Vitabu vya dini vina majibu kuhusu uwepo wa maisha, ustaarabu au viumbe katika sayari nyingine?

Vitabu vya dini vina majibu kuhusu uwepo wa maisha, ustaarabu au viumbe katika sayari nyingine?

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
Kati ya mambo yanayobishaniwa sana na wanasayansi na wadadisi wa ulimwengu ni uwepo wa viumbe katika sayari nyingine. Taifa kama la Marekani limewekeza mabilioni ya dola kufuatilia jambo hili.

Je, vitabu vya dini kubwa(Biblia na Quran) vinasemaje au vinatupa mwanga gani kuhusu uwepo wa maisha, ustaarabu au viumbe katika sayari nyingine?
 
NDYO.BIBLIA IKO WAZI KWA UWEPO WA VIUMBE WENGNE KWNYE SAYARI NYNGNE
 
Maswali Yale Yale ila majibu yanabadilika.
Ustaarabu ni nini?
Ustaarabu unahusiana vipi na utamaduni?
Je, kigezo kikuu cha ustaarabu ni kipi?
Je, dini zimestaarabika ?
Je, kweli binadamu kapewa amri ya kuijaza dunia kwa kuzaliana?
Vipi kuhusu viumbe wengine wanaozaliana, kwanini wanaozaliana?
Ikiwa tendo kuu ni kujumlisha ,kwanini Mwalimu atoe?
 
Hakuna maisha katika sayari nyengine.Katika viumbe waliopo katika dunia ama nje ya dunia,,ukiacha binadamu,, wanyama,,mimea na bacteria na virusi wengine ni majini Tu hakuna zaidi..
Ndivyo kitabu cha dini yako kinavyosema?
 
hivyo vitabu ni vya hadithi tu kama zilivyo hekaya nyingne za abunuasi.
Nakukumbusha Tu mkuu huu mtiririko RELIGION - THEOLOGY - PHILOSOPHY-SCIENCE.
Kama kusingekuwepo dini Leo hapa jukwaani nadhani tungekuwa tunaongelea sayansi kimu.
 
Nakukumbusha Tu mkuu huu mtiririko RELIGION - THEOLOGY - PHILOSOPHY-SCIENCE.
Kama kusingekuwepo dini Leo hapa jukwaani nadhani tungekuwa tunaongelea sayansi kimu.
Kuongelea kitu sio tatizo langu , tatizo langu unachokiongelea unakithibitisha vipi? Ili kila mtu akijue na sio kuishia kuamini tu🤔
 
Back
Top Bottom