Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

Sasa mtu mmekutana kwa event,anafanya kazi ktk NGOS,makao yake makuu yapo Arusha.
Acha kulia lia
 
Ajabu ni kuwa hawa jamaa hawatafuta huu uchafu 🗑 🚮
 
Nashukuru sana kwa ushauri wako mzuri kaka yangu na kiukweli nimejifunza sana,Mungu akubariki sana kwa ushauri wako.

Pia namshukuru Mungu nilienda kupima nikakutwa nipo Neg na sikupima kwasababu ya tukio hilo huwa ninautaratibu wa kupima kila ninapoingia kwenye mahusiano na kabla sijashiriki na mwanaume huwa lazima tupime.
 
Kweli kabisa my
 
And wait for another 3 months to test again just to be sure. Stay safe dear.
 
Ushawahi kukutana na mwanaume anadinda kwa kupigwa dole Dejane? Hizi simulizi ni za uongo, uzandiki na promo ya uchoko tu hakuna kingine.
Hacha kubisha mkuu hao wanaume wapo na wengi wanafamilia kuna siku nilikua naongea na dadapoa mmoja hivi alinifungukia vitu vya ajabu sana , anasema yeye amenunua hadi uume wa bandia kwaajili ya wanaume na anasema wateja wake wengi ni wanaume wenye wake zao ila hawafanyi hivyo vitendo kwa wake zao wanakuja kufanyiwa na malaya
 
kupigwa dildo sawa, lakini mtu hadindi bila dole?? hiyo umeona wapi...
 
Muhimu malezi
 
Ushawahi kukutana na mwanaume anadinda kwa kupigwa dole Dejane? Hizi simulizi ni za uongo, uzandiki na promo ya uchoko tu hakuna kingine.
Si video zinavuja tunaziona hadi wengine wanajiingizia dildo
 
Mnahangaika kumjua mtoa mada ni nani na analenga Nini na Nini lengo la kuanzisha Uzi wa namna hiyo?

Angalieni avatar yake!. Wasomi wa Cuba washanielewa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…