Thibitisha uwepo wa Mungu.It doesn't make sense mungu aumbe infinite universe then aeke viumbe hai kweny sayari yetu tu.
There is something out there.
Thibitisha haya.Hakuna maisha katika sayari nyengine.Katika viumbe waliopo katika dunia ama nje ya dunia,,ukiacha binadamu,, wanyama,,mimba na bacteria na virusi wengine ni majini Tu hakuna zaidi
Thibitisha Mungu yupo.It doesn't make sense mungu aumbe infinite universe then aeke viumbe hai kweny sayari yetu tu.
There is something out there.
Umekubaliana naye au umekataa?Thibitisha haya.
Atoe uthibitisho kwanza ili nijue kama nakubali ama kukataa.Umekubaliana naye au umekataa?
Hewa siyo oksijeni pekee.Sayari yenye hewa ya oksijen ni dunia Tu.
Nakukumbusha Tu mkuu huu mtiririko RELIGION - THEOLOGY - PHILOSOPHY-SCIENCE.hivyo vitabu ni vya hadithi tu kama zilivyo hekaya nyingne za abunuasi.
Nàam.Ndivyo kitabu cha dini yako kinavyosema?
Kuongelea kitu sio tatizo langu , tatizo langu unachokiongelea unakithibitisha vipi? Ili kila mtu akijue na sio kuishia kuamini tu🤔Nakukumbusha Tu mkuu huu mtiririko RELIGION - THEOLOGY - PHILOSOPHY-SCIENCE.
Kama kusingekuwepo dini Leo hapa jukwaani nadhani tungekuwa tunaongelea sayansi kimu.
Una Uhakika?Sayari yenye hewa ya oksijen ni dunia Tu.
😁😁😁Una Uhakika?
Kuan sayari kama Kepler-452b,Proxima Centauri b na TRAPPIST-1 system Umezipima Lini?