econonist
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 20,189
- 29,663
Sabaya anaadhibiwa na Wale Ndugu sababu yeye aliuangusha mwamba wa Kaskazini Mnowe na Chadema yake!
Visasi hivi vimeanzishwa na "Mbowe Gang" ila havitaisha leo wala kesho.....
Vitaendelea kadri siku zinavyosonga mbele!
Alimwangusha kwa lipi?. Wabunge nchi nzima wa CHADEMA waliibiwa Kura , Punguza unafiki.