Vitabu nilivyosoma mwaka 2024

Vitabu nilivyosoma mwaka 2024

Mafanikio ya Ben Carson ni yake build yours!!!!

Hapa duniani kuna wewe MMOJA, mimi MMOJA.Stop living other peoples life.

American life ni mbingu na ardhi na huku MAVUMBINI/SHITIHOLINI.

Usomaji wa vitabu ni kama kusikiliza sera za wanasiasa, these idiots/ Writers watafanya kila namna wakushawishi kuwa wao ndo the BRAINERS. Mwishoni ukija kugundua ukweli unajua hawa viumbe vyote wanavyoamini ndo wanavyoviandika.

Sasa kwenye somo la LOGIC ambalo wengi hawajalisoma, utapata kuona kwamba hutakiwi kuendeshwa na MITAZAMO YA MTU REGADLESS YA CHEO AU MAFANIKIO YAKE hii ndo msingi wa kujua kweli.

Ukifatilia hata hii minyukano ya siasa ni watu kukosa LOGIC tu hivyo wanabaki kuendeshwa na mihemko na mapenzi kwa wawapendao.

So back to the topic MIMI BADO NTAENDELEA KUSISITIZA utunzaji wa muda katika kuyaendea mambo.

Leo kuna watu wana degree saba wengine 1st degree kasoma MEDICINE, 2nd anasoma BUSINESS ADMINISTRATION anaongezea na LAW ila kwenye practise hana hata moja analofanyia kazi[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

Hawa opportunistic sio wakuwaendekeza hawa ndo "JACK OF EVERY TRADE, MASTER OF NONE"
Siwezi kusema kila kitu nilichofanikiwa kupitia vitabu ila nina project kubwa ipo kwenye process ya kukamilisha tena kwenye production mimi nitasema kwasababu ya vitabu wakati wafanyakazi wengi wanakopa hela kununua gari au kujenga mimi nataka nikachukue mkopo kwa ajili ya hyo project and I believe it will work 100% kwasababu hata nafanya ila kwa small scale nataka niifanye kwenye large scale they take loans to buy cars and building their dream house I will do it but in different perception I want to change other people life inshaallah.
 
"JACK OF ALL TRADES,MASTER OF NONE"


Mwaka huu nimesoma vitu vingi vinavyohusu field ninayoifanyia kazi.

Nadhani hili👆👆👆👆👆 ni bora zaidi kuliko kusomasoma tuu kuuchosha ubongo.

Kuliko kuwa umesoma mavitu mengi na huvifanyii kazi ni bora ukabobea kwenye vitu unavyoshughulika navyo kila siku.

Hii itakusaidia kuwa mbobezi stop this nonsense ya kupoteza ENERGY na FOCUS ili tu uonekane umesoma vitabu vingi and end result havina mchango wowote kwako.

#Acheni mkumbo, maisha yapo simple sana!!!
Hili zuri ila utajua sana ulichosomea na utakuwa mjinga sana juu ya mengine.
 
hichi hapa kitasaidia vijana wanaoteseka na PULI.
Mr, Umenikumbusha Miaka ya nyumaa nilivyofanya research/Tafiti ya Adult Industry/Porn industry.

Huku nikipata msaada kutoka Kwa Mwanamama Shira Tarrant.

The porn Industry:
(what everyone needs to know)

By shirra Tarrant.

Na Matt Fradd.

The porn Myth:
(Exposing the Reality behind the fantasy of pornography).

By Matt Fradd.


Adult Industry/porny industry zinginee changamoto za hapa na pale, prons & cons, Makumpuni Monopoly kwa gemu.

Professional Actor/Actress na Malipo yao, health issues, Taboos & Etc.

Porn industry imeweka impact kubwaa katika jamii nyingi Duniani katika sex Actions/Ngono, Adult Industry ya USA ikiwa very powerful sana.

Sasa average Joe around the world anataka kuiga mambo kama yakina Devlin weed, Lil d, Jose s, Tt boy, Wesley pipes, Charles Dera, Jules Jordan, etc na Moriah Mills, Sarah banks, Liss Ann, Anise Kate, Pamela Rios, Etc ambao ni professional Actors/Actress... Basii ni burudanii sana na changamoto. (leaked private sex video za average Joe).


Adult Industry, ni industry powerful na inaweka impact kubwaa sana katika sex life ya Watu Wengi Duniani.
 
Habari za mchana wakuu,

Ikiwaa tunaelekea mwisho wa mwaka 2024 huku wengine wakiwa njiani kuelekea nyumbani kwa ndugu jamaa na marafiki kwa ajili ya mapumziko ya Christmas na mwaka mpya yanayoanza kesho nawatakia safari njema mungu awalinde.

Mimi ni miongoni mwa watu ambao, nipo addicted na kusoma vitabu, yaani nina hangover nisiposoma kitabu kwa siku napenda kusoma vitabu kusoma vitabu ni miongoni mwa hobby yangu namba moja kwenye maisha yangu.

Leo ningependa ku share na nyinyi baadhi ya vitabu nilivyosoma kama ifuatavyo:

1.The diary of a CEO BY (STEVEN BARTLETT)

2.Think like billionaire become billionaire BY SCOT ANDERSON

3.The big picture BY BEN CARSON

4.Take the risk BY BEN CARSON

5.The road ahead BY BILL GATES

6.The joy of sex BY DR.ALEX COMFORT

7.Ego is the enemy BY RYAN HOLIDAYS

8.what is everybody is say BY JOE NAVARRO

9.Emotional intelligence BY DANIEL COLEMAN

10.Understanding your potential BY MYLES MUNROE

11.Non violent communication BY MARSHALL ROSENBERG

12.Body language BY ALLAN PEASE

13.Crucial conversation BY KERRY PETERSON, JOSEPH GREEN, RON MC MILLAN AND SWITZLER

14.The leader who had no title BY ROBIN SHARMA

15.Start with why BY SIMON SINEK

16.The happiness trap BY RUSS HARRIS

17.The courage to be disliked BY ICHIRO KISHIMI AND FUMITAKE KOGA

18.44 Ideas for better conversation everyday BY MIKAEL KROGERUS AND ROMAN TSCHAPPLER

19.The 21–irrefutable laws of leadership BY JOHN C. MAXWELL

20.Who moved my cheese BY DR.SPENCER JOHNSON

21.The mountain is you BY BRIANNA WIEST

22.The psychology of money BY MORGAN HOUSEL

23.Retire young retire rich BY ROBERT KIYOSAKI

24.Cash flow quadrant BY ROBERT KIYOSAKI

25.Rich dad guide to investing BY ROBERT KIYOSAKI

26.As a man thinketh BY JAMES ALLEN

27.The almanack of naval BY ERIC JORGENSEN

28.Love yourself pay yourself first BY DR ABIB OLOMITIYE

29.Long walk to freedom BY NELSON MANDELA

30.Dont believe everything you think BY JOSEPH NGUYEN

31.Gifted hands BY BEN CARSON

32.The power of your subconscious mind BY JOSEPH MURPHY

33.Every day hero manifesto BY ROBIN SHARMA

34.Who will cry when you die BY ROBIN SHARMA

35.How to talk to anyone BY LEIL LOWNDES

36.How to read a person like a book BY GERRARD I.NIERENBERG AND HENRY H .CALERO

37.13–Things mentally strong people do not do BY AMY MORIN

38.The first minutes BY CHRIS FENNING

39.The art of laziness BY LIBRARY MINDSET

4O.Getting things done BY DAVID ALLEN

41.Ikigai BY HECTOR GARCIA AND FRANCESC MIRRALLES

42.Man's search for meaning BY VICTOR E.FRANKI

Je wewe ni mdau wa vitabu share hapa vitabu ulivyosoma 2024 ili tubadilishane maarifa itapendeza sana.

Alamsik.
Mbona vyote vya wageni, kwani Waafrika wenzako hawaandiki vitabu?
 
Pamoja na kurudia baadhii ya vitabu vichache Mwaka huu,

Kabla ya Uchaguzi wa Amerika, ikabidi nipitiee Vitabu vingi kumhusu bwana Donald T Trump.

The Presidential Image Theodore Roosevelt to Donald Trump's)
Edited by Iwan Morgan -Mark white.

The Making of Donald Trump's.
By David cay Johnston.

Changing Their Minds..??
By George c Edwards.

No is not enough Resisting Trump shock politics & winning The world we need).
By Naomi Klein.

Fear: Trump in the white house).
By Bob wood ward.

Too much & Never Enough:How my family created the world most dangerous Man).
By Mary l. Trump.

Fire & Fury : Inside The Trump white house).
By Michael Wolf.

The Plot to Destroy America democracy.
By Malcolm Nance.
 
Pamoja na kurudia baadhii ya vitabu vichache Mwaka huu,

Kabla ya Uchaguzi wa Amerika, ikabidi nipitiee Vitabu vingi kumhusu bwana Donald T Trump.

The Presidential Image Theodore Roosevelt to Donald Trump's)
Edited by Iwan Morgan -Mark white.

The Making of Donald Trump's.
By David cay Johnston.

Changing Their Minds..??
By George c Edwards.

No is not enough Resisting Trump shock politics & winning The world we need).
By Naomi Klein.

Fear: Trump in the white house).
By Bob wood ward.

Too much & Never Enough:How my family created the world most dangerous Man).
By Mary l. Trump.

Fire & Fury : Inside The Trump white house).
By Michael Wolf.

The Plot to Destroy America democracy.
By Malcolm Nance.
Weka softcopy mkuu tufungulie mwaka.
 
Mkuu pwilo wasaidie vijana wa hapo mkurunga kwenye issues za ujasiriamali, na uwape soft copy.
Itawasaidia sana kutojiingiza kwenye makundi ya kihalifu kama IS,etc
Kule kuna sehemu wanaita kisiju wachawi sana wataniroga mkuu kule anapaweza mchegerwa wale jamaa walimpoteza engineer wa kichina na gari yake wakati wanajenga barabara.
 
I see umejitahidi.
Mimi;
1) Cashflow Quadrant by Robert Kiyosaki (hiki nakirudia karibu mwaka wa tatu sasa)
2) Start with Why by Simon Sinek
3) Own Your Own Corporation by Robert Kiyosaki (sijakimaliza)
Articles kadhaa zinazogusa Cassava farming and processing, agroforestry, poultry and agricultural marketing.
Mkuu weka softcopy ya namba tatu hyo.
 
Kule kuna sehemu wanaita kisiju wachawi sana wataniroga mkuu kule anapaweza mchegerwa wale jamaa walimpoteza engineer wa kichina na gari yake wakati wanajenga barabara.
Kwa hiyo wachawi wa huko wanamuogopa kumrlga mcheregwa wanakuloga ww, mwambie mcheregwa akusaidie
 
Back
Top Bottom