Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 14,938
- 25,405
Sasa hii comment yako umeiandikia wapi?• Aliye kuambia sasa hivi nipo JF ni nani? 🤔, unaweza nipa ushaidi!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa hii comment yako umeiandikia wapi?• Aliye kuambia sasa hivi nipo JF ni nani? 🤔, unaweza nipa ushaidi!
Sasa hii comment yako umeiandikia wapi?
Kama ulilelewa na wazazi wako wote wawili, basi hakuna haja ya vitabu. Fuata misingi yaoTuende mbele turudi nyuma mtoto si kumlisha na kumsomesha tu. Malezi ya kitabia ndio kipengere na hapa hakuna mbabe !!Hata uwe mkali vipi mtoto anaweza kukushinda tu kwa kuwa na tabia zisizo faa au kutokua na tabia unazozitegemea.
Kuna vitu kadhaa kadhaa kwa kijana wangu nimechemka kabisa kumbadilisha richa ya kumpiga ,Kuongea nae na mbinu zote.Sasa nikapata wazo la kusoma vitabu najua siwezi kosa mbinu zaidi!!
Je ni vitabu gan naweza soma kwa ajili ya kushinikiza tabia fulani na zikamuingia mtoto passipo kumpiga.
Wataalam wa vitabu karibuni
Huu ukuma uishie misikitini uko, msiwe mnaposti kwenye majukwaa ya watu wenye akili...nmepoteza Mb Zangu bureHiki hapa View attachment 2893604
njia sahihi za kumlea mtoto ni kuhakikisha kwamba unakuwavile ambavyo ungependa na yeye awe.Kama ulilelewa na wazazi wako wote wawili, basi hakuna haja ya vitabu. Fuata misingi yao