Huyo sukuma gang mwenzenu kahukumiwa na mahakama sio na mtu binafsi, mlionea watu sana washamba wakubwa ninyi unaamuru mtu awekwe korokoroni siku tatu Hana kosa lolote mnahukumiwa kulingana na upumbavu wenu mnaanza kulialia
Ndiyo watu waliotoa taarifa kwa wepesi.Sehemu zingine nchini watu wanaongozwa na hofu mioyoni mwao na hawajatoa taarifa za kuonewa.Vilevile,yawezekana waliopewa taarifa wamezificha au kuwatisha watoa taarifa.