Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nchi Ina Makandokando TeleNdo cash walizonunua wapinzani
Vya mwaka huu vinatoka mwezi wa sita.Bado vinaendelea kuuzwa/kutolewa?
Noma sana mkuu.Wamachinga washaambiwa waondoke barabarabi huko kkoo
Machinga leo hawaamini wanachokionaZa asubuhi wadau,
Uongozi wa hayati ulikua na mambo mengi yenye ukakasi. Mojawapo ni hili la kuwauzia wamachinga kitambulisho kisicho na utambulisho wowote wa anaye kimiliki.
Manaake kitambulisho kingeweza kudondoka na kikaokotwa na kutumiwa na mtu mwingine.
La kushangaza zaidi malipo ya hivi kitambulisho hayakuwa na risiti na makusanyo hayakufanywa na TRA.
Kuna kipindi nguvu flani ilitumika kulazimisha machinga, mamantilie, waosha magari, washona viatu kuwa na hivi vitambulisho.
Kibaya zaidi haijulikani hi biashara ilianzishwa kwa madhumni gani. Je, ni biashara ilikua inafanywa na mtu pale state house. Ile hela ilienda kufanya nini, kuna taarifa ya mapato na matumizi.
Je, yale makusanyo yapo kwenye sheria ya kodi. Je, ulikuwa ni ufisadi unafanyika pale mahala patakaifu?
Imepigwa Counter Attack, Machinga Wamepotea Wanashambuliwa Bila Kujari Una ID Ama HunaMachinga leo hawaamini wanachokiona
Hapo Ndiyo Pakuanzia Huyo Bwana Mghabho Atuambie