Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Vibaraka wa ID2020Nadhani swala hilo likishika kasi kwa ukanda wetu litaanzia kenya au rwanda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vibaraka wa ID2020Nadhani swala hilo likishika kasi kwa ukanda wetu litaanzia kenya au rwanda
It is Minah!Yaani siamini kabisa kwamba it is happening in my lifetime,mimi niliamini hiki kitu hakitanikuta,things are unfolding just too fast.
Yaani kama ulijua na mimi nawaza hivyohivyo, Kenya kwa East Africa ndio watakuwa wakwanza kujiungaNadhani swala hilo likishika kasi kwa ukanda wetu litaanzia kenya au rwanda
Tuombe ndio mkuu, lakini pia tukumbuke kwamba kama ni mpango wa Mungu, lazimaTrue Mkuu, hata mimi niliamini sana kuwa haya mambo hayatanikuta in my lifetime na siku zote nilikuwa nawawazia sana wanangu na kuumia kuwa wao ndio yatawakuta na watoto wao na nilikuwa nawaombea ili yatakapoanza MUNGU awapiganie. Lakini kwa hii kasi naona Mhh,
Hakika BWANA YESU hauko mbali, eeh MUNGU tupiganie wajawako kwasababu kwa nguvu zetu hatutaweza kukwepa lolote. Ni wewe tu MUNGU wetu.
Je, utaishangaa hii? Hili ndilo jina la act iliyopitishwa Marekani for testing, reaching, and contacting every one(TRACE). Please note the number! Does it tell you anything?The mark of the beast
I've also seen this toka kitambo. If I'm not mistaken bill gates ndie atatengeneza hivi vifaaJe,utaishangaa hii?Hili ndilo jina la act iliyopitishwa Marekani for testing,reaching,and contacting every one(TRACE).Please note the number!Does it tell you anything?
H.R.6666 - COVID-19 Testing, Reaching, And Contacting Everyone (TRACE) Act
For how long can we reject this tech?Tanzania ni Taifa pekee ambalo Mungu amekusudia Watanzania wasiwekwe hizo Chip ndo maana kamleta Rais Magufuli ni lazima haukatae huo mpango.Ni maoni yangu hata Kama utaona ni Utopolo fc.
Ni kizungu mkuti frankly. Na hawa watu ni so shrewd kiasi kwamba they will use any means possible to make sure that they have a puppet President in place as in Kenya, hasa kwa kuwa to them Tanzania is a strategic country because of its' reach mineral resources.We will reject this tech for how long?
Considering, Consent is voluntary, but enforcement will be compulsory ?
It's obvious Magufuli will eventually not be our president one day, so what will new president do about it then?
Shetani amewachagua hasa Marekani na Uingereza ili watekeleze maslahi yake kwa Wanadamu.Haya yote unayo ona yanatendeka ni kwa maslahi ya Shetani na wanaoyatekeleza akina Bill Gates Rockefeller,George Soros,Rothschild,Anthony Fauci ni agents wake,anawatumia kama makarai tu.They surely have been cheated by the Devil as he usually does.Naamini Shetani amewadanganya kwamba yeye ndiye Mungu,very stupid indeed.Anthony Fauci kwa mfano ni a staunch Jesuit,na Jesuit ndio wabaya kweli kweli,ni waaminifu sana kwa bwana wao Shetani.Wengine ni Skull and Bones na Freemasons kama Rothschild.huyu kiumbe anayeitwa mzungu mbona anahangaika sana na binadamu wenzake namna hii
mbona mwarabu hayupo hivi
As long as magufuli is our president, we can be certain that he won't allow this. When the next president comes, nobody knows.For how long can we reject this tech?
Considering, Consent is voluntary, but enforcement will be compulsory ?
It's obvious Magufuli will eventually not be our president one day, so what will new president do about it then?
hawa jamaa ukisoma mambo yao utadhani sio binadamu wa kawaida cha ajabu na wao wanazeeka na kufa kama kawaidaShetani amewachagua hasa Marekani na Uingereza ili watekeleze maslahi yake kwa Wanadamu.Haya yote unayo ona yanatendeka ni kwa maslahi ya Shetani na wanaoyatekeleza akina Bill Gates Rockefeller,George Soros,Rothschild,Anthony Fauci ni agents wake,anawatumia kama makarai tu.They surely have been cheated by the Devil as he usually does.Naamini Shetani amewadanganya kwamba yeye ndiye Mungu,very stupid indeed.Anthony Fauci kwa mfano ni a staunch Jesuit,na Jesuit ndio wabaya kweli kweli,ni waaminifu sana kwa bwana wao Shetani.Wengine ni Skull and Bones na Freemasons kama Rothschild.
Na unajua kwa nini wanahangaika sana mkuu,Shetani anajua hana muda mwingi uliobaki.Si unajua he will rule the World for only 7 years,na baada ya hapo anakwenda kifungoni for 1000 yrs,and then atahukumiwa kwa kutupwa kwenye jehanam ya moto na wote aliowadanganya for eternity.
Mkuu hawatakuwa na cha kujitetea au udhuru,hata kama Injili itakuwa haijawafikia.Mpango wa Mungu ni kwamba kila mtu aisikie Injili amkatae Bwana Yesu mwenyewe.Kwa wale ambao watakuwa wamekufa bila kuisikia Injili au katika Sheria,Biblia imeweka mambo wazi jinsi hukumu yao itakavyo kuwa.Soma maandiko yafuatayo ili uone jinsi Mungu atakavyo wahukumu watu kama hao! Warumi1:18-23 halafu Warumi 2:11-16.hawa jamaa ukisoma mambo yao utadhani sio binadamu wa kawaida cha ajabu na wao wanazeeka na kufa kama kawaida
nilidhani mambo wanayoyafanya wangekua tofauti kidogo na sisi wa kawaida mf bush snr wanasema yeye ni skull n bones amekufa kama binadamu wengine kazeeka mpaka akawa anatembea na kiti cha matairi wangekua angalau hawazeeki basi
ila kiongozi mi ni mkatoliki hapo mwisho kwenye mambo ya shetani na moto wa milele ni kwetu sisi tu RC au maana kuna watu huko china thailand na kwengineo haya mambo hayapo hivi wanafikiriwaje hawa