Dodoma moja
JF-Expert Member
- Jan 3, 2014
- 307
- 182
Habari zenu wakuu, niliwahi kulala kwenye hoteli moja jijini mwanza ambayo ni miongoni mwa hoteli kubwa jijini mwanza kitu nilichovutiwa nacho ukiachilia mbali mambo mengine ni kitanda kwani hakikuwa vile vitanda nilivyozoea kuviona, nikianza kwenye kitanda chenyewe ni kirefu siyo ile futi 6 tuliyoizoea nadhani kitakuwa ni futi 7 au 8 lakini pia godoro lenyewe ni lile la kiwango sana ni laini kiasi kwamba ukilala staili yoyote na lenyewe linakupeleka hivyo hivyo kiufupi halichoshi unalala usingizi mzuri sana.
Kwa anaefahamu je ni wapi vinapatikana hivi vitanda pamoja na magodoro yake au watu wa mahotel wanaagiza nje?
Kwa anaefahamu je ni wapi vinapatikana hivi vitanda pamoja na magodoro yake au watu wa mahotel wanaagiza nje?