Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

Kwahio michepuko ni mizuri kwa afya ili hormone iendelee kuzalishwa tuwinde papa kwa wingi
 
Mwanaume hapungukiwi ni kiwango cha Testosterone, labda kama alizaliwa na hiyo changamoto, na ndio maana anaweza fikisha 70yrs anapeleka moto kama kawa na sperms za kutosha, mwanamke ndio anapata hiyo changamoto ya hormonal changes,from 45yrs anaweza koma menses.
 
Kwa namnagani ya uwezo wa kiasili uliyo sema hapo juu ambayo mwanamke anaweza kuja kwamba homoni zangu za kiume zimepungua?
 
Mhh ngoja nianze kwa haraka na kwakifupi ili na wewe uione hii picha alafu uniambie itakuwaje huko mbele..

1.Idadi ya wanawake nikubwa kuliko wanaume
2. Kuna wanaume wasioweza kuzalishi
3. Kuna wanaume wengi wako jela na wengine ni vichaa tunawaoana huko njiani.
4. Kuna wanaume wasiokuwa na uwezo wakusimamia familia na kuiongoza
5. Kuna wanaume ambao wanashindwa kuwa na wanawake kutokana na matatizo ya kiafya (magonjwa shambulizi kwa wanaume)
6. Kuna wanaume wengine hata nashindwa niwaandikeje ila ndio hivyo inabidi tuu wao wameamua kuamia kundi la wanawake kwa kuwa mashoga.

Je hapo miaka ijayo itakuwaje kwa Jamii kama hakuta fanyika jitihada za kumuokoa mtoto wakiume ajitambue mapema kabla hajaaribika

Huwa nikiwaza Hali hii sioni Jamii itakuwaje kama idadi ya wanaume inazidi kupungua kwa kasi
 
Pesa mfukoni inaongeza hiyo testetron (T) balaa, tafuta hela mtoa mada
Bank balance yangu hailingani na yako. KAMA UNABISHA EKA BANK STATEMENT tufundishane heshima hapa.

PESA PEKE YAKE HAITOSHI. Wangapi wanahela na wanagongewa?

Burden of performance siku zote iko kwa MWANAUME hata demu akikaa kifo cha mende dk 90. Bado atatoka akasema huna NGUVU za KIUME

Ni either, uungane na SISI kugong hawa WANAWAKE au na WEWE uharibikiwe uanze kugawa NYUMA

Asante SANA kwa kusoma uzi huu NDUGU YANGU [emoji120]
 
Kwa namnagani ya uwezo wa kiasili uliyo sema hapo juu ambayo mwanamke anaweza kuja kwamba homoni zangu za kiume zimepungua?
HILO ni somo jipya kabisa ila kuna VERMo nasal maeneo ya puani ambayo yana kazi ya ku detect

NA TAFITI zinaonyesha wanawake walio kuwa exposed KWENYE WANAUME wenye kiwango kikubwa cha testosterone walibadilika na kuanza kuchukia WANAUME walio na kiwango KIDOGO cha T
 
Sawa tuwagonge
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…