Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

Kuna KITU kinaitwa lesbian bed death

KWENYE mahusiano mengi ya jinsia moja (mwanamke + mwanamke) kuna hii hali

ambapo takwimu zinaonyeshwa KWAMBA, wandani WENGI wa jinsia MOJA hawafanyi MAPENZI mara kwa mara

Na SABABU KUBWA ni kuwa MWANAMKE hazalishi KIASI kikubwa cha homoni za kiume HIVYO kufanya matamanio kuwa MADOGO baina YAO

MAHUSIANO mengi ya lesbian yana pitia hali hizi za kukosa ukaribu na mapenzi (segXz)

SASA UNAJIULIZA, hapa unatupeleka WAPI?

USIJE UKAPUMBAZWA kwamba hali hii inawatokea lesbians tu, lakini ni mara ngapi uko kwenye mahusiano lakini demu hataki kukukatia?, Au MWANAMKE uko kwenye mahusiano laini kufanya mapenzi na MWANAUME wako "feels like a lot of work" hutaki hata kusikia

WAULIZENI, majamaa WENGI waliooa WANAKATIWA MARA NGAPI

MARA nyingi unaweza kumsikia MWANAMKE ana complain "hakuwa hivi WAKATI tunaanza MAPENZI, siku hizi amebadilika".

MWANAUME na WEWE ukiangalia unasema mbona alikuwa ananikatia kila mara kabla ya mahusiano/ndoa siku hizi amekuwaje

LEO NATAKA NIKUSANUE JAMBO MOJA (1)KATIKA MANNE (4) yanayo sababisha HIYO hali na litakalo kusaidia kukatiwa MARA kwa MARA

MAHUSIANO yana faida ZAKE na hasara PIA

MOJA ya hasara zake ni kuwa MWANAUME unapoingia kwenye MAHUSIANO homoni za kiume (T) zina drop (dondoka kwa kasi ya ajabu) na homoni za kike zinaanza kuzalishwa kwa wingi (oxytocin)

Homoni ya (T) ndio inayo husika na "mate seeking behaviour" ukiwa single inazalishwa kwa wingi unapo pata demu/mke inadondoka na oxytocin inachukua nafasi

UKIWA na kiwango KIDOGO cha homoni za KIUME, zile TABIA za kiume ambazo MWANAMKE wako alikuwa anaziona MWANZO zinakata ndio maana unaweza ukaona anaanza kukuendesha, kufanya hivi na vile ili mradi mgombane

Mnapanga mechi saa ya MWISHO anaingia vichakani hatokei

Unakuta MWANAUME anaogopa kwenda kazini anaona kama atagongewa, kila saa ana tuma meseji kama yuko mbali na mpenzi wake

WANAWAKE wana natural ability ya KUJUA mwanaume mwenye kiwango kikubwa cha testosterone (T), evolutionary wamepewa huo UWEZO

Kiasili kabisa kama huna hicho kiwango ni LAZIMA alete drama kwenye relation, kwasababu aliingia KWENYE mahusiano na MWANAUME and lately haoni kama that is the case

SASA SITAONGELEA TABIA AMBAZO KAMA MWANAUME UNATAKIWA KUZIEPUKA, nitaongea JINSI ya kuongeza (T) level kwa kifupi

Testosterone ndio homoni inayo mpa MWANAUME unaume WAKE

Simple, ili uongeze kiwango chako cha (T) level ni lazima uepuke baadhi ya tabia na chakula (rudieni lile somo nililowafundisha hapa kuhusu oestrogen na kwanini wanaume wamekuwa feminised)

VYAKULA unavyotakiwa kugonga kwa WINGI vinajumuisha mayai, ndizi (tano (5) kwa siku)), viazi vitamu etc upate masaa nane(8) ya usingizi mazoezi, acha punyeto na picha za ngono kila mara

KUNA kiwango cha kifanya cha testosterone (T) hakikisha at least una double kiwango kilicho wekwa kuwa in safe space

ILI kudouble hiki kiasi, MIMI huwa nafanya hivi naogea maji ya moto alafu nikimaliza nafungulia ya baridiiii nikitoka natetemeka [emoji28]

NAKUSHAURI UFANYE HIVYO, ndani ya WIKI mbili ukipita barabarani mademu wasio anza kukushadadai bila wewe kujikomba rudi hapa niambie [emoji28][emoji28]
Kwahio michepuko ni mizuri kwa afya ili hormone iendelee kuzalishwa tuwinde papa kwa wingi
 
Mwanaume hapungukiwi ni kiwango cha Testosterone, labda kama alizaliwa na hiyo changamoto, na ndio maana anaweza fikisha 70yrs anapeleka moto kama kawa na sperms za kutosha, mwanamke ndio anapata hiyo changamoto ya hormonal changes,from 45yrs anaweza koma menses.
 
happy-businessman-holding-funny-huge-oversized-cup-of-black-cof-picture-id519282873-1.jpg
 
Kuna KITU kinaitwa lesbian bed death

KWENYE mahusiano mengi ya jinsia moja (mwanamke + mwanamke) kuna hii hali

ambapo takwimu zinaonyeshwa KWAMBA, wandani WENGI wa jinsia MOJA hawafanyi MAPENZI mara kwa mara

Na SABABU KUBWA ni kuwa MWANAMKE hazalishi KIASI kikubwa cha homoni za kiume HIVYO kufanya matamanio kuwa MADOGO baina YAO

MAHUSIANO mengi ya lesbian yana pitia hali hizi za kukosa ukaribu na mapenzi (segXz)

SASA UNAJIULIZA, hapa unatupeleka WAPI?

USIJE UKAPUMBAZWA kwamba hali hii inawatokea lesbians tu, lakini ni mara ngapi uko kwenye mahusiano lakini demu hataki kukukatia?, Au MWANAMKE uko kwenye mahusiano laini kufanya mapenzi na MWANAUME wako "feels like a lot of work" hutaki hata kusikia

WAULIZENI, majamaa WENGI waliooa WANAKATIWA MARA NGAPI

MARA nyingi unaweza kumsikia MWANAMKE ana complain "hakuwa hivi WAKATI tunaanza MAPENZI, siku hizi amebadilika".

MWANAUME na WEWE ukiangalia unasema mbona alikuwa ananikatia kila mara kabla ya mahusiano/ndoa siku hizi amekuwaje

LEO NATAKA NIKUSANUE JAMBO MOJA (1)KATIKA MANNE (4) yanayo sababisha HIYO hali na litakalo kusaidia kukatiwa MARA kwa MARA

MAHUSIANO yana faida ZAKE na hasara PIA

MOJA ya hasara zake ni kuwa MWANAUME unapoingia kwenye MAHUSIANO homoni za kiume (T) zina drop (dondoka kwa kasi ya ajabu) na homoni za kike zinaanza kuzalishwa kwa wingi (oxytocin)

Homoni ya (T) ndio inayo husika na "mate seeking behaviour" ukiwa single inazalishwa kwa wingi unapo pata demu/mke inadondoka na oxytocin inachukua nafasi

UKIWA na kiwango KIDOGO cha homoni za KIUME, zile TABIA za kiume ambazo MWANAMKE wako alikuwa anaziona MWANZO zinakata ndio maana unaweza ukaona anaanza kukuendesha, kufanya hivi na vile ili mradi mgombane

Mnapanga mechi saa ya MWISHO anaingia vichakani hatokei

Unakuta MWANAUME anaogopa kwenda kazini anaona kama atagongewa, kila saa ana tuma meseji kama yuko mbali na mpenzi wake

WANAWAKE wana natural ability ya KUJUA mwanaume mwenye kiwango kikubwa cha testosterone (T), evolutionary wamepewa huo UWEZO

Kiasili kabisa kama huna hicho kiwango ni LAZIMA alete drama kwenye relation, kwasababu aliingia KWENYE mahusiano na MWANAUME and lately haoni kama that is the case

SASA SITAONGELEA TABIA AMBAZO KAMA MWANAUME UNATAKIWA KUZIEPUKA, nitaongea JINSI ya kuongeza (T) level kwa kifupi

Testosterone ndio homoni inayo mpa MWANAUME unaume WAKE

Simple, ili uongeze kiwango chako cha (T) level ni lazima uepuke baadhi ya tabia na chakula (rudieni lile somo nililowafundisha hapa kuhusu oestrogen na kwanini wanaume wamekuwa feminised)

VYAKULA unavyotakiwa kugonga kwa WINGI vinajumuisha mayai, ndizi (tano (5) kwa siku)), viazi vitamu etc upate masaa nane(8) ya usingizi mazoezi, acha punyeto na picha za ngono kila mara

KUNA kiwango cha kifanya cha testosterone (T) hakikisha at least una double kiwango kilicho wekwa kuwa in safe space

ILI kudouble hiki kiasi, MIMI huwa nafanya hivi naogea maji ya moto alafu nikimaliza nafungulia ya baridiiii nikitoka natetemeka [emoji28]

NAKUSHAURI UFANYE HIVYO, ndani ya WIKI mbili ukipita barabarani mademu wasio anza kukushadadai bila wewe kujikomba rudi hapa niambie [emoji28][emoji28]
Kwa namnagani ya uwezo wa kiasili uliyo sema hapo juu ambayo mwanamke anaweza kuja kwamba homoni zangu za kiume zimepungua?
 
Mhh ngoja nianze kwa haraka na kwakifupi ili na wewe uione hii picha alafu uniambie itakuwaje huko mbele..

1.Idadi ya wanawake nikubwa kuliko wanaume
2. Kuna wanaume wasioweza kuzalishi
3. Kuna wanaume wengi wako jela na wengine ni vichaa tunawaoana huko njiani.
4. Kuna wanaume wasiokuwa na uwezo wakusimamia familia na kuiongoza
5. Kuna wanaume ambao wanashindwa kuwa na wanawake kutokana na matatizo ya kiafya (magonjwa shambulizi kwa wanaume)
6. Kuna wanaume wengine hata nashindwa niwaandikeje ila ndio hivyo inabidi tuu wao wameamua kuamia kundi la wanawake kwa kuwa mashoga.

Je hapo miaka ijayo itakuwaje kwa Jamii kama hakuta fanyika jitihada za kumuokoa mtoto wakiume ajitambue mapema kabla hajaaribika

Huwa nikiwaza Hali hii sioni Jamii itakuwaje kama idadi ya wanaume inazidi kupungua kwa kasi
 
Pesa mfukoni inaongeza hiyo testetron (T) balaa, tafuta hela mtoa mada
Bank balance yangu hailingani na yako. KAMA UNABISHA EKA BANK STATEMENT tufundishane heshima hapa.

PESA PEKE YAKE HAITOSHI. Wangapi wanahela na wanagongewa?

Burden of performance siku zote iko kwa MWANAUME hata demu akikaa kifo cha mende dk 90. Bado atatoka akasema huna NGUVU za KIUME

Ni either, uungane na SISI kugong hawa WANAWAKE au na WEWE uharibikiwe uanze kugawa NYUMA

Asante SANA kwa kusoma uzi huu NDUGU YANGU [emoji120]
 
Kwa namnagani ya uwezo wa kiasili uliyo sema hapo juu ambayo mwanamke anaweza kuja kwamba homoni zangu za kiume zimepungua?
HILO ni somo jipya kabisa ila kuna VERMo nasal maeneo ya puani ambayo yana kazi ya ku detect

NA TAFITI zinaonyesha wanawake walio kuwa exposed KWENYE WANAUME wenye kiwango kikubwa cha testosterone walibadilika na kuanza kuchukia WANAUME walio na kiwango KIDOGO cha T
 
Bank balance yangu hailingani na yako. KAMA UNABISHA EKA BANK STATEMENT tufundishane heshima hapa.

PESA PEKE YAKE HAITOSHI. Wangapi wanahela na wanagongewa?

Burden of performance siku zote iko kwa MWANAUME hata demu akikaa kifo cha mende dk 90. Bado atatoka akasema huna NGUVU za KIUME

Ni either, uungane na SISI kugong hawa WANAWAKE au na WEWE uharibikiwe uanze kugawa NYUMA

Asante SANA kwa kusoma uzi huu NDUGU YANGU [emoji120]
Sawa tuwagonge
 
Back
Top Bottom