Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

Rafiki yangu ambae ni Mwalimu Mkuu(madam) Moshi Manispaa ni msagaji,kaniambia list ya rafiki zake aliowasaga ,

Naleta kisa kamili saa 3 kamili usiku....,

Story inaanza hivi,

Ilikuwa mwaka 2019, wakati huo ujana wa moto, club na Mimi Hadi asubuhi, kwa mnaopajua Moshi Kila ijumaa Kuna live band malind pub pale, sasa simu hiyo nikaingia zangu liveband around 23 hrs, nikaanza Kila safari lager beer ya kibabe sana kwa sisi maskini tusio na pesa.

Kwenye meza yangu nilikiwa alone ,muda mfupi baadae bi mdada akafika akiwa na rafiki yake, walikuwa wamepndeza sana. Wakati pombe zinaendelea ndipo nilipoanza kufahamiana na huyu madam na kutambua kwamba ni Mwalimu tena Mkuu Moshi municipal.

Nakumbuka simu hiyo,niliwahudumia yeye na rafiki yake kama mie ndo niliwatoa out(pombe sio mbaya,matokeo ya pombe ndio mabaya) tulilewa sana..asubuhi ilitukuta pale.

Ilibidi niwashe gari kuwasindikiza Kila mtu anapoishi,ila cha ajabu niliwaacha sehemu moja National housing near YMCA kama unaenda rau madukani Walichukua namba yangu.

Nikasepa, around saa 5 asubuhi wakanicheki wapo kiwanja kimoja kinaitwa Moshi center ,nikawakuta hapo tukaendeleza story ,kumbuka it's a second day, huyu rafiki yake madam Mkuu,ni mzuri sana and she is married,nikamchombeza madam Mkuu anifanyie wepesi kwa rafiki ake, akagoma kataa kataa.

Siku zikaenda tukazoeana tukawa marafiki wakubwa sana, siku moja this year Feb 2023, tukiwa nipo na madam Mkuu sehemu tunapiga gambe it was around saa 2 usiku ,nikamuuliza kitu kwann alikataa Kuni sontoshea kwa rafiki yake? Akanijibu comfortable kuwa ana wivu sana, kwa sababu ni demu wake, nilishtuka sana.

Nikamuuliza anakuwaje demu wake wakati they are all women, akasema loudly huwa ana msaga (huyu rafiki ake ni Madam Rombo huko).

Ndipo kumchimba kulipoanza...., Aisee walimu wa kike shuleni kwake 90% anawasaga. Na baadhi yao ninawajua kabisa, na ana wivu nao mkubwa sana.

Nilifanikiwa siku moja kukutana na hiyo rafiki yake madam Rombo, alikubali na akaniambia tu hawezi kuacha kusagana na hatoacha maisha yake yote kwani hakuna raha kama hiyo duniani.

Huyu madam Mkuu ,ako na moto mmoja ,Hana Mume,starehe yake pombe + kusagana.

Part 2 inakuja.......,
 
Hii vita ya hawa washenzi kwa hapa bongo naona hatunayo sirias kabisa,nilitegemea tungetunga sheria kali kwa kila afanyae na kuhisiwa,siku ili janga likija kuwa kubwa nchini hatutakuwa na lakufanya
Kabisa kaka...
Punga hana haki ya kuishi.
Hata Biblia inasema.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…