Vitabu nilivyosoma mwaka 2024

Vitabu nilivyosoma mwaka 2024

Mkuu embu tuambie namna unavyofanya kusoma vitabu vyote? Je ni ukiwa nyumbani tu au kazini au safarini na mazingira gani kukamilisha kazi hiyo?

Binafsi nimesoma:

1. The Snows of Kilimanjaro ni kama Novel

2. Unlock her legs
Nina ratiba ya kusoma page 25 asubuh ninapoenda job na page 25 ninaporudi job yaani kwa siku maximum 50 pages na kama nikipata muda wa ziada inakuwa zaidi ya hapo kwa siku maana sio mdau sana wa mitandao ya kijamii ambayo wengi inawapotezea mda mimi natumia WhatsApp Twitter na jamii forum baaasi tena mara moja moja sana jamii forum ndio natumia mda mwingi sana na chochote ninachofanya kabla sijaanza lazima nitumie saaa kuangalia mda ili nijue ni mda gani natumia kwenye kitu flani hata kama ni kazi nafanya lazima niangalie mda nijue nimetumia mda kukamilisha

Zingatia time management na excessive use of social network.
Kitabu cha atomic habits kilinisaidia sana kupunguza matumizi ya mitandao ya kijamii.
 
Mwaka huu nimesomaqmbo ya kiroho tu. Mwakani ndio ntachanganya na mambo ya pesa.

1prayer of Jabez
2: Apocalypse, fafanuzi ya kitabu cha ufunuo.
3: Individuality in religion
4: Prayers
6: Miracles of Jesus
7dangerous Prayers
8: Life od Abraham
9: Bible (skjv)
10: Youtube audio books kutoka God's Daily News, CS Lewis insights and Reflections,

Sijasoma hadrcopy haya moja. Vyote natumia simu na lapotop
 
Habari za mchana wakuu,

Ikiwaa tunaelekea mwisho wa mwaka 2024 huku wengine wakiwa njiani kuelekea nyumbani kwa ndugu jamaa na marafiki kwa ajili ya mapumziko ya Christmas na mwaka mpya yanayoanza kesho nawatakia safari njema mungu awalinde.

Mimi ni miongoni mwa watu ambao, nipo addicted na kusoma vitabu, yaani nina hangover nisiposoma kitabu kwa siku napenda kusoma vitabu kusoma vitabu ni miongoni mwa hobby yangu namba moja kwenye maisha yangu.

Leo ningependa ku share na nyinyi baadhi ya vitabu nilivyosoma kama ifuatavyo:

1.The diary of a CEO BY (STEVEN BARTLETT)

2.Think like billionaire become billionaire BY SCOT ANDERSON

3.The big picture BY BEN CARSON

4.Take the risk BY BEN CARSON

5.The road ahead BY BILL GATES

6.The joy of sex BY DR.ALEX COMFORT

7.Ego is the enemy BY RYAN HOLIDAYS

8.what is everybody is say BY JOE NAVARRO

9.Emotional intelligence BY DANIEL COLEMAN

10.Understanding your potential BY MYLES MUNROE

11.Non violent communication BY MARSHALL ROSENBERG

12.Body language BY ALLAN PEASE

13.Crucial conversation BY KERRY PETERSON, JOSEPH GREEN, RON MC MILLAN AND SWITZLER

14.The leader who had no title BY ROBIN SHARMA

15.Start with why BY SIMON SINEK

16.The happiness trap BY RUSS HARRIS

17.The courage to be disliked BY ICHIRO KISHIMI AND FUMITAKE KOGA

18.44 Ideas for better conversation everyday BY MIKAEL KROGERUS AND ROMAN TSCHAPPLER

19.The 21–irrefutable laws of leadership BY JOHN C. MAXWELL

20.Who moved my cheese BY DR.SPENCER JOHNSON

21.The mountain is you BY BRIANNA WIEST

22.The psychology of money BY MORGAN HOUSEL

23.Retire young retire rich BY ROBERT KIYOSAKI

24.Cash flow quadrant BY ROBERT KIYOSAKI

25.Rich dad guide to investing BY ROBERT KIYOSAKI

26.As a man thinketh BY JAMES ALLEN

27.The almanack of naval BY ERIC JORGENSEN

28.Love yourself pay yourself first BY DR ABIB OLOMITIYE

29.Long walk to freedom BY NELSON MANDELA

30.Dont believe everything you think BY JOSEPH NGUYEN

31.Gifted hands BY BEN CARSON

32.The power of your subconscious mind BY JOSEPH MURPHY

33.Every day hero manifesto BY ROBIN SHARMA

34.Who will cry when you die BY ROBIN SHARMA

35.How to talk to anyone BY LEIL LOWNDES

36.How to read a person like a book BY GERRARD I.NIERENBERG AND HENRY H .CALERO

37.13–Things mentally strong people do not do BY AMY MORIN

38.The first minutes BY CHRIS FENNING

39.The art of laziness BY LIBRARY MINDSET

4O.Getting things done BY DAVID ALLEN

41.Ikigai BY HECTOR GARCIA AND FRANCESC MIRRALLES

42.Man's search for meaning BY VICTOR E.FRANKI

Je wewe ni mdau wa vitabu share hapa vitabu ulivyosoma 2024 ili tubadilishane maarifa itapendeza sana.

Alamsik.
Mkuu naomba hicho cha don't believe anything you think
 
Nina ratiba ya kusoma page 25 asubuh ninapoenda job na page 25 ninaporudi job yaani kwa siku maximum 50 pages na kama nikipata muda wa ziada inakuwa zaidi ya hapo kwa siku maana sio mdau sana wa mitandao ya kijamii ambayo wengi inawapotezea mda mimi natumia WhatsApp Twitter na jamii forum baaasi tena mara moja moja sana jamii forum ndio natumia mda mwingi sana na chochote ninachofanya kabla sijaanza lazima nitumie saaa kuangalia mda ili nijue ni mda gani natumia kwenye kitu flani hata kama ni kazi nafanya lazima niangalie mda nijue nimetumia mda kukamilisha

Zingatia time management na excessive use of social network.
Kitabu cha atomic habits kilinisaidia sana kupunguza matumizi ya mitandao ya kijamii.
Shukrani sana Mkuu.

Nitaenda kuanza mwaka vizuri sana kwa kuzingatia haya madini uliyonipatia.
 
Hongera sana, sina hobby hiyo japo nilijaribu sana. Zaidi ya field yangu sina hobby ya kusoma vitabu for leasure.

Swali, hivyo vitabu vimebadilisha maisha yako kwa kiasi gani?
Vimebadilisha kwa kiasi kikubwa sana mkuu kwenye personal life na hasa kazini nisipokuwepo kwenye kikao staff wenzangu wanahisi kikao hakijakamilika maana naongea ukweli tena na data yote hyo ni kwasababu ya vitabu ila hata kwenye decision making nipo faster kwenye kufanya maamuzi.
Ukisoma kitabu cha long walk to freedom by NELSON Mandela huwezi ukawa bwege mkuu ilitakiwa vijana wapewe bure kopi wasome.
 
😆😆😆1. whose legs were you trying to unlock
2. Did you succeed😁😁😁
Hahaha, wachumba wa duniani na nilifanikiwa kuunlock kadhaa.

Kitabu iko poa sana.

Kimsingi hakijazingatia sana how to unlock her legs lakini imeeleza zaidi jinsi ya kutokujali watu wanaokuzunguka kama kile cha "The subtle art of not giving a f*ck".
 
Hahahahahhaah.

How to talk to anyone ni kitabu bora kwangu na kile cha Hnlock her legs
pia research papers na working papers zina taarifa sana ukiachana na vitabu

sema zenyewe ni za kitafiti zaidi

mfano hii working paper inaeleza kidogo jinsi matajiri tz wanavyopindisha sheria za kodi. ilinivutia.
 

Attachments

Habari za mchana wakuu,

Ikiwaa tunaelekea mwisho wa mwaka 2024 huku wengine wakiwa njiani kuelekea nyumbani kwa ndugu jamaa na marafiki kwa ajili ya mapumziko ya Christmas na mwaka mpya yanayoanza kesho nawatakia safari njema mungu awalinde.

Mimi ni miongoni mwa watu ambao, nipo addicted na kusoma vitabu, yaani nina hangover nisiposoma kitabu kwa siku napenda kusoma vitabu kusoma vitabu ni miongoni mwa hobby yangu namba moja kwenye maisha yangu.

Leo ningependa ku share na nyinyi baadhi ya vitabu nilivyosoma kama ifuatavyo:

1.The diary of a CEO BY (STEVEN BARTLETT)

2.Think like billionaire become billionaire BY SCOT ANDERSON

3.The big picture BY BEN CARSON

4.Take the risk BY BEN CARSON

5.The road ahead BY BILL GATES

6.The joy of sex BY DR.ALEX COMFORT

7.Ego is the enemy BY RYAN HOLIDAYS

8.what is everybody is say BY JOE NAVARRO

9.Emotional intelligence BY DANIEL COLEMAN

10.Understanding your potential BY MYLES MUNROE

11.Non violent communication BY MARSHALL ROSENBERG

12.Body language BY ALLAN PEASE

13.Crucial conversation BY KERRY PETERSON, JOSEPH GREEN, RON MC MILLAN AND SWITZLER

14.The leader who had no title BY ROBIN SHARMA

15.Start with why BY SIMON SINEK

16.The happiness trap BY RUSS HARRIS

17.The courage to be disliked BY ICHIRO KISHIMI AND FUMITAKE KOGA

18.44 Ideas for better conversation everyday BY MIKAEL KROGERUS AND ROMAN TSCHAPPLER

19.The 21–irrefutable laws of leadership BY JOHN C. MAXWELL

20.Who moved my cheese BY DR.SPENCER JOHNSON

21.The mountain is you BY BRIANNA WIEST

22.The psychology of money BY MORGAN HOUSEL

23.Retire young retire rich BY ROBERT KIYOSAKI

24.Cash flow quadrant BY ROBERT KIYOSAKI

25.Rich dad guide to investing BY ROBERT KIYOSAKI

26.As a man thinketh BY JAMES ALLEN

27.The almanack of naval BY ERIC JORGENSEN

28.Love yourself pay yourself first BY DR ABIB OLOMITIYE

29.Long walk to freedom BY NELSON MANDELA

30.Dont believe everything you think BY JOSEPH NGUYEN

31.Gifted hands BY BEN CARSON

32.The power of your subconscious mind BY JOSEPH MURPHY

33.Every day hero manifesto BY ROBIN SHARMA

34.Who will cry when you die BY ROBIN SHARMA

35.How to talk to anyone BY LEIL LOWNDES

36.How to read a person like a book BY GERRARD I.NIERENBERG AND HENRY H .CALERO

37.13–Things mentally strong people do not do BY AMY MORIN

38.The first minutes BY CHRIS FENNING

39.The art of laziness BY LIBRARY MINDSET

4O.Getting things done BY DAVID ALLEN

41.Ikigai BY HECTOR GARCIA AND FRANCESC MIRRALLES

42.Man's search for meaning BY VICTOR E.FRANKI

Je wewe ni mdau wa vitabu share hapa vitabu ulivyosoma 2024 ili tubadilishane maarifa itapendeza sana.

Alamsik.
Umesoma vitabu vingi mkuu umewezajee..

Kuna hicho 34. Nakipenda Sanaa nilikisoma 2018

Kingine umekisahau kinaitwa

THE GODFATHER
 
Hahaha, wachumba wa duniani na nilifanikiwa kuunlock kadhaa.

Kitabu iko poa sana.

Kimsingi hakijazingatia sana how to unlock her legs lakini imeeleza zaidi jinsi ya kutokujali watu wanaokuzunguka kama kile cha "The subtle art of not giving a f*ck".
Hiyo title ya kibiashara ukikutana nacho lazima upekue kama kinasadiki yaliyomo kwenye title au
 
Habari za mchana wakuu,

Ikiwaa tunaelekea mwisho wa mwaka 2024 huku wengine wakiwa njiani kuelekea nyumbani kwa ndugu jamaa na marafiki kwa ajili ya mapumziko ya Christmas na mwaka mpya yanayoanza kesho nawatakia safari njema mungu awalinde.

Mimi ni miongoni mwa watu ambao, nipo addicted na kusoma vitabu, yaani nina hangover nisiposoma kitabu kwa siku napenda kusoma vitabu kusoma vitabu ni miongoni mwa hobby yangu namba moja kwenye maisha yangu.

Leo ningependa ku share na nyinyi baadhi ya vitabu nilivyosoma kama ifuatavyo:

1.The diary of a CEO BY (STEVEN BARTLETT)

2.Think like billionaire become billionaire BY SCOT ANDERSON

3.The big picture BY BEN CARSON

4.Take the risk BY BEN CARSON

5.The road ahead BY BILL GATES

6.The joy of sex BY DR.ALEX COMFORT

7.Ego is the enemy BY RYAN HOLIDAYS

8.what is everybody is say BY JOE NAVARRO

9.Emotional intelligence BY DANIEL COLEMAN

10.Understanding your potential BY MYLES MUNROE

11.Non violent communication BY MARSHALL ROSENBERG

12.Body language BY ALLAN PEASE

13.Crucial conversation BY KERRY PETERSON, JOSEPH GREEN, RON MC MILLAN AND SWITZLER

14.The leader who had no title BY ROBIN SHARMA

15.Start with why BY SIMON SINEK

16.The happiness trap BY RUSS HARRIS

17.The courage to be disliked BY ICHIRO KISHIMI AND FUMITAKE KOGA

18.44 Ideas for better conversation everyday BY MIKAEL KROGERUS AND ROMAN TSCHAPPLER

19.The 21–irrefutable laws of leadership BY JOHN C. MAXWELL

20.Who moved my cheese BY DR.SPENCER JOHNSON

21.The mountain is you BY BRIANNA WIEST

22.The psychology of money BY MORGAN HOUSEL

23.Retire young retire rich BY ROBERT KIYOSAKI

24.Cash flow quadrant BY ROBERT KIYOSAKI

25.Rich dad guide to investing BY ROBERT KIYOSAKI

26.As a man thinketh BY JAMES ALLEN

27.The almanack of naval BY ERIC JORGENSEN

28.Love yourself pay yourself first BY DR ABIB OLOMITIYE

29.Long walk to freedom BY NELSON MANDELA

30.Dont believe everything you think BY JOSEPH NGUYEN

31.Gifted hands BY BEN CARSON

32.The power of your subconscious mind BY JOSEPH MURPHY

33.Every day hero manifesto BY ROBIN SHARMA

34.Who will cry when you die BY ROBIN SHARMA

35.How to talk to anyone BY LEIL LOWNDES

36.How to read a person like a book BY GERRARD I.NIERENBERG AND HENRY H .CALERO

37.13–Things mentally strong people do not do BY AMY MORIN

38.The first minutes BY CHRIS FENNING

39.The art of laziness BY LIBRARY MINDSET

4O.Getting things done BY DAVID ALLEN

41.Ikigai BY HECTOR GARCIA AND FRANCESC MIRRALLES

42.Man's search for meaning BY VICTOR E.FRANKI

Je wewe ni mdau wa vitabu share hapa vitabu ulivyosoma 2024 ili tubadilishane maarifa itapendeza sana.

Alamsik.
Mhhh! Kiongoz hii ulikuwa unasemaje? Au Kila kitabu kina page 20?

Kama nikweli basi hongera, anzisha Uzi mwingine ueleze kiufupi Kila kitabu kinahusu Nini na yapi yakujifunza
 
Back
Top Bottom