Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

Sasa mtu mmekutana kwa event,anafanya kazi ktk NGOS,makao yake makuu yapo Arusha.
Acha kulia lia
 
Trash 🚮🚮🚮

Kwa tuliosoma Cuba tumeelewa. Hii ni promotion ya ushoga japo imeletwa kijanja sana. Na imeandikwa na mwanaume maana huu siyo mwandiko wa kike!

I repeat. It is Trash 🚮🚮🚮

Moderator please futeni huu uchafu 🚮🚮🚮

View attachment 2611178
Ajabu ni kuwa hawa jamaa hawatafuta huu uchafu 🗑 🚮
 
Pole sana my dear; Ila Hakuna cha kutafakari hapa. Your ex who I assume you consider an ex now is gay...gay gay shoga na sidhan hata Km bisexual coz most men are either straight or gay and women who have swayed ndo are mostly bisexual; so hapo ni kumuacha tu na pia kapime HIV coz it was obviously he was doing this while with you for a while so kingine mpotezee usimtangaze coz Km unavyojua hii nchi na pia Wewe you will be dragged into the mud pia so unless kakupa HIV we mpotezee. Pia as a matter of advice na nyie wanawake mpunguze standards zenu za ajabu mpk mnaishia na closeted gay men. Kuna many red signs that are always there ila mnajifanya hamzioni coz he's good looking, light skinned I assume though I could be wrong, rich and vitu vizuri na hapo ndo mnapodondoka. Most straight men hawana makuu my dear and it's easier to spot them unlike gay men. Pili iyo cjui kutiwa kidole cjui what happened iyo ni excuse tu Hamna kitu ingawa I have heard yes some straight men during sex every now and then they like to be fingered Ila they don't like to talk about and hii it's because the prostate is very close and that area can be stimulated to anyone and feel some pleasure I guess but sio Iyo ya kila saa. So Nyie women muwe makini and during sex among many other things u can see the signs ila mnafumba macho tu because of what he has to offer and you ignore the majority of straight men who are not rich then mnakuja kulalamika men wameisha; Hapana not true; futeni izo standards zenu. So uyo jua he's gay and don't return to him and learn from this. About uchafu cjui nn; look we all have parts of ourselves that we like to keep private and that's why sex should be private hata Km if we saw our parents having sex tungekuwa disgusted that's what sex is...it's our primal animal nature. Again pole dada yangu and learn from it.
Nashukuru sana kwa ushauri wako mzuri kaka yangu na kiukweli nimejifunza sana,Mungu akubariki sana kwa ushauri wako.

Pia namshukuru Mungu nilienda kupima nikakutwa nipo Neg na sikupima kwasababu ya tukio hilo huwa ninautaratibu wa kupima kila ninapoingia kwenye mahusiano na kabla sijashiriki na mwanaume huwa lazima tupime.
 
Kweli kabisa my
Waliosema ni Chai wote ndio michezo yao hiyo, wameona wameguswa kwenye michezo yao,
Tunasema kila siku ukiona Mtu anakemea kwa nguvu kitu ujue anakifanya hiyo ni saikolojia nyepesi sana,

Mdada hawezi kuleta jambo lake kama hili mkaliita chai na mwingine anasema mwanaume hawezi kutiwa kidole makalioni ina maana kuna njia mpya wanazitumia siku hizi [emoji1787]
 
Nashukuru sana kwa ushauri wako mzuri kaka yangu na kiukweli nimejifunza sana,Mungu akubariki sana kwa ushauri wako.

Pia namshukuru Mungu nilienda kupima nikakutwa nipo Neg na sikupima kwasababu ya tukio hilo huwa ninautaratibu wa kupima kila ninapoingia kwenye mahusiano na kabla sijashiriki na mwanaume huwa lazima tupime.
And wait for another 3 months to test again just to be sure. Stay safe dear.
 
Ushawahi kukutana na mwanaume anadinda kwa kupigwa dole Dejane? Hizi simulizi ni za uongo, uzandiki na promo ya uchoko tu hakuna kingine.
Hacha kubisha mkuu hao wanaume wapo na wengi wanafamilia kuna siku nilikua naongea na dadapoa mmoja hivi alinifungukia vitu vya ajabu sana , anasema yeye amenunua hadi uume wa bandia kwaajili ya wanaume na anasema wateja wake wengi ni wanaume wenye wake zao ila hawafanyi hivyo vitendo kwa wake zao wanakuja kufanyiwa na malaya
 
Hacha kubisha mkuu hao wanaume wapo na wengi wanafamilia kuna siku nilikua naongea na dadapoa mmoja hivi alinifungukia vitu vya ajabu sana , anasema yeye amenunua hadi uume wa bandia kwaajili ya wanaume na anasema wateja wake wengi ni wanaume wenye wake zao ila hawafanyi hivyo vitendo kwa wake zao wanakuja kufanyiwa na malaya
kupigwa dildo sawa, lakini mtu hadindi bila dole?? hiyo umeona wapi...
 
Wazazi wanatumia pesa ndefu kusomesha vijana wao, wanawagaharamikia hadi kuwasomesha vyuo vya nje ili wawe nuru na mwangaza na mifano ya kuigwa katika jamii lkn matokeo yake ndo haya.
Kuna jirani yangu mzee mstaafu alikuwa maarufu sana enzi za mzee wa msoga pale magogoni presha haimuishi kwa sasa, kasomesha ulaya watoto wake wawili wa pekee(ke & me), matokeo yake watoto wamekuja likizo na wachumba wao yaani wa kike kaja na girlfriend wake, wa kiume kaja na boyfriend wake yaani jamaa anapelekewa moto. Imeenda huku na huku mama presha kakata moto.
Mzee kwa sasa hawataki watoto wale ila ndo hivyo tena kaasili mtoto mwingine, hana matumaini na uzao wake..., mzee kabaki kujilaumu tu kwamba bora angewazingatia kwenye malezi, alikuwa bize kuwatafutia tu akasahau kuwa walihitaji malezi yake.
Wazazi tuzingatieni sana malezi kwa watoto wetu, haya malezi ya kulelewa na walimu siyo malezi.
Muhimu malezi
 
Ushawahi kukutana na mwanaume anadinda kwa kupigwa dole Dejane? Hizi simulizi ni za uongo, uzandiki na promo ya uchoko tu hakuna kingine.
Si video zinavuja tunaziona hadi wengine wanajiingizia dildo
 
Mnahangaika kumjua mtoa mada ni nani na analenga Nini na Nini lengo la kuanzisha Uzi wa namna hiyo?

Angalieni avatar yake!. Wasomi wa Cuba washanielewa!
 
Back
Top Bottom