Vitabu nilivyosoma mwaka 2024

Vitabu nilivyosoma mwaka 2024

Mkuu pwilo wasaidie vijana wa hapo mkurunga kwenye issues za ujasiriamali, na uwape soft copy.
Itawasaidia sana kutojiingiza kwenye makundi ya kihalifu kama IS,etc
 
"JACK OF ALL TRADES,MASTER OF NONE"


Mwaka huu nimesoma vitu vingi vinavyohusu field ninayoifanyia kazi.

Nadhani hili👆👆👆👆👆 ni bora zaidi kuliko kusomasoma tuu kuuchosha ubongo.

Kuliko kuwa umesoma mavitu mengi na huvifanyii kazi ni bora ukabobea kwenye vitu unavyoshughulika navyo kila siku.

Hii itakusaidia kuwa mbobezi stop this nonsense ya kupoteza ENERGY na FOCUS ili tu uonekane umesoma vitabu vingi and end result havina mchango wowote kwako.

#Acheni mkumbo, maisha yapo simple sana!!!
 
"JACK OF ALL TRADES,MASTER OF NONE"


Mwaka huu nimesoma vitu vingi vinavyohusu field ninayoifanyia kazi.

Nadhani hili[emoji115][emoji115][emoji115][emoji115][emoji115] ni bora zaidi kuliko kusomasoma tuu kuuchosha ubongo.

Kuliko kuwa umesoma mavitu mengi na huvifanyii kazi ni bora ukabobea kwenye vitu unavyoshughulika navyo kila siku.

Hii itakusaidia kuwa mbobezi stop this nonsense ya kupoteza ENERGY na FOCUS ili tu uonekane umesoma vitabu vingi and end result havina mchango wowote kwako.

#Acheni mkumbo, maisha yapo simple sana!!!
Upo sawa mkuu kila mtu na hobby yake mwingine anaweza kuangalia mpira masaa matano mwingine anaangalia movie siku nzima mwingine anashinda Instagram Facebook tiktok Twitter na thread sasa kati ya hao na anayesoma vitabu nani anapoteza mda na kuchosha ubongo mkuu?
watu wako bize na mwinjaku na baba levo ila hongera mkuu kwa kuwekeza kwenye kitu kimoja ila ingekuwa umesoma baadhi ya hvyo vitabu usingesema hivyo umeangalia movie mwaka huu?
 
Upo sawa mkuu kila mtu na hobby yake mwingine anaweza kuangalia mpira masaa matano mwingine anaangalia movie siku nzima mwingine anashinda Instagram Facebook tiktok Twitter na thread sasa kati ya hao na anayesoma vitabu nani anapoteza mda na kuchosha ubongo mkuu?
watu wako bize na mwinjaku na baba levo ila hongera mkuu kwa kuwekeza kwenye kitu kimoja ila ingekuwa umesoma baadhi ya hvyo vitabu usingesema hivyo umeangalia movie mwaka huu?
Anayesoma vitabu ambavyo havitaongeza chochote kwenye day to day hustle naye anapoteza muda.

Mimi nawachukulia wote ni wapoteza muda.

Ukiwa mjasiriamali ukisoma vitabu vya ujasiriamali hapo huna ulichopoteza ila ukianza kusoma vitabu vya kihistoria na blablaaa nyingine hapo umelost.

Ukiwa Doctor alafu inasoma vitabu vya politics au interprenew hapo unapoteza muda amua moja ili uutumie muda vizuri,n.k.

Tukumbuke muda ni mali sana!!!
 
Anayesoma vitabu ambavyo havitaongeza chochote kwenye day to day hustle naye anapoteza muda.

Mimi nawachukulia wote ni wapoteza muda.

Ukiwa mjasiriamali ukisoma vitabu vya ujasiriamali hapo huna ulichopoteza ila ukianza kusoma vitabu vya kihistoria na blablaaa nyingine hapo umelost.

Ukiwa Doctor alafu inasoma vitabu vya politics au interprenew hapo unapoteza muda amua moja ili uutumie muda vizuri,n.k.

Tukumbuke muda ni mali sana!!!
Pole mkuu,

Haijalishi upo kada gani lazima usome
Finance books,
Self help books,
Emotions books,

Kuna kitabu kinaitwa EGO IS THE ENEMY kinasema you will be hired 20% by IQ but you will be fired by 80% your EQ fuatilia yule kamanda wa dodoma alitumbuliwa kwasababu gani kwenye lile tukio la binti wa yombo
Na viongozi wengi kwa nini wanafeli kwenye uongozi wao ni kwasababu wanakosa EQ(emotional intelligence)

Vitabu vinakusaidia uzungumze nini kwa wakati gani viongozi wote duniani wanasoma vitabu tena vya mchanganyiko mbali mbali lazima ujifunze baadhi ya vitu kupitia vitabu la sivyo kwa hali ya sasa itakuwa unaenda anticlokwise.


Kitabu cha THINK BIG cha ben carson anaelezea jinsi alivyotoka kuwa kilaza wa darasa mpaka kuwa daktari bingwa kupitia vitabu baada ya mama yake kumwambia ampe SUMMARY ya vitabu vinne kila mwezi baada ya hapo maisha ya ben carson darasani yalibadilika mpaka mwalimu akashangaa tafuta kitabu cha Ben Carson THINK BIG NA GIFTED HANDS wape wototo wako wasome na wewe usome halafu urudi tena hapa jamvini kuleta mrejesho.

Alamsik.
 
Anayesoma vitabu ambavyo havitaongeza chochote kwenye day to day hustle naye anapoteza muda.

Mimi nawachukulia wote ni wapoteza muda.

Ukiwa mjasiriamali ukisoma vitabu vya ujasiriamali hapo huna ulichopoteza ila ukianza kusoma vitabu vya kihistoria na blablaaa nyingine hapo umelost.

Ukiwa Doctor alafu inasoma vitabu vya politics au interprenew hapo unapoteza muda amua moja ili uutumie muda vizuri,n.k.

Tukumbuke muda ni mali sana!!!
Nikipata mda nitaelezea faida za kusoma vitabu kitaalamu zilizoelezewa na baadhi ya watu kama kina ben carson daktari bingwa wa (neurosurgery) ameelezea faida kusoma nikipata mda nitaleta hapa mkuu.
 
Kw
Pole mkuu,

Haijalishi upo kada gani lazima usome
Finance books,
Self help books,
Emotions books,

Kuna kitabu kinaitwa EGO IS THE ENEMY kinasema you will be hired 20% by IQ but you will be fired by 80% your EQ fuatilia yule kamanda wa dodoma alitumbuliwa kwasababu gani kwenye lile tukio la binti wa yombo
Na viongozi wengi kwa nini wanafeli kwenye uongozi wao ni kwasababu wanakosa EQ(emotional intelligence)

Vitabu vinakusaidia uzungumze nini kwa wakati gani viongozi wote duniani wanasoma vitabu tena vya mchanganyiko mbali mbali lazima ujifunze baadhi ya vitu kupitia vitabu la sivyo kwa hali ya sasa itakuwa unaenda anticlokwise.


Kitabu cha THINK BIG cha ben carson anaelezea jinsi alivyotoka kuwa kilaza wa darasa mpaka kuwa daktari bingwa kupitia vitabu baada ya mama yake kumwambia ampe SUMMARY ya vitabu vinne kila mwezi baada ya hapo maisha ya ben carson darasani yalibadilika mpaka mwalimu akashangaa tafuta kitabu cha Ben Carson THINK BIG NA GIFTED HANDS wape wototo wako wasome na wewe usome halafu urudi tena hapa jamvini kuleta mrejesho.

Alamsik.
A huu umeme wa tanesco aunkutumia solar?
Hao watoto wapi ya kayumba ua english medium wanaotoka 11 alfajiri na kurudi 12jioni hadi mbili usiku na home work kibao?
 
Nikipata mda nitaelezea faida za kusoma vitabu kitaalamu zilizoelezewa na baadhi ya watu kama kina ben carson daktari bingwa wa (neurosurgery) ameelezea faida kusoma nikipata mda nitaleta hapa mkuu.

Mafanikio ya Ben Carson ni yake build yours!!!!

Hapa duniani kuna wewe MMOJA, mimi MMOJA.Stop living other peoples life.

American life ni mbingu na ardhi na huku MAVUMBINI/SHITIHOLINI.

Usomaji wa vitabu ni kama kusikiliza sera za wanasiasa, these idiots/ Writers watafanya kila namna wakushawishi kuwa wao ndo the BRAINERS. Mwishoni ukija kugundua ukweli unajua hawa viumbe vyote wanavyoamini ndo wanavyoviandika.

Sasa kwenye somo la LOGIC ambalo wengi hawajalisoma, utapata kuona kwamba hutakiwi kuendeshwa na MITAZAMO YA MTU REGADLESS YA CHEO AU MAFANIKIO YAKE hii ndo msingi wa kujua kweli.

Ukifatilia hata hii minyukano ya siasa ni watu kukosa LOGIC tu hivyo wanabaki kuendeshwa na mihemko na mapenzi kwa wawapendao.

So back to the topic MIMI BADO NTAENDELEA KUSISITIZA utunzaji wa muda katika kuyaendea mambo.

Leo kuna watu wana degree saba wengine 1st degree kasoma MEDICINE, 2nd anasoma BUSINESS ADMINISTRATION anaongezea na LAW ila kwenye practise hana hata moja analofanyia kazi😁😁😁😁

Hawa opportunistic sio wakuwaendekeza hawa ndo "JACK OF EVERY TRADE, MASTER OF NONE"
 
Mafanikio ya Ben Carson ni yake build yours!!!!

Hapa duniani kuna wewe MMOJA, mimi MMOJA.Stop living other peoples life.

American life ni mbingu na ardhi na huku MAVUMBINI/SHITIHOLINI.

Usomaji wa vitabu ni kama kusikiliza sera za wanasiasa, these idiots/ Writers watafanya kila namna wakushawishi kuwa wao ndo the BRAINERS. Mwishoni ukija kugundua ukweli unajua hawa viumbe vyote wanavyoamini ndo wanavyoviandika.

Sasa kwenye somo la LOGIC ambalo wengi hawajalisoma, utapata kuona kwamba hutakiwi kuendeshwa na MITAZAMO YA MTU REGADLESS YA CHEO AU MAFANIKIO YAKE hii ndo msingi wa kujua kweli.

Ukifatilia hata hii minyukano ya siasa ni watu kukosa LOGIC tu hivyo wanabaki kuendeshwa na mihemko na mapenzi kwa wawapendao.

So back to the topic MIMI BADO NTAENDELEA KUSISITIZA utunzaji wa muda katika kuyaendea mambo.

Leo kuna watu wana degree saba wengine 1st degree kasoma MEDICINE, 2nd anasoma BUSINESS ADMINISTRATION anaongezea na LAW ila kwenye practise hana hata moja analofanyia kazi😁😁😁😁

Hawa opportunistic sio wakuwaendekeza hawa ndo "JACK OF EVERY TRADE, MASTER OF NONE"
naona umepinga usomaji vitabu kimkakati sana. Zingatia neno hobby.
 
Habari za mchana wakuu,

Ikiwaa tunaelekea mwisho wa mwaka 2024 huku wengine wakiwa njiani kuelekea nyumbani kwa ndugu jamaa na marafiki kwa ajili ya mapumziko ya Christmas na mwaka mpya yanayoanza kesho nawatakia safari njema mungu awalinde.

Mimi ni miongoni mwa watu ambao, nipo addicted na kusoma vitabu, yaani nina hangover nisiposoma kitabu kwa siku napenda kusoma vitabu kusoma vitabu ni miongoni mwa hobby yangu namba moja kwenye maisha yangu.

Leo ningependa ku share na nyinyi baadhi ya vitabu nilivyosoma kama ifuatavyo:

1.The diary of a CEO BY (STEVEN BARTLETT)

2.Think like billionaire become billionaire BY SCOT ANDERSON

3.The big picture BY BEN CARSON

4.Take the risk BY BEN CARSON

5.The road ahead BY BILL GATES

6.The joy of sex BY DR.ALEX COMFORT

7.Ego is the enemy BY RYAN HOLIDAYS

8.what is everybody is say BY JOE NAVARRO

9.Emotional intelligence BY DANIEL COLEMAN

10.Understanding your potential BY MYLES MUNROE

11.Non violent communication BY MARSHALL ROSENBERG

12.Body language BY ALLAN PEASE

13.Crucial conversation BY KERRY PETERSON, JOSEPH GREEN, RON MC MILLAN AND SWITZLER

14.The leader who had no title BY ROBIN SHARMA

15.Start with why BY SIMON SINEK

16.The happiness trap BY RUSS HARRIS

17.The courage to be disliked BY ICHIRO KISHIMI AND FUMITAKE KOGA

18.44 Ideas for better conversation everyday BY MIKAEL KROGERUS AND ROMAN TSCHAPPLER

19.The 21–irrefutable laws of leadership BY JOHN C. MAXWELL

20.Who moved my cheese BY DR.SPENCER JOHNSON

21.The mountain is you BY BRIANNA WIEST

22.The psychology of money BY MORGAN HOUSEL

23.Retire young retire rich BY ROBERT KIYOSAKI

24.Cash flow quadrant BY ROBERT KIYOSAKI

25.Rich dad guide to investing BY ROBERT KIYOSAKI

26.As a man thinketh BY JAMES ALLEN

27.The almanack of naval BY ERIC JORGENSEN

28.Love yourself pay yourself first BY DR ABIB OLOMITIYE

29.Long walk to freedom BY NELSON MANDELA

30.Dont believe everything you think BY JOSEPH NGUYEN

31.Gifted hands BY BEN CARSON

32.The power of your subconscious mind BY JOSEPH MURPHY

33.Every day hero manifesto BY ROBIN SHARMA

34.Who will cry when you die BY ROBIN SHARMA

35.How to talk to anyone BY LEIL LOWNDES

36.How to read a person like a book BY GERRARD I.NIERENBERG AND HENRY H .CALERO

37.13–Things mentally strong people do not do BY AMY MORIN

38.The first minutes BY CHRIS FENNING

39.The art of laziness BY LIBRARY MINDSET

4O.Getting things done BY DAVID ALLEN

41.Ikigai BY HECTOR GARCIA AND FRANCESC MIRRALLES

42.Man's search for meaning BY VICTOR E.FRANKI

Je wewe ni mdau wa vitabu share hapa vitabu ulivyosoma 2024 ili tubadilishane maarifa itapendeza sana.

Alamsik.
I see umejitahidi.
Mimi;
1) Cashflow Quadrant by Robert Kiyosaki (hiki nakirudia karibu mwaka wa tatu sasa)
2) Start with Why by Simon Sinek
3) Own Your Own Corporation by Robert Kiyosaki (sijakimaliza)
Articles kadhaa zinazogusa Cassava farming and processing, agroforestry, poultry and agricultural marketing.
 
Back
Top Bottom