Vitabu vyangu bora vya nyakati zote. Vipi vyako?

Vitabu vyangu bora vya nyakati zote. Vipi vyako?

Naam na mimi ngoja nifanye kushare top favorite books.
1.Twilight saga
Hii ni riwaya ya kusisimua iliyoandikwa na Stephanie meyer inayomhusisha mrembo mmoja anaitwa Isabella swan baada ya kutoka kutemtembelea mama yake california anarud washington kwa baba yake ambaye washatengana na mama yake .lakini katika hali ya kutatanisha akiwa shuleni anajikuta anampenda mkaka mmoja hivi anaitwa Edward ambaye ni vampire kutoka familia ya cullens hapo ndipo utamu unaanzia..by the way Hii riwaya ina movie yake.
View attachment 1864958

2.LONDONISTAN
Chake mwana mama melanie phillips
Ambacho kinaelezea ni jinsi gani mitaa ya London ilikuwa chimbo la magaidi haswa waliolipua wtc huko manhattan USA mwaka 2001 na pia waliolipua treni ya chini ya ardhi huko london mwaka 2005.

3.MIND WARS.
hichi ni kitabu ambacho kwa kiasi kikubwa kinaelezea ni jinsi gani mtu anaweza kushikiliwa akili yake ( mind control)pasipo ridhaa yake kwa njia mbalimbali kuanzia mafunzo ya kidini,media,ugaidi ,hadi kupigwa shoti za ubongo ( electroshock )
Ili kufanya alteration ya personality ya mtu either positively or negatively.
Kitabu hiki kime inspire kwa kiasi kikubwa utengenezwaji wa filamu zifuatazo
Kama; the manchurian candidate ya 2004 ,jason bourne film series n.k.

View attachment 1864984
Asante. Nashukuru kwa hicho cha Londonistan. Nitakitafuta.
Screenshot_20210723-203100.jpg
 
Naam na mimi ngoja nifanye kushare top favorite books.
1.Twilight saga
Hii ni riwaya ya kusisimua iliyoandikwa na Stephanie meyer inayomhusisha mrembo mmoja anaitwa Isabella swan baada ya kutoka kutemtembelea mama yake california anarud washington kwa baba yake ambaye washatengana na mama yake .lakini katika hali ya kutatanisha akiwa shuleni anajikuta anampenda mkaka mmoja hivi anaitwa Edward ambaye ni vampire kutoka familia ya cullens hapo ndipo utamu unaanzia..by the way Hii riwaya ina movie yake.
View attachment 1864958

2.LONDONISTAN
Chake mwana mama melanie phillips
Ambacho kinaelezea ni jinsi gani mitaa ya London ilikuwa chimbo la magaidi haswa waliolipua wtc huko manhattan USA mwaka 2001 na pia waliolipua treni ya chini ya ardhi huko london mwaka 2005.

3.MIND WARS.
hichi ni kitabu ambacho kwa kiasi kikubwa kinaelezea ni jinsi gani mtu anaweza kushikiliwa akili yake ( mind control)pasipo ridhaa yake kwa njia mbalimbali kuanzia mafunzo ya kidini,media,ugaidi ,hadi kupigwa shoti za ubongo ( electroshock )
Ili kufanya alteration ya personality ya mtu either positively or negatively.
Kitabu hiki kime inspire kwa kiasi kikubwa utengenezwaji wa filamu zifuatazo
Kama; the manchurian candidate ya 2004 ,jason bourne film series n.k.

View attachment 1864984
Mind wars.. interesting.

Check ni hiki cha Singer. Hiki kinaelezea mbinu sita zinazotumiwa na taasisi au watu 'wapigaji' na wanavyowarubuni watu na jinis ya kujinasua.
51AdpNZF6ZL._SX321_BO1%2C204%2C203%2C200_.jpg
 
Binafsi i am a big fan of Business books, Human psychology books and Success books.

Kwa business book, my greatest books of all time so far ni,

Four steps to the Epiphany by Steve Blank

Testing business ideas by Alexander Osterwalder

Business model generation by Alexander Osterwalder

Value Proposition design by Alexander Osterwalder

The invincible Company by Alexander Osterwalder

Must read books kwa wanazi wa biashara kama mimi. Niseme tu hutojuta.
Shukrani kaka.

On business, i do recommend this too.
810u9MkT3SL.jpg
 
Nimesoma vitabu vingi ila 'Green eggs and ham' ya dr. Seuss Ni mwisho wa reli.
Yaani jamaa is very eloquent Na uandishi wake wakuu ...the best book ever..I mean the best FULLSTOP

Reading it is like walking in a reader's paradise....
It's pages are So smooth and wooly like royal sheets of old.
Perusing it's chapters is so pleasant like swimming in silver and gold.

Reading it's parts with conflict is very jaw dropping, like experiencing the chaos of a tornado brought by a million butterflies flapping their wings...
Reading Its resolutions is like massaging your eyes with soft buttery honey, whilst relaxing your train of thoughts in a garden swing where kids nearby with sweet lullabies sing..

It's characters are so mesmerizing, marvelous and Prodigious.

It's plot is so unique, so groundbreaking the most epic your eyes have ever seen,ears have ever heard and brains have ever grasped.

In short it is not the best book of this generation,century,era or even millennium.
It is the best book to ever exist and that will ever exist it is the best book of all eternity
 
Kijana acha bangi, badala ya kutuwekea vitabu unaweka ma cover ya vitabu....
 
Mkuu hongera sana kwa kusoma Guns Germs and Steel. Binafsi nimekisoma pia. Ukitaka kusoma kazi nyingine za aina hiyo tafuta.

1. The Seven Daughters of Eve cha Bryan Sykes
2. The Journey of Man cha Spencer Wells

Hivi nimevisoma vyote vitatu. Cha Wells hapa sina kwa sasa
20210723_222638.jpg
 
Artificial Inteligence!!?,hii imenikumbusha biashara ambayo juzi nimeiona ya midoli ya kike ambayo inauzwa laki 7 na kitu kwa ajili ya wanauwe kupunguza mawazo kwa kusex nayo...Ina sifa ya kutomasika au kubonyea pale unapoigusa iwe kifuani au titi,kifupi unafeel kama uko na mtu na sio mdoli tena.
 
Bonge moja la kitabu nimekusoma zaid ya mara5 .
Mwamba bill gates alikielezea as a true tale of sucess.
Ila phil has got a world class humility, kusoma chuo kama stanford then unauza viatu.
Hata baba yake alikuwa anamdiss sikukupeleka the best school ili uuze viatu.
Ila today's nike is worth $254 billion what a story to devour.
Ni kwamba jamaa alitambua purpose ya yeye kuwa duniani.
Alipata maono (vision) au ndoto ya wapi apitie kufikia hayo makusudi (purpose).

Wanasema hivi ukitaka kujua maono yako yametoka kwa Mungu juu ya ndoto yako ya kimaisha basi kila mtu atakuona mwehu au mjinga au kichaaa.
Hata Nduguzo na wazazi wako wote watakupinga au kukudharau juu ya hiyo ndoto yako.

Unakumbuka jinsi Yusuf (Joseph) alivyoota ndoto atailisha famila yake yote?
Yaani baba , mama na kaka zake. Nao wote watakuwa chini yake?
Kaka zake walimchukia na kumuuliza unadhani wewe ni bora kuliko sisi? Wakamuita the dreamer. Mwishowe kwa chuki wakamtumbukiza kwenye kisima afe, baadaye wakamtoa na kumuuza utumwani Misri. Kule akapitia jela na mwisho akaishia kuishi nyumba ya mfalme Farao akiwa na mamlaka makubwa.
Baadaye akawasaidia nduguze na kuwalisha na kuwaleta Misri....

Ushauri:
1.Tafuta makusudi(purpose) ya maisha yako hapa duniani kisha utapata maono(vision)/ndoto za nini ufanye kutimiza ndoto zako.
2. Siyo kila mipango yako au ndoto zako zote za kimaisha uwashirikishe watu au nduguzo. Unaweza kujenga chuki kati yenu wakawa kikwazo cha kutimiza ndoto zako.

Soma Biblia Mwanzo 37:1-36..(Bible read Genesis 37:1-36..)
CC: Saint Anne Mshana Jr Carleen Paula Paul nisaidieni kumtag Davinci
 
Back
Top Bottom