Vitabu vya dini vina majibu kuhusu uwepo wa maisha, ustaarabu au viumbe katika sayari nyingine?

Vitabu vya dini vina majibu kuhusu uwepo wa maisha, ustaarabu au viumbe katika sayari nyingine?

Brother Kiranga believing or not believing in the existence of God, both take huge leaps of faith.
I am not interested in faith.

I am interested in facts.

Facts do not take huge leaps of faith.

You have not proved that God exists.
 
Naomba condition unazotumia kuita argument, is logical fallacy.
[Condition gani zinaku,guide kucheki validity of an argument ]
Nawasilisha
Logical fallacies zipo nyingi sana ukienda kwenye encyclopadia ya falsafa ya Stanford utaweza kuzisoma bure.

Logical fallacy inakuwa na loophole ya ku contradict ukweli.

Kwa mfano.

Hii hapa ni logical non sequitur fallacy.

1. Rais wa Tanzania ni mwanamke Mzanzibari.

2. Fatma Karume ni mwanamke Mzanzibari.

3. Fatma Karume, kwa sababu ni mwanamke Mzanzibari, na rais wa Tanzania ni mwanamke mzanzibari, basi Fatma Karume ni rais wa Tanzania.

Statement 1 na 2 zote ziko sawa ila conclusion 3 ni non sequitur fallacy, wrong conclusion inayo assume ukiwa mwanamke Mzanzibari tu basi wewe ni rais wa Tanzania wakati kuna wanawake wengi wa kizanzibari si rais wa Tanzania.

Nikisema hapa mtu kafanya logical fallacy naitaja na hiyo logical fallavy ajifunze kuijua na kuikwepa asifanye tena.

Ni kazi yake angalau kui Google aisome aielewe, ajue ameifanya kweli ama la.

Kama tutabishana tubishane ameifanya au hajaifanya hiyo logical fallacy.
 
I am not interested in faith.

I am interested in facts.

Facts do not take huge leaps of faith.

You have not proved that God exists.


In the Evidence Act, a fact is defined as:
-Anything that can be perceived by the senses
-Any mental state that a person is conscious of
Examples of facts include:
-Objects arranged in a certain order in a certain place
-A person heard or saw something
-A person said certain words
-A person has a certain reputation
...........................
Are these the facts?
 
Nasikia mtu bila aibu anasema niwekee 5000 kwenye 'Mix by Ass' nikajisemea au nimesikia vibaya akarudia niwekee 5000 kwenye 'Mix by Ass'
 
In the Evidence Act, a fact is defined as:
-Anything that can be perceived by the senses
-Any mental state that a person is conscious of
Examples of facts include:
-Objects arranged in a certain order in a certain place
-A person heard or saw something
-A person said certain words
-A person has a certain reputation
...........................
Are those the facts?
This itself is an example of a logical fallacy.

There are several fallacies here.

1. Argument from authority. You are making this "evidwnce act" as authority.

2. Argument from dictionary. You are taking a definition from a certain source and running with it rwgarsl3ss of anything else.

If I sit here and perceive Bob Marley to be alive and singing, because I am watching Bob Marley singing on TV, does that mean Bob Marley is alive and singing?

If I am conscious of a mental state in which I am the current US president, does that mean it is a fact I am tge US president?
 
Everything is about Faith.
Even if wverything is about faith, which is nit true, tgat still does not prove God exists.

Wewe ni kama mtu ambaye humjui baba yako mzazi ni nani. Wewe mweusi tii Muafrika unasema James Bond 007 ni baba yako.

Nakwambia thibitisha kwamba Jamws Bond ni baba yako kweli.

Unaniambia hiyo ni imani yako.

Nakwambia imani si lazima iendane na ukweli.

Unanianbia kila kitu ni imani.

Hata kama kila kitu ni imani, jambo ambalo si kweli, bado hilo halithibitishi James Bond ni baba yako.

Hujathibitisha Mungu yupo, unathibitisha kuwa huwezi kuthibitisha.
 
Logical fallacies zipo nyingi sana ukienda kwenye encyclopadia ya falsafa ya Stanford utaweza kuzisoma bure.

Logical fallacy inakuwa na loophole ya ku contradict ukweli.

Kwa mfano.

Hii hapa ni logical non sequitur fallacy.

1. Rais wa Tanzania ni mwanamke Mzanzibari.

2. Fatma Karume ni mwanamke Mzanzibari.

3. Fatma Karume, kwa sababu ni mwanamke Mzanzibari, na rais wa Tanzania ni mwanamke mzanzibari, basi Fatma Karume ni rais wa Tanzania.

Statement 1 na 2 zote ziko sawa ila conclusion 3 ni non sequitur fallacy, wrong conclusion inayo assume ukiwa mwanamke Mzanzibari tu basi wewe ni rais wa Tanzania wakati kuna wanawake wengi wa kizanzibari si rais wa Tanzania.

Nikisema hapa mtu kafanya logical fallacy naitaja na hiyo logical fallavy ajifunze kuijua na kuikwepa asifanye tena.

Ni kazi yake angalau kui Google aisome aielewe, ajue ameifanya kweli ama la.

Kama tutabishana tubishane ameifanya au hajaifanya hiyo logical fallacy.
"encyclopadia ya falsafa ya Stanford" unaweza ukanisaidia niipate hii.
 
This itself is an example of a logical fallacy.

There are several fallacies here.

1. Argument from authority. You are making this "evidwnce act" as authority.

2. Argument from dictionary. You are taking a definition from a certain source and running with it rwgarsl3ss of anything else.

If I sit here and perceive Bob Marley to be alive and singing, because I am watching Bob Marley singing on TV, does that mean Bob Marley is alive and singing?

If I am conscious of a mental state in which I am the current US president, does that mean it is a fact I am tge US president?

here, I am contradicting you.
It is not true that you said , I have taken the meaning of the word without regarding anything else.
I have not given the meaning of the word 'Fact' arbitrarily.
I have taken the meaning of the word 'Fact' by regarding its use in the 'evidence act'.
Here you will have understood me
 
here, I am contradicting you.
It is not true that you said , I have taken the meaning of the word without regarding anything else.
I have not given the meaning of the word 'Fact' arbitrarily.
I have taken the meaning of the word 'Fact' by regarding its use in the 'evidence act'.
Here you will have understood me
But what is "evidence act"?

Is that an act of law or legal standard?

Laws and legal principles are not necessarily facts.

When the law uses the concept of "an act of God" that does not necessarily mean that this is an act performed by God factually. This is just a legal device to say that something happenned and it was completely out of the control of humans.

This is why laws are reviewed and amended accordingly as we gain better understanding.

Look up "argument from dictionary" logical fallacy and see how this is one.

Look up "argument from authority" logical fallacy and see how this is one.
 
'
But what is "evidence act"?

Is that an act of law or legal standard?

Laws and legal principles are not necessarily facts.

When the law uses the concept of "an act of God" that does not necessarily mean that this is an act performed by God factually. This is just a legal device to say that something happenned and it was completely out of the control of humans.

This is why laws are reviewed and amended accordingly as we gain better understanding.

Look up "argument from dictionary" logical fallacy and see how this is one.

Look up "argument from authority" logical fallacy and see how this is one.
'Evidence act' is the regardance also the basic of my point
Evidence act' is neither law nor legal standard likely your point depended.
But what is "evidence act"?

Is that an act of law or legal standard?

Laws and legal principles are not necessarily facts.

When the law uses the concept of "an act of God" that does not necessarily mean that this is an act performed by God factually. This is just a legal device to say that something happenned and it was completely out of the control of humans.

This is why laws are reviewed and amended accordingly as we gain better understanding.

Look up "argument from dictionary" logical fallacy and see how this is one.

Look up "argument from authority" logical fallacy and see how this is one.
that is neither act of law nor legal standard
What are the law and the legal standard?
But,
I have presented my point by using the sentences and not the statements .
So, contradict the sentence and not the statement
 
'
'Evidence act' is the regardance also the basic of my point
Evidence act' is neither law nor legal standard likely your point depended.

that is neither act of law nor legal standard
What are the law and the legal standard?
But,
I have presented my point by using the sentences and not the statements .
So, contradict the sentence and not the statement
What is "evidence act" ?
 
Kati ya mambo yanayobishaniwa sana na wanasayansi na wadadisi wa ulimwengu ni uwepo wa viumbe katika sayari nyingine. Taifa kama la Marekani limewekeza mabilioni ya dola kufuatilia jambo hili.

Je, vitabu vya dini kubwa(Biblia na Quran) vinasemaje au vinatupa mwanga gani kuhusu uwepo wa maisha, ustaarabu au viumbe katika sayari nyingine?
Biblia imegusia kuhusu dunia mpya na nchi mpya soma vizuri upate ufunuo mpya, binadamu ni viumbe vidogo sana kwa Mungu ila wanapenda hekaheka.
 
Back
Top Bottom