doctor of philosophy
Member
- Jul 20, 2024
- 42
- 98
Hata mimi nimesoma hicho hicho cha Nyerere tujisahihishe by J.K.Nyerere na walking to freedom by N.MandelaMimi nimesoma kitabu kimoja tu Tujisahihishe cha mwalimu Nyerere. Ccm nawashauri kuelekea uchaguzi mkuu kasomeni kile kitabu
kuna hadi hichi cha utongozaji😂
Kijana soon utakuwa tapeli na mlaghai 😂😂.kuna hadi hichi cha utongozaji😂
watu wanasifia vitabu ila vina upotoshaji sana
Nina ratiba ya kusoma page 25 asubuh ninapoenda job na page 25 ninaporudi job yaani kwa siku maximum 50 pages na kama nikipata muda wa ziada inakuwa zaidi ya hapo kwa siku maana sio mdau sana wa mitandao ya kijamii ambayo wengi inawapotezea mda mimi natumia WhatsApp Twitter na jamii forum baaasi tena mara moja moja sana jamii forum ndio natumia mda mwingi sana na chochote ninachofanya kabla sijaanza lazima nitumie saaa kuangalia mda ili nijue ni mda gani natumia kwenye kitu flani hata kama ni kazi nafanya lazima niangalie mda nijue nimetumia mda kukamilishaMkuu embu tuambie namna unavyofanya kusoma vitabu vyote? Je ni ukiwa nyumbani tu au kazini au safarini na mazingira gani kukamilisha kazi hiyo?
Binafsi nimesoma:
1. The Snows of Kilimanjaro ni kama Novel
2. Unlock her legs
Hahahahahhaah.kuna hadi hichi cha utongozaji😂
watu wanasifia vitabu ila vina upotoshaji sana
😆😆😆1. whose legs were you trying to unlock2. Unlock her legs
Safi sanaHata mimi nimesoma hicho hicho cha Nyerere tujisahihishe by J.K.Nyerere na walking to freedom by N.Mandela
Mkuu naomba hicho cha don't believe anything you thinkHabari za mchana wakuu,
Ikiwaa tunaelekea mwisho wa mwaka 2024 huku wengine wakiwa njiani kuelekea nyumbani kwa ndugu jamaa na marafiki kwa ajili ya mapumziko ya Christmas na mwaka mpya yanayoanza kesho nawatakia safari njema mungu awalinde.
Mimi ni miongoni mwa watu ambao, nipo addicted na kusoma vitabu, yaani nina hangover nisiposoma kitabu kwa siku napenda kusoma vitabu kusoma vitabu ni miongoni mwa hobby yangu namba moja kwenye maisha yangu.
Leo ningependa ku share na nyinyi baadhi ya vitabu nilivyosoma kama ifuatavyo:
1.The diary of a CEO BY (STEVEN BARTLETT)
2.Think like billionaire become billionaire BY SCOT ANDERSON
3.The big picture BY BEN CARSON
4.Take the risk BY BEN CARSON
5.The road ahead BY BILL GATES
6.The joy of sex BY DR.ALEX COMFORT
7.Ego is the enemy BY RYAN HOLIDAYS
8.what is everybody is say BY JOE NAVARRO
9.Emotional intelligence BY DANIEL COLEMAN
10.Understanding your potential BY MYLES MUNROE
11.Non violent communication BY MARSHALL ROSENBERG
12.Body language BY ALLAN PEASE
13.Crucial conversation BY KERRY PETERSON, JOSEPH GREEN, RON MC MILLAN AND SWITZLER
14.The leader who had no title BY ROBIN SHARMA
15.Start with why BY SIMON SINEK
16.The happiness trap BY RUSS HARRIS
17.The courage to be disliked BY ICHIRO KISHIMI AND FUMITAKE KOGA
18.44 Ideas for better conversation everyday BY MIKAEL KROGERUS AND ROMAN TSCHAPPLER
19.The 21–irrefutable laws of leadership BY JOHN C. MAXWELL
20.Who moved my cheese BY DR.SPENCER JOHNSON
21.The mountain is you BY BRIANNA WIEST
22.The psychology of money BY MORGAN HOUSEL
23.Retire young retire rich BY ROBERT KIYOSAKI
24.Cash flow quadrant BY ROBERT KIYOSAKI
25.Rich dad guide to investing BY ROBERT KIYOSAKI
26.As a man thinketh BY JAMES ALLEN
27.The almanack of naval BY ERIC JORGENSEN
28.Love yourself pay yourself first BY DR ABIB OLOMITIYE
29.Long walk to freedom BY NELSON MANDELA
30.Dont believe everything you think BY JOSEPH NGUYEN
31.Gifted hands BY BEN CARSON
32.The power of your subconscious mind BY JOSEPH MURPHY
33.Every day hero manifesto BY ROBIN SHARMA
34.Who will cry when you die BY ROBIN SHARMA
35.How to talk to anyone BY LEIL LOWNDES
36.How to read a person like a book BY GERRARD I.NIERENBERG AND HENRY H .CALERO
37.13–Things mentally strong people do not do BY AMY MORIN
38.The first minutes BY CHRIS FENNING
39.The art of laziness BY LIBRARY MINDSET
4O.Getting things done BY DAVID ALLEN
41.Ikigai BY HECTOR GARCIA AND FRANCESC MIRRALLES
42.Man's search for meaning BY VICTOR E.FRANKI
Je wewe ni mdau wa vitabu share hapa vitabu ulivyosoma 2024 ili tubadilishane maarifa itapendeza sana.
Alamsik.
Shukrani sana Mkuu.Nina ratiba ya kusoma page 25 asubuh ninapoenda job na page 25 ninaporudi job yaani kwa siku maximum 50 pages na kama nikipata muda wa ziada inakuwa zaidi ya hapo kwa siku maana sio mdau sana wa mitandao ya kijamii ambayo wengi inawapotezea mda mimi natumia WhatsApp Twitter na jamii forum baaasi tena mara moja moja sana jamii forum ndio natumia mda mwingi sana na chochote ninachofanya kabla sijaanza lazima nitumie saaa kuangalia mda ili nijue ni mda gani natumia kwenye kitu flani hata kama ni kazi nafanya lazima niangalie mda nijue nimetumia mda kukamilisha
Zingatia time management na excessive use of social network.
Kitabu cha atomic habits kilinisaidia sana kupunguza matumizi ya mitandao ya kijamii.
Vimebadilisha kwa kiasi kikubwa sana mkuu kwenye personal life na hasa kazini nisipokuwepo kwenye kikao staff wenzangu wanahisi kikao hakijakamilika maana naongea ukweli tena na data yote hyo ni kwasababu ya vitabu ila hata kwenye decision making nipo faster kwenye kufanya maamuzi.Hongera sana, sina hobby hiyo japo nilijaribu sana. Zaidi ya field yangu sina hobby ya kusoma vitabu for leasure.
Swali, hivyo vitabu vimebadilisha maisha yako kwa kiasi gani?
Hahaha, wachumba wa duniani na nilifanikiwa kuunlock kadhaa.😆😆😆1. whose legs were you trying to unlock
2. Did you succeed😁😁😁
pia research papers na working papers zina taarifa sana ukiachana na vitabuHahahahahhaah.
How to talk to anyone ni kitabu bora kwangu na kile cha Hnlock her legs
Umesoma vitabu vingi mkuu umewezajee..Habari za mchana wakuu,
Ikiwaa tunaelekea mwisho wa mwaka 2024 huku wengine wakiwa njiani kuelekea nyumbani kwa ndugu jamaa na marafiki kwa ajili ya mapumziko ya Christmas na mwaka mpya yanayoanza kesho nawatakia safari njema mungu awalinde.
Mimi ni miongoni mwa watu ambao, nipo addicted na kusoma vitabu, yaani nina hangover nisiposoma kitabu kwa siku napenda kusoma vitabu kusoma vitabu ni miongoni mwa hobby yangu namba moja kwenye maisha yangu.
Leo ningependa ku share na nyinyi baadhi ya vitabu nilivyosoma kama ifuatavyo:
1.The diary of a CEO BY (STEVEN BARTLETT)
2.Think like billionaire become billionaire BY SCOT ANDERSON
3.The big picture BY BEN CARSON
4.Take the risk BY BEN CARSON
5.The road ahead BY BILL GATES
6.The joy of sex BY DR.ALEX COMFORT
7.Ego is the enemy BY RYAN HOLIDAYS
8.what is everybody is say BY JOE NAVARRO
9.Emotional intelligence BY DANIEL COLEMAN
10.Understanding your potential BY MYLES MUNROE
11.Non violent communication BY MARSHALL ROSENBERG
12.Body language BY ALLAN PEASE
13.Crucial conversation BY KERRY PETERSON, JOSEPH GREEN, RON MC MILLAN AND SWITZLER
14.The leader who had no title BY ROBIN SHARMA
15.Start with why BY SIMON SINEK
16.The happiness trap BY RUSS HARRIS
17.The courage to be disliked BY ICHIRO KISHIMI AND FUMITAKE KOGA
18.44 Ideas for better conversation everyday BY MIKAEL KROGERUS AND ROMAN TSCHAPPLER
19.The 21–irrefutable laws of leadership BY JOHN C. MAXWELL
20.Who moved my cheese BY DR.SPENCER JOHNSON
21.The mountain is you BY BRIANNA WIEST
22.The psychology of money BY MORGAN HOUSEL
23.Retire young retire rich BY ROBERT KIYOSAKI
24.Cash flow quadrant BY ROBERT KIYOSAKI
25.Rich dad guide to investing BY ROBERT KIYOSAKI
26.As a man thinketh BY JAMES ALLEN
27.The almanack of naval BY ERIC JORGENSEN
28.Love yourself pay yourself first BY DR ABIB OLOMITIYE
29.Long walk to freedom BY NELSON MANDELA
30.Dont believe everything you think BY JOSEPH NGUYEN
31.Gifted hands BY BEN CARSON
32.The power of your subconscious mind BY JOSEPH MURPHY
33.Every day hero manifesto BY ROBIN SHARMA
34.Who will cry when you die BY ROBIN SHARMA
35.How to talk to anyone BY LEIL LOWNDES
36.How to read a person like a book BY GERRARD I.NIERENBERG AND HENRY H .CALERO
37.13–Things mentally strong people do not do BY AMY MORIN
38.The first minutes BY CHRIS FENNING
39.The art of laziness BY LIBRARY MINDSET
4O.Getting things done BY DAVID ALLEN
41.Ikigai BY HECTOR GARCIA AND FRANCESC MIRRALLES
42.Man's search for meaning BY VICTOR E.FRANKI
Je wewe ni mdau wa vitabu share hapa vitabu ulivyosoma 2024 ili tubadilishane maarifa itapendeza sana.
Alamsik.
Hiyo title ya kibiashara ukikutana nacho lazima upekue kama kinasadiki yaliyomo kwenye title auHahaha, wachumba wa duniani na nilifanikiwa kuunlock kadhaa.
Kitabu iko poa sana.
Kimsingi hakijazingatia sana how to unlock her legs lakini imeeleza zaidi jinsi ya kutokujali watu wanaokuzunguka kama kile cha "The subtle art of not giving a f*ck".
Mhhh! Kiongoz hii ulikuwa unasemaje? Au Kila kitabu kina page 20?Habari za mchana wakuu,
Ikiwaa tunaelekea mwisho wa mwaka 2024 huku wengine wakiwa njiani kuelekea nyumbani kwa ndugu jamaa na marafiki kwa ajili ya mapumziko ya Christmas na mwaka mpya yanayoanza kesho nawatakia safari njema mungu awalinde.
Mimi ni miongoni mwa watu ambao, nipo addicted na kusoma vitabu, yaani nina hangover nisiposoma kitabu kwa siku napenda kusoma vitabu kusoma vitabu ni miongoni mwa hobby yangu namba moja kwenye maisha yangu.
Leo ningependa ku share na nyinyi baadhi ya vitabu nilivyosoma kama ifuatavyo:
1.The diary of a CEO BY (STEVEN BARTLETT)
2.Think like billionaire become billionaire BY SCOT ANDERSON
3.The big picture BY BEN CARSON
4.Take the risk BY BEN CARSON
5.The road ahead BY BILL GATES
6.The joy of sex BY DR.ALEX COMFORT
7.Ego is the enemy BY RYAN HOLIDAYS
8.what is everybody is say BY JOE NAVARRO
9.Emotional intelligence BY DANIEL COLEMAN
10.Understanding your potential BY MYLES MUNROE
11.Non violent communication BY MARSHALL ROSENBERG
12.Body language BY ALLAN PEASE
13.Crucial conversation BY KERRY PETERSON, JOSEPH GREEN, RON MC MILLAN AND SWITZLER
14.The leader who had no title BY ROBIN SHARMA
15.Start with why BY SIMON SINEK
16.The happiness trap BY RUSS HARRIS
17.The courage to be disliked BY ICHIRO KISHIMI AND FUMITAKE KOGA
18.44 Ideas for better conversation everyday BY MIKAEL KROGERUS AND ROMAN TSCHAPPLER
19.The 21–irrefutable laws of leadership BY JOHN C. MAXWELL
20.Who moved my cheese BY DR.SPENCER JOHNSON
21.The mountain is you BY BRIANNA WIEST
22.The psychology of money BY MORGAN HOUSEL
23.Retire young retire rich BY ROBERT KIYOSAKI
24.Cash flow quadrant BY ROBERT KIYOSAKI
25.Rich dad guide to investing BY ROBERT KIYOSAKI
26.As a man thinketh BY JAMES ALLEN
27.The almanack of naval BY ERIC JORGENSEN
28.Love yourself pay yourself first BY DR ABIB OLOMITIYE
29.Long walk to freedom BY NELSON MANDELA
30.Dont believe everything you think BY JOSEPH NGUYEN
31.Gifted hands BY BEN CARSON
32.The power of your subconscious mind BY JOSEPH MURPHY
33.Every day hero manifesto BY ROBIN SHARMA
34.Who will cry when you die BY ROBIN SHARMA
35.How to talk to anyone BY LEIL LOWNDES
36.How to read a person like a book BY GERRARD I.NIERENBERG AND HENRY H .CALERO
37.13–Things mentally strong people do not do BY AMY MORIN
38.The first minutes BY CHRIS FENNING
39.The art of laziness BY LIBRARY MINDSET
4O.Getting things done BY DAVID ALLEN
41.Ikigai BY HECTOR GARCIA AND FRANCESC MIRRALLES
42.Man's search for meaning BY VICTOR E.FRANKI
Je wewe ni mdau wa vitabu share hapa vitabu ulivyosoma 2024 ili tubadilishane maarifa itapendeza sana.
Alamsik.
Nakiomba "the courage to be disliked"Asante mkuu utakacho kipenda nita share na ww kati ya hvyo