Vitendo vya kihalifu nchini tishio kwa usalama wa raia na mali zao

Vitendo vya kihalifu nchini tishio kwa usalama wa raia na mali zao

Ila humu raha sana maisha yanayozungumziwa humu sio yale tunayoyaishi huku mtipesa😁😁😁et chupi mkononi
 
Wee hawezi kufanya hiyo mikopo ya chupi, naona yupo kwenye saccos zinazotambulika rasmi za makazini

Hujatujua wanawake vizuri wewe [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Wee hawezi kufanya hiyo mikopo ya chupi, naona yupo kwenye saccos zinazotambulika rasmi za makazini
Saccoss zipi za makazini?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Usinikumbushee kisangaa cha binamu yangu wa kike.

Yaan mbavu sinaa hapaaa, woiiiiii
 
Back
Top Bottom