Vitabu vyangu bora vya nyakati zote. Vipi vyako?

Vitabu vyangu bora vya nyakati zote. Vipi vyako?

Cc: Red Giant Kiranga Paula Paul Iceberg9
Nice write-up OP.
Ni furaha sana kusoma summary zako kuhusu hivo vitabu. Nimependa pia unavyo-anza kwa kumtambulisha mwandishi ni nani. Mimi pia napenda kujua kuhusu mwandishi kabla sijachagua kusoma kitabu.

Thank you for your help maana nikienda kusoma baadhi ya vitabu hapo nitakuwa ninajua naenda kusoma kuhusu nini.
Ila umefanya nimkumbuke Kiranga nikiwa nasoma uchambuzi wako. Na yeye anapenda kusoma vitabu vigumu kama wewe.

Natamani pia uwe unatoa summary ya kitabu kimoja ulichosoma hata kila mwezi hapa. Unaandika vizuri sana.

Nitaleta vya kwangu ambavyo ni best kwa nilivyosoma ila kwa mwaka huu (Jan-sasa). Kwa sababu kila mwaka napata list mpya ninazohisi ni bora zaidi ya zilizopita.

Nowonmai pita huku.
 
Hiki si katika vitabu vyangu bora vya muda wote,ila nawashauri baadhi ya watu,hasa Atheists wakisome kwa kutafakari. Maana kuna kusoma na kusoma kwa kutafakari.


Screenshot_20210724_235407.jpg


Vifuatavyo ni katika vitabu vyangu vya muda wote (hapa nimekiondoa kile kitabu cha imani yangu sababu hiki ni maalum,kadhalika vitabu vilivyo kusanya maneno,vitendo vya Mtume wangu sababu hivi ni katika ufunuo kadhalika),nitakavyo vitaja hapa ni katika vile ambavyo kuna viumbe Mola wetu aliwapa elimu na uandishi, sababu wapo walio pewa elimu lakini hawakuwa waandishi,yaani hawakuandika.

1. Ibn Taymiyyah against Greek Logicians.
Hiki kitabu msingi wake kuwakosoa au kuikosoa logic (Mantiki) kama elimu pweke iliyo asisiwa na kina Aristoto na Plato. Kwa kujenga na ukosoaji hiki ni kitabu bora kwangu.

Kimenifunza ya kuwa si lazima uwe Mwanafalsafa au usome falsafa ndiyo uwe bingwa wa kuhoji au kuuliza maswali fikirishi.

Ukipata kitabu hiki kwa lugha yake ya asili yaani Kiarabu ni bora zaidi,kwa Kiarabu kinaitwa "Nasihat alhlul Imaan fi raddi al Mantiq al Yunaaniy"

2. Incoherence of the Philosophers

Muandishi wa kitabu hiki anaitwa Abul Hamiid al Ghazali,mtu huyu alikuwa mjuzi wa mijadala na kujenga hoja,zama zake aliifanya Falsafa ya Kiyunani ionekane kama elimu ya watu wajinga wasio kuwa na akili. Ilifikia kipindi zama zake ukitaka kutolea mfano juu ya ujinga au wajinga basi ni Wanafalsafa,hakika alifanya kazi kubwa sana.

Kimenifunza mengi sana kitabu hiki.

3. The Soul

Muandishi wa kitabu hiki anaitwa Ibn al Qayyim al Jawziyyah.

Kupitia kitabu hiki nimejifunza ya kuwa Roho haifi,bali Roho ni katika kiimbe chenye mwanzo ila hakina mwisho.

Kwa leo nakomea hapa.
 
Hiki si katika vitabu vyangu bora vya muda wote,ila nawashauri baadhi ya watu,hasa Atheists wakisome kwa kutafakari. Maana kuna kusoma na kusoma kwa kutafakari.


View attachment 1866948

Vifuatavyo ni katika vitabu vyangu vya muda wote (hapa nimekiondoa kile kitabu cha imani yangu sababu hiki ni maalum,kadhalika vitabu vilivyo kusanya maneno,vitendo vya Mtume wangu sababu hivi ni katika ufunuo kadhalika),nitakavyo vitaja hapa ni katika vile ambavyo kuna viumbe Mola wetu aliwapa elimu na uandishi, sababu wapo walio pewa elimu lakini hawakuwa waandishi,yaani hawakuandika.

1. Ibn Taymiyyah against Greek Logicians.
Hiki kitabu msingi wake kuwakosoa au kuikosoa logic (Mantiki) kama elimu pweke iliyo asisiwa na kina Aristoto na Plato. Kwa kujenga na ukosoaji hiki ni kitabu bora kwangu.

Kimenifunza ya kuwa si lazima uwe Mwanafalsafa au usome falsafa ndiyo uwe bingwa wa kuhoji au kuuliza maswali fikirishi.

Ukipata kitabu hiki kwa lugha yake ya asili yaani Kiarabu ni bora zaidi,kwa Kiarabu kinaitwa "Nasihat alhlul Imaan fi raddi al Mantiq al Yunaaniy"

2. Incoherence of the Philosophers

Muandishi wa kitabu hiki anaitwa Abul Hamiid al Ghazali,mtu huyu alikuwa mjuzi wa mijadala na kujenga hoja,zama zake aliifanya Falsafa ya Kiyunani ionekane kama elimu ya watu wajinga wasio kuwa na akili. Ilifikia kipindi zama zake ukitaka kutolea mfano juu ya ujinga au wajinga basi ni Wanafalsafa,hakika alifanya kazi kubwa sana.

Kimenifunza mengi sana kitabu hiki.

3. The Soul

Muandishi wa kitabu hiki anaitwa Ibn al Qayyim al Jawziyyah.

Kupitia kitabu hiki nimejifunza ya kuwa Roho haifi,bali Roho ni katika kiimbe chenye mwanzo ila hakina mwisho.

Kwa leo nakomea hapa.
Aise. Asante sana. Umenipa angle tofauti kabisa ya vitabu. Nitavitafuta hivi. Asante sana kaka.
 
Nice write-up OP.
Ni furaha sana kusoma summary zako kuhusu hivo vitabu. Nimependa pia unavyo-anza kwa kumtambulisha mwandishi ni nani. Mimi pia napenda kujua kuhusu mwandishi kabla sijachagua kusoma kitabu.

Thank you for your help maana nikienda kusoma baadhi ya vitabu hapo nitakuwa ninajua naenda kusoma kuhusu nini.
Ila umefanya nimkumbuke Kiranga nikiwa nasoma uchambuzi wako. Na yeye anapenda kusoma vitabu vigumu kama wewe.

Natamani pia uwe unatoa summary ya kitabu kimoja ulichosoma hata kila mwezi hapa. Unaandika vizuri sana.

Nitaleta vya kwangu ambavyo ni best kwa nilivyosoma ila kwa mwaka huu (Jan-sasa). Kwa sababu kila mwaka napata list mpya ninazohisi ni bora zaidi ya zilizopita.

Nowonmai pita huku.
Asante Paula. Hiyo ya Summary, it can be done. Kuandika ni hobby yangu.

Kuhusu vitabu vigumu, ni mtazamo. Unajua mimi Novels nilikuwa ninapata shida sana kusoma, hadi dada mmoja aliponiingiza kwenye upenzi wa Novel ndipo nilianza kuona raha na uzuri wake. Pengine sababu napenda zaidi subject za Siasa, Historia na Geopolitics ndio maana najikuta napenda vitabu vya namna hiyo, ila trust me, Philosophical books ndio vigumu zaidi kwangu kusoma.[emoji3] Nasubiri kwa hamasa, orodha yako.
 
1.Dark Star Safari; Overland from Cairo to Capetown by Paul Theroux
2.Lords of Poverty by Graham Hancock
3.Dead Aid by Dambisa Moyo
4.Da Vinci Code, Angeles and Demons, The Lost Symbol by Dan Brown.
5.Outliers by Malcolm Gladwell
6.The Book Theif by Markus Zusak
7.A Thousand Splendid Suns
by Khaled Hosseini
8.The Kite Runner by Khaled Hosseini
9.And the Mountain Echoed by Khaled Hossein
10.The River between by Ngugi wa Thiong'o
11.A.man of the People by Chinua Achebe
12.The Beautyful Ones Are Not Yet Born by Ayi Kwei Armah
10.Cry , the beloved country by Alan Paton
 
1.Dark Star Safari; Overland from Cairo to Capetown by Paul Theroux
2.Lords of Poverty by Graham Hancock
3.Dead Aid by Dambisa Moyo
4.Da Vinci Code, Angeles and Demons, The Lost Symbol by Dan Brown.
5.Outliers by Malcolm Gladwell
6.The Book Theif by Markus Zusak
7.A Thousand Splendid Suns
by Khaled Hosseini
8.The Kite Runner by Khaled Hosseini
9.And the Mountain Echoed by Khaled Hossein
10.The River between by Ngugi wa Thiong'o
11.A.man of the People by Chinua Achebe
12.The Beautyful Ones Are Not Yet Born by Ayi Kwei Armah
10.Cry , the beloved country by Alan Paton
Asante Yoda. Nimeokota viwili vitatu hapo kwako.

Outliers ni best kwenye analysis ya mafanikio.
 
Nimeanza kusoma vitabu mwaka huu ila am enjoying a lot
Ni hulka nzuri sana ukiwa nayo. Inakusaidia kupotezea muda huku unajifunza. Kwa sisi wanywaji, inakupunguzua muda wa kukaa bar.
 
Back
Top Bottom