Mpaji Mungu
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 13,544
- 43,537
Duuuh, hatari sana
Wee hawezi kufanya hiyo mikopo ya chupi, naona yupo kwenye saccos zinazotambulika rasmi za makaziniMkataze wifi, maana wanawake sisi jeuri na tunapenda hizo mambo.
Wee hawezi kufanya hiyo mikopo ya chupi, naona yupo kwenye saccos zinazotambulika rasmi za makazini
Saccoss zipi za makazini?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wee hawezi kufanya hiyo mikopo ya chupi, naona yupo kwenye saccos zinazotambulika rasmi za makazini
[emoji3][emoji3][emoji3]Wanatumika udugu mpk huruma wanavyokonda kwa kupigwa mikuyenge
Hii mikopo sio kabisaaaaa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Haha hela mnapelekaga wapi mkichukua hiyo mikopoHujatujua wanawake vizuri wewe [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Haha hela mnapelekaga wapi mkichukua hiyo mikopo
Kazi mnayo aiseeKwa lulu’s hair na ujinga mwingine wa kike wote na kuvimba kwa mashogare km tunazo [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Temeke wanafanyeje?Ilikua Arusha sana hii, sahivi iko hapo Tandika na temekee.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]