Vitabu vya dini vina majibu kuhusu uwepo wa maisha, ustaarabu au viumbe katika sayari nyingine?

Vitabu vya dini vina majibu kuhusu uwepo wa maisha, ustaarabu au viumbe katika sayari nyingine?

Kati ya mambo yanayobishaniwa sana na wanasayansi na wadadisi wa ulimwengu ni uwepo wa viumbe katika sayari nyingine. Taifa kama la Marekani limewekeza mabilioni ya dola kufuatilia jambo hili.

Je vitabu vya dini kubwa(Biblia na Quran) vinasemaje au vinatupa mwanga gani kuhusu uwepo wa maisha, ustaarabu au viumbe katika sayari nyingine?
Hivi biblia imezungumzia sayari zingine kweli? Nadhani imezungumzia dunia tu na maisha ya dunia.
 
Dunia ina oksjen,, nitrogen,, hydrogen,, carbon dioxide nk lakini kwa ajili ya wanyama,,samaki,,binadamu na bacteria na wadudu hewa ya muhimu sana ni oksijen
Haiwezekani viumbe wa sayari nyingine wakawa wanatumia hewa nyingine tofauti na oksijeni?
 
Thibitisha Mungu yupo.
Siwez jenga hoja na mtu aliyeshikiwa akili.
Kweny uzi mwingine I told juu leta hoja unazoona ni contradictions kweny bible ukaenda ku-google na ku-copy website page nzima ukanishushia pale, inachekesha at the same time inashusha morale ya kujenga hoja na mtu anayefanya kitu kama hicho.

I can't argue with someone without any original thoughts.
 
Kati ya mambo yanayobishaniwa sana na wanasayansi na wadadisi wa ulimwengu ni uwepo wa viumbe katika sayari nyingine. Taifa kama la Marekani limewekeza mabilioni ya dola kufuatilia jambo hili.

Je, vitabu vya dini kubwa(Biblia na Quran) vinasemaje au vinatupa mwanga gani kuhusu uwepo wa maisha, ustaarabu au viumbe katika sayari nyingine?
Vitabu vya hovyo sana. Vina ngano na miiujiza lakini havina majibu yoyote ya maana. Mwanzoni wakristo waliamini kuwa vitu vyote vinazunguka dunia kiasi cha kuwapatiliza akina Gallileo bure na baadaye kuwaomba msamaha wakiwa mavumbi. Kimsingi, dini ni utapeli wa kawaida sawa na upiga ramli na siasa.
 
Siwez jenga hoja na mtu aliyeshikiwa akili.
Kweny uzi mwingine I told juu leta hoja unazoona ni contradictions kweny bible ukaenda ku-google na ku-copy website page nzima ukanishushia pale, inachekesha at the same time inashusha morale ya kujenga hoja na mtu anayefanya kitu kama hicho.

I can't argue with someone without any original thoughts.
Which is original thought.?
What you was thinked as your new thought?
I can't argue you also by my self
 
Vitabu vya hovyo sana. Vina ngano na miiujiza lakini havina majibu yoyote ya maana. Mwanzoni wakristo waliamini kuwa vitu vyote vinazunguka dunia kiasi cha kuwapatiliza akina Gallileo bure na baadaye kuwaomba msamaha wakiwa mavumbi. Kimsingi, dini ni utapeli wa kawaida sawa na upiga ramli na siasa.
Hapa sijakuelewa Mkuu..
'vina Ngano na miujiza"
Swali, je ni kweli miujiza inatokana na kitabu?
Ngano ukiwa na maana ipi,
Hii hapa chini👇
 

Attachments

  • IMG_20241210_232053.jpg
    IMG_20241210_232053.jpg
    147.6 KB · Views: 2
Hakuna.

Kwa suala nyeti kama hili, kungekuwa na kitu tungeshajua kitambo
Hii dunia ina mambo ya ajabu Sana.
Kuna Pande Mbili , upande wa juu na upande chini, hizi ni Pande zenye Nguvu Sana.
Ila kwa inavyosemekana ni kuwa upande wa juu Una Nguvu Sana kuliko upande wa chini.
Wafuasi wa upande wa chini inasemekana kuwa Wana Nguvu kiasi kwamba huweza kuwaangusha Wafuasi wa upande wa juu, upande ambao unasemekana kuwa na Nguvu kuzidi upande wa chini.
Upande wa juu ni upande tawala.
........................
Hivi, ni ipi kweli ya Mwanadamu,? Haya yanawezekanaje mwanadamu mwingine kuwa uwezo mkubwa ,uwezo fikirishi, uwezo usiojulikana ,Mwanadamu mwingine anakuwaje na uwezo wa kuona mambo ya badae.
Hapa Kwanza!.
 
Siwez jenga hoja na mtu aliyeshikiwa akili.
Kweny uzi mwingine I told juu leta hoja unazoona ni contradictions kweny bible ukaenda ku-google na ku-copy website page nzima ukanishushia pale, inachekesha at the same time inashusha morale ya kujenga hoja na mtu anayefanya kitu kama hicho.

I can't argue with someone without any original thoughts.
Hata kama nimeishiwa akili.

Kuishiwa kwangu akili nako ni uthibitisho Mungu muweza yote, mjuzi wa yote na mwenye upendo wote hayupo.

Mungu huyo kuwepo na kuumba ulimwengu ambao watu wanaweza kuishiwa akili ni contradiction.

Zile contradictions hujajibu hata moja.

Huwezi kujibu.
 
Hata kama nimeishiwa akili.

Kuishiwa kwangu akili nako ni uthibitisho Mungu muweza yote, mjuzi wa yote na mwenye upendo wote hayupo.

Mungu huyo kuwepo na kuumba ulimwengu ambao watu wanaweza kuishiwa akili ni contradiction.

Zile contradictions hujajibu hata moja.

Huwezi kujibu.
Mungu yupo , kama jinsi ilivyo kwa oksijeni unayoivuta kila sekunde hujawahi kuiona ipoje, na kuishia kusema, kwamba it colourless, tasteless odourless etc.
Usitafute kumwona Mungu kama unavyomwona Mazoea.
Ukuu wa Mungu ndiyo unaonekana na hujidhihirisha katikati ya watu wake
 
Mungu yupo , kama jinsi ilivyo kwa oksijeni unayoivuta kila sekunde hujawahi kuiona ipoje, na kuishia kusema, kwamba it colourless, tasteless odourless etc.
Usitafute kumwona Mungu kama unavyomwona Mazoea.
Ukuu wa Mungu ndiyo unaonekana na hujidhihirisha katikati ya watu wake
Kwani wapi nimesema natafuta kumuona Mungu?

Wewe hata kuelewa hoja yangu unaelewa?

Hujathibitisha Mungu yupo.

Thibitisha Mungu yupo.
 
Kwani wapi nimesema natafuta kumuona Mungu?

Wewe hata kuelewa hoja yangu unaelewa?

Hujathibitisha Mungu yupo.

Thibitisha Mungu yupo.
Vithibitisho vya uwepo wa Mungu.
Ni matendo yake jinsi anavyojidhihirisha kwenye maisha ya wanadamu.
Je, unaelewa Mungu ni wa namna gani?
Hachunguziki, Bali kila Mwanadamu anaouwezo wa kuelezea ukuu wa Mungu kadri jinsi Mungu alivyojifunua kwa Mwanadamu kupitia Matendo yake Makuu ambayo ni nje ya uwezo wa Mwanadamu.
Uthibitisho wa Uwepo wa Mungu upo kwenye jamii yetu inayotuzunguka, Ukuu wake unaonekana.
Watu kila siku wanashuhudia jinsi walivyokombolewa ,Jinsi Mungu alivyowasaidia kutoka kwenye Kifungo cha Nguvu za Giza ,
Watu wanapokea uponyaji kila siku, watu wanapata majibu ya matatizo ambayo yalishindikana kwa uwezo wa Mwanadamu.
Je, huna Imani na jamii inayokuzunguka?
Rehema na kweli zisifarakane nawe.
 
Vithibitisho vya uwepo wa Mungu.
Ni matendo yake jinsi anavyojidhihirisha kwenye maisha ya wanadamu.
Je, unaelewa Mungu ni wa namba gani?
Hachunguziki, Bali kila Mwanadamu anaouwezo wa kuelezea ukuu wa Mungu kadri jinsi Mungu alivyojifunua kwa Mwanadamu kupitia Matendo yake Makuu ambayo ni nje ya uwezo wa Mwanadamu.
Uthibitisho wa Uwepo wa Mungu upo kwenye jamii yetu inayotuzunguka, Ukuu wake unaonekana.
Watu kila siku wanashuhudia jinsi walivyokombolewa ,Jinsi Mungu alivyowasaidia kutoka kwenye Kifungo cha Nguvu za Giza.
Je, huna Imani na jamii inayokuzunguka?
Rehema na kweli zisifarakane nawe.
Hujathibitisha Mungu yupo unafanya circular argument.

Nakuambia thibitisha Mungu yupo.

Unaniambia Mungu yupo kwa sababu tunaona matendo yake.

Unahakikishaje hayo matendo ni ya Mungu tu na si vinginevyo?

Unasema Mungu hachunguziki.

Sasa kama Mungu hachunguziki wewe umejuaje hachunguziki?

Kama Mungu hachunguziki, umejuaje haya ni matendo ya Mungu?

Na unajuaje hiyo habari kwamba Mungu hachunguziki si ya kutungwa na watu tu kukupoza ukubali Mungu yupo bila uthibitisho wa uchunguzi?

Unasema kila mwanadamu anaelezea ukuu wa Mungu, mimi na atgeists wengi hatukubali uwepo wa Nungu hapo huna hoja, unalqzinisha mambo tu.

Kusema watu wengi kumshuhudia Mungu yupo ndiyo uthibitisho Mungu yupo ni logical fallacy, argument from popularity. Watu wengi kushuhudia kitu hakufanyi kitu kiwe kweli. Kitu cha kweli kinaweza kisikubalike na wengi, halafu cha uongo kikakubalika na wengi.

Ukweli hautegemei jura za watu, utasimama palepale ukikubaliwa na watu wengi au wachache.

Hujathibitisha Mungu yupo.

Umeandika circular logic na logical fallacies mwanzo mpaka mwisho.

Hujathibitisha Mungu yupo.
 
Hata kama nimeishiwa akili.

Kuishiwa kwangu akili nako ni uthibitisho Mungu muweza yote, mjuzi wa yote na mwenye upendo wote hayupo.

Mungu huyo kuwepo na kuumba ulimwengu ambao watu wanaweza kuishiwa akili ni contradiction.

Zile contradictions hujajibu hata moja.

Huwezi kujibu.
Kuishiwa akili ≠ kushikiliwa akili
Soma vizur nilichoandika.

Unajitafutia gonjwa then unamlaumu mungu, seriously?
 
Kuishiwa akili ≠ kushikiliwa akili
Soma vizur nilichoandika.

Unajitafutia gonjwa then unamlaumu mungu, seriously?
Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote angekuwapo, kusingewezekana kuwepo kuishiwa akili, kushikiliwa akili wala ugonjwa.

Hayo yote kuwepo ni ku contradict uwepo wa Mungu huyo.

Lakini wewe huelewi.

Kwa sababu huelewi the problem of evil, huelewi Epicurean paradox.

Na kutoelewa kwako pia ni uthibitisho kwamba Mungu huyo hayupo.

Angekuwapo, asingekuwa mkatili hivyo kukunyima uelewa wa kitu basic kama hicho.

Hujathibitisha Mungu yupo.

Hujapangua contradictions nilizokuwekea, hata mija.
 
Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote angekuwapo, kusingewezekana kuwepo kuishiwa akili, kushikiliwa akili wala ugonjwa.

Hayo yote kuwepo ni ku contradict uwepo wa Mungu huyo.

Lakini wewe huelewi.

Kwa sababu huelewi the problem of evil, huelewi Epicurean paradox.

Na kutoelewa kwako pia ni uthibitisho kwamba Mungu huyo hayupo.

Angekuwapo, asingekuwa mkatili hivyo kukunyima uelewa wa kitu basic kama hicho.

Hujathibitisha Mungu yupo.

Hujapangua contradictions nilizokuwekea, hata mija.
Brother Kiranga believing or not believing in the existence of God, both take huge leaps of faith.
 
Hujathibitisha Mungu yupo unafanya circular argument.

Nakuambia thibitisha Mungu yupo.

Unaniambia Mungu yupo kwa sababu tunaona matendo yake.

Unahakikishaje hayo matendo ni ya Mungu tu na si vinginevyo?

Unasema Mungu hachunguziki.

Sasa kama Mungu hachunguziki wewe umejuaje hachunguziki?

Kama Mungu hachunguziki, umejuaje haya ni matendo ya Mungu?

Na unajuaje hiyo habari kwamba Mungu hachunguziki si ya kutungwa na watu tu kukupoza ukubali Mungu yupo bila uthibitisho wa uchunguzi?

Unasema kila mwanadamu anaelezea ukuu wa Mungu, mimi na atgeists wengi hatukubali uwepo wa Nungu hapo huna hoja, unalqzinisha mambo tu.

Kusema watu wengi kumshuhudia Mungu yupo ndiyo uthibitisho Mungu yupo ni logical fallacy, argument from popularity. Watu wengi kushuhudia kitu hakufanyi kitu kiwe kweli. Kitu cha kweli kinaweza kisikubalike na wengi, halafu cha uongo kikakubalika na wengi.

Ukweli hautegemei jura za watu, utasimama palepale ukikubaliwa na watu wengi au wachache.

Hujathibitisha Mungu yupo.

Umeandika circular logic na logical fallacies mwanzo mpaka mwisho.

Hujathibitisha Mungu yupo.
Naomba condition unazotumia kuita argument, is logical fallacy.
[Condition gani zinaku,guide kucheki validity of an argument ]
Nawasilisha
 
Back
Top Bottom