wandishi wa ivyo vitabu wana mbinu na njia mbali mbali ambazo mtu akizitumia anatoboa maisha! anapasua au tuseme anatusua , kwanini wanaviuza ivyo vitabu wanaviuza ili iweje ikiwa wao wanazijua njia zote za kufanya ili mtu atusue kwanini bado wanataka uyu mtu asiye na kitu apoteze tena ela yake kwa kununua icho kitabu chake?
Hongera sana kwa kusoma kitabu hicho bora kabisa chenye kanuni zote muhimu za mafanikio.Daktari, nilisoma kitabu cha Think and grow rich,tena nilikinunua kwa elfu 5(5,000) Ubungo mataa, kuna jamaa kapanga tu vitabu vizee chini katikati ya kingo zitenganishazo Barabara iendayo mjini na Morogoro 2012 ! Kwasababu ya kingereza nikapenda, just think and grow rich! Kwa dhati kimenibadili! Nikaamua ujasiriamali, nikawa mbishi kama usemavyo, nikakomaa! Nikajijengea imani, siyo kufuata dini kama usemavyo,kuwa bold na halafu Mungu anasaidia. Gharama ya kitabu chako?