Habarini wakuu,
Najua sisi sote tulipokuwa wadogo tulikuwa tunapenda vitendawili, nahau, mthali na mafumbo. Huu ni Uzi maalumu kwa ajili ya kukumbuka enzi zetu ttukiwa shule yacmsingi....
Utaratibu ni kuwa MTU atatoa kitendawili, methali, nahau au fumbo na memba wengine wanajibu na utaratibu utaendelea vivo hivyo
Nikianza Mimi...kitendawili......nyumba yangu haina mlango........
Najua sisi sote tulipokuwa wadogo tulikuwa tunapenda vitendawili, nahau, mthali na mafumbo. Huu ni Uzi maalumu kwa ajili ya kukumbuka enzi zetu ttukiwa shule yacmsingi....
Utaratibu ni kuwa MTU atatoa kitendawili, methali, nahau au fumbo na memba wengine wanajibu na utaratibu utaendelea vivo hivyo
Nikianza Mimi...kitendawili......nyumba yangu haina mlango........