Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

[emoji23][emoji23]kwamba ukivaa au kunywa unafuata mwenyewe akufumue marinda.Nimecheka

Hiyo ripoti iko wap mkuu na mm niipitiee
Yaan vitu vingine vinachekeshaa kwa kweli, khaaaah
 
KUNA SHG MMOJA WENYEWE WANASEMA NI DISIGNER WA MAVAZ MPAKA WASANII WANAMTUMIA UNAAMBIWA JUZI KATI ALIKUWA ANAZINDUA OFISI YAKE MITAA YA KWA MAKOMA
HILO NYOMI SI LA KITOTO MABASHA+WASANII KIBAO WA KIBONGO WALIKUWEPO

CHUKUA NYINGINE HII,JUZI KATI UNAAMBIWA,KUNA SHOGA KAPANGIWA MITAA YA BUIBUI NYUMBA,HAPO KUNA BAHASHA WAWILI FUMQNIANA KWA SHOG
HUYO MPAKA WENYEWE KWA WENYEWE WAKATA KUZICHAPA
WAKIMGOMBANIA SHG HUYO
MMOJA ANAMWAMBIA MW3NZAKE YEYE KAMPANGIA NYUMBA,NA MWINGINE ANASEMA YEYE KAMPA MTAJI
KWA KIFUPI MM NINGEKUWA NDY SERIKALI NINGEPIGA MAARUFUKU MAMBO YA WASANII NA MATAMASHA YAO.....
MPAKA NIONE WANAKAA KWENYE MSTARI

OVA
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] afu umeandika kwa herufi kubwaa. Daaah
 
Hii report haijamtaja Mzunngu mmoja yupo Arusha anafanya kazi UN-MICT na alianza toka UN-ICTR anaitwa Tom Adami yupo kitengo cha Archives,Anajulikana hadi na mapolisi wa Arusha kwa kuwaharibu vijana wadogo.Kwakua ana diplomatic protection huwa hafanywi kitu,hadi mke wake mkenya aliamua kumuacha.Arusha anajulikana sana kwa tabia yake chafu na hata kuwapa kazi gays UN.
 
Nani Kati yenu anamjua shoga yeyote personally achana na hawa wa mitandaoni na maarufu? Probably hakuna. Mnaangalia na ishu non-existent wakati Kuna mambo mengi ya msingi ya kujadili. Miafrika inawaza ngono tu.

Kwanza ijulikane estrogen (female hormone) hata wanaume wanazo naturally and vyakula vya Kila siku vina ongeza estrogen kwa wanaume na bado wengi tu sio mashoga. Haiwezekani a one time dosage tena ya toothpaste na perfume imfanye mtu awe shoga. Haiwezekani. Halafu wewe mwanaume na ndevu zako unakubali zawadi ya perfume na toothpaste kweli? It will take a truckload of it kumgeuza mtu awe shoga.

Hivi mizungu iwafanye nyie muwe mashoga kwa umuhimu gani hasa?

Ushoga unaanza au kupingwa at a family-level. No more, no less. Msikimbie majukumu yenu. Mashoga wengi wameanza hii michezo majumbani mwao sio shuleni wala sehemu nyingine.

Kila research Ina agenda yake sijui huyu dada agenda yake ni ipi. Itakua kasoma upepo kaona mitanganyika inapenda story za ushoga kajiongeza.

CC: BICHWA KOMWEE Dr. Mariposa
You nailed it.
 
Hii report haijamtaja Mzunngu mmoja yupo Arusha anafanya kazi UN-MICT na alianza toka UN-ICTR anaitwa Tom Adami yupo kitengo cha Archives,Anajulikana hadi na mapolisi wa Arusha kwa kuwaharibu vijana wadogo.Kwakua ana diplomatic protection huwa hafanywi kitu,hadi mke wake mkenya aliamua kumuacha.Arusha anajulikana sana kwa tabia yake chafu na hata kuwapa kazi gays UN.
We nawe hauna akili, huyo mzungu kwani amemuita mtu akamlazimisha kumfi#, mzungu lazima kaita watu ambao wanatobolewa ndo wakaona sasa tutobolewe na mzungu ila deep far wameshatobolewa sana na wabongo huko mtaani kwao
 
Mostly of us ,we settle on Consequence ila hatujaweza kabisa kuangalia mzizi wa Matatizo yaani sababu kukuu ya Serikali ya marekani kuhangaika kusapoti Ushoga kwa kiasi na Kasi kubwa.


Tukitaka kujua Tatizo lazima tujue,Kwanza U .S wanafaidika na Nini katika hii agenda yao?? Au ndiyo Wanataka kutugeuza zombie@@@@ utani ila kuna jambo wamelitaget kulifanya siku za mbele.


What's that?
Kwa wakristo wataelewa, hizo ndo ajenda za mpinga kristo, ishu sio serikali za marekani bali wakuu wanaoiendesha hyo serikali kwa remote control, hao ndio wazee wa new world order, lengo kubwa kumuasi Mungu, na kuweka utawala wa shetani duniani sasa kazi ya kwanza ni kupunguza idadi ya watu ili in future iwe rahisi kutawala, lengo likitimia zitakuja serikali moja, sarafu moja etc, mpaka ile chapa ya mpinga kristo ifike. Kwa kuwa ushoga na usagaji ni uasi mbele za Mungu, basi mawakala wa shetani wanaopigia debe na kupata wanachama wapya kila siku maana yake ni shetani anavuna waasi wenzie wa kutosha, siku ya hukumu ikifika wakaogelee naye kwenye ziwa la moto.
 
Duh! Nimezungumza facts sijasema natetea mashoga, hili ndio tatizo kubwa la Watanzania wengi. Tunabebwa na upepo our reasoning capacity iko chini mno, ndio maana akija mtu akisema anatibu kwa kutumia kikombe wote tunakimbizana
Acha kutetea Ushoga wewe
 
We nawe hauna akili, huyo mzungu kwani amemuita mtu akamlazimisha kumfi#, mzungu lazima kaita watu ambao wanatobolewa ndo wakaona sasa tutobolewe na mzungu ila deep far wameshatobolewa sana na wabongo huko mtaani kwao
hana akili mama yako!
 
Ukute ni mchongo wa kuwatoa pesa hao NGO's na huyo Mzungu....wanajuana.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mbunge wako na tatto alichorwa[emoji1787] Au mtoto wa kike hapa halindwi asikobolewe?
Shangaa nawee hapooo. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mimi ni straight. Nina miaka 47. Nimejipulizia perfume. Nikawa shoga.

Tanzania inaongoza kwa kuwa na watu wajinga zaidi ulimwenguni
Hili suala la report ya mwakyembe na kahabi limeletwa mahususi kuzima kelele ya Report ya CAG, iliyojaa wizi na utapeli wa mali za umma.

Watakavokuja kustukaaa too late. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hii report haijamtaja Mzunngu mmoja yupo Arusha anafanya kazi UN-MICT na alianza toka UN-ICTR anaitwa Tom Adami yupo kitengo cha Archives,Anajulikana hadi na mapolisi wa Arusha kwa kuwaharibu vijana wadogo.Kwakua ana diplomatic protection huwa hafanywi kitu,hadi mke wake mkenya aliamua kumuacha.Arusha anajulikana sana kwa tabia yake chafu na hata kuwapa kazi gays UN.
Gays gan wa kibongo walipewa kazi huko UN? hizi story za vijiweni peaneni vizuriii khaaaah.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom