[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Itatia shaka na kichefuchefu kumuona kiongozi wa mpira ana tumbo kubwa linaloning'ia. Kiongozi wa hivi anakatisha tamaa na kuwatia uvivu wachezaji. Kiongozi wa hivi anatia mashaka juu ya umakini wake kwenye tasinia ya michezo. Kifupi hafai kuwa kiongozi wa timu wala chama cha michezo, maana anaonekana mzembe kwa kila MTU.
Hatuwezi kusisitiza fitness kwa wachezaji wakati kiongozi ana kitambi cha kufa mtu. Kiongozi kuwa na kitambi kikubwa wakati wachezaji wanakosa malipo yao inawatia Mashaka ya hela zao kuliwa na kiongozi.
Sahihi[emoji38][emoji38][emoji38]Bila picha huu Uzi ni wakimichongo na mwandishi wake niwakimichongo!
Hao ndy wengi mnoooBora kiongozi wa mpira, vipi kuhusu Afisa wa polisi au mwanajeshi kua na kitambi?
Kuna watu wamekua lazy lakini still wamechafuka minyota mabegani na posho yao sio ya kitoto ila ukiwaambia pushups kumi hawaendiHao ndy wengi mnooo
Ivi vyeo huwa hawaangalii fitness ya mtuKuna watu wamekua lazy lakini still wamechafuka minyota mabegani na posho yao sio ya kitoto ila ukiwaambia pushups kumi hawaendi
Sep BlaterWalazimishwe kufanya mazoezi ili wafanane na wanamichezo LA sivyo wapishe wengine na wasifuatene na timu viwanjani, wabaki ofisini
Acha usnitch mkuu [emoji23]Ni wewe umesema
Hasa kwa upande wa polisi. Ma RPC karibia wote wanavuta matumbo!Hao ndy wengi mnooo