Vitendo vya Onesmo Buswelu vyaifanya Mahakama Kuu itoe fidia ya milioni 100

Vitendo vya Onesmo Buswelu vyaifanya Mahakama Kuu itoe fidia ya milioni 100

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
Mkuu wa Wilaya ya Siha, Onesmo Buswelu alimkamata mtu, akamuweka ndani kwa siku kadhaa.

Mahakama Kuu Kanda ya Moshi imetoa amri kwamba serikali ilipe fidia ya milioni 90 na Mkuu wa Wilaya alipe fidia ya milioni kumi.

Maamuzi mabaya yanaligharimu taifa, piga hesabu TRA wanahangaika kukusanya fedha, inabidi zilipwe kwa ujinga wa mtu mmoja, serikali izikate kwenye mafao yake

Hakika ma-DC wa Jiwe wanaonja joto ya jiwe.
Screenshot_20230131-131205.jpg
Screenshot_20230131-131151.jpg
 
Mkuu wa Wilaya ya Siha, Onesmo Buswelu alimkamata mtu, akamuweka ndani kwa siku kadhaa.

Mahakama Kuu Kanda ya Moshi imetoa amri kwamba serikali ilipe fidia ya milioni 90 na Mkuu wa Wilaya alipe fidia ya milioni kumi.

Maamuzi mabaya yanaligharimu taifa, piga hesabu TRA wanahangaika kukusanya fedha, inabidi zilipwe kwa ujinga wa mtu mmoja, serikali izikate kwenye mafao yake

Hakika ma-DC wa Jiwe wanaonja joto ya jiwe.View attachment 2501218View attachment 2501220
Kwa nini haya yote na yale ya Sabaya ni Moshi,Kilimanjaro pekee?
 
Sabaya amebambikiwa kesi tu na aliyepanga kumuuwa akachiwa huru licha ya kwamba mahakama ilimkuta na kesi ya kujibu!.

Sabaya kwa mujibu wa mahakama yuko huru ila bado yuko gerezani kwa maelekezo ya viongozi wa serikali.
 
Wanajua haki zao kule
Sabaya anaadhibiwa na Wale Ndugu sababu yeye aliuangusha mwamba wa Kaskazini Mnowe na Chadema yake!

Visasi hivi vimeanzishwa na "Mbowe Gang" ila havitaisha leo wala kesho.....

Vitaendelea kadri siku zinavyosonga mbele!
 
Sabaya anaadhibiwa na Wale Ndugu sababu yeye aliuangusha mwamba wa Kaskazini Mnowe na Chadema yake!

Visasi hivi vimeanzishwa na "Mbowe Gang" ila havitaisha leo wala kesho.....

Vitaendelea kadri siku zinavyosonga mbele!
Mh...hiyo hata haiji!!
 
Mkuu wa Wilaya ya Siha, Onesmo Buswelu alimkamata mtu, akamuweka ndani kwa siku kadhaa.

Mahakama Kuu Kanda ya Moshi imetoa amri kwamba serikali ilipe fidia ya milioni 90 na Mkuu wa Wilaya alipe fidia ya milioni kumi.

Maamuzi mabaya yanaligharimu taifa, piga hesabu TRA wanahangaika kukusanya fedha, inabidi zilipwe kwa ujinga wa mtu mmoja, serikali izikate kwenye mafao yake

Hakika ma-DC wa Jiwe wanaonja joto ya jiwe.View attachment 2501218View attachment 2501220
Wakati si milele
 
Mkuu wa Wilaya ya Siha, Onesmo Buswelu alimkamata mtu, akamuweka ndani kwa siku kadhaa.

Mahakama Kuu Kanda ya Moshi imetoa amri kwamba serikali ilipe fidia ya milioni 90 na Mkuu wa Wilaya alipe fidia ya milioni kumi.

Maamuzi mabaya yanaligharimu taifa, piga hesabu TRA wanahangaika kukusanya fedha, inabidi zilipwe kwa ujinga wa mtu mmoja, serikali izikate kwenye mafao yake

Hakika ma-DC wa Jiwe wanaonja joto ya jiwe.View attachment 2501218View attachment 2501220
Kwanini huyo Buswelu asilipe hizo milioni 100 mwenyewe serikali inaingiaje hapo ilimtuma kufanya huo upuuzi? Si ni ulevi wake tu wa madaraka? Mahakama itenganisha makosa binafsi na serikali, kwa hiyo pesa za walipa kodi akiwepo huyo mlalamikaji ndio itumike kwa upuuzi wa mtu moja? This is not logical at all
 
Kwanini huyo Buswelu asilipe hizo milioni 100 mwenyewe serikali inaingiaje hapo ilimtuma kufanya huo upuuzi? Si ni ulevi wake tu wa madaraka? Mahakama itenganisha makosa binafsi na serikali, kwa hiyo pesa za walipa kodi akiwepo huyo mlalamikaji ndio itumike kwa upuuzi wa mtu moja? This is not logical at all
Serikali inabidi ikate rufaa, Hela zote alipe huyo DC
 
Kwa nini haya yote na yale ya Sabaya ni Moshi,Kilimanjaro pekee?
Kwa sababu Kilimanjaro ni ngome ya Chadema hivyo uonevu na unyanyasaji ulikithiri Sana huko.
 
Back
Top Bottom