Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mie wananichekesha na kuniacha hoi mnooo. Lol.

Watu wamevurugwaa balaa.
sasa nikuchekeshe, kuna mteja kaja dukani, duka la nguo za kiume akakuta t-shirt ina rangi kama ya rainbow, baba lijitu lizima linaulizaje ety daah hii tshert haikuletei shida kuuza, nikamuuliza kwanini? Ety si ya wenzetu upande wa pili wanaotaka haki zao, nikamwambia ni kweli KWA tafsiri yako upo sahihi lakini kwangu mimi huo ni upinde mvua sijajua hao unaowaita wenzenu hiyo bendera waliianzisha lini. Likabaki linasema daah hili janga hili, mbaba mtu mzima akili imejaa kamasi tu hamna linachowaza
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ni hili tyuuh au Una jingine? Wanaume wepi wanaojitambua na kujielewa??

Maneno yangu machache umeshusha paragraph 2.
Poleeeeee
 
Mk Mkuu hata mm sikuwahi kufahamu hii kitu kiukweli umenipa kitu kipyA🙏
 
Nimechekaaa hadi napaliwaaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ulijuaje kumuweza huyo baba, sijui ana hali gani huko aliko khaaah.

Yaan ulijua kumfurahishaaa.
 
Kumbe ulinitukana na sijaona. Marekani haijaendelea kisa ushoga Wala haikukubali ushoga ilivyopata Uhuru Ila ni juzi juzi tu. Marekani na nchi nyingi zilizoendelea Hadi china Korea Japan Malaysia zimeendelea kwa sababu zimekubali kuendelea kutokana na Sayansi na technology na sio kujifunga akili na kuwa vipofu wa ukweli wa dunia Kama waafrika kazi kukesha kwa wanganga na wachungaji na kutapeliwa tu ndo maana wazungu wanakuja kututapeli pia coz washatujua sisi wajinga. Mambo unayofanyaga wewe ukifirwa cjui kumwagiwa ndani hayo ni yako hayanihusu na dada ako Kama anapigwa nyuma na huyo mama ako pia akakunya wewe sawa ..huyo ni wewe. In short kuwa na heshima na utoe hoja matusi hata kichaa anayo Ila hoja ni za watu wenye akili tu.
 
Nonsense and https://jamii.app/JFUserGuide you
 
Hakuna mzazi yeyote duniani kote sio mama wala baba anayeweza kufurahia mtoto wake wa kiume atumbukiziwe bolo m.kunduni, ni waathirika wa ushoga kwasababu mbalimbali wanaojaribu kuonyesha ushoga ni hali ya kawaida. Kwa Africa itachukua miaka mingi sana kukubaliana na hali ya mwanaume kufirwa. Sasa kwasababu wanyama wanafirana ndo binadamu aone kufirwa ni kawaida!?,., Kwenye jamii ya kitanzania mashoga wataendelea kunyanyapaliwa hata miaka 100 ijayo na sisi wote humu hatutakuwepo duniani. Jamani mwanaume kupachikwa bolo ni zaidi ya laana.
 
aisee hii sentensi😂😂
Yaani wanaudhi sasa tangu enzi za mababu upinde wa mvua upo lakini lenyewe linasema ety wenzetu upande wa pili,kuna mwingine alisema katuni ya akili ichunguzwe kisa kuna rainbow na ukiangalia zile rainbow zipo kwenye mawingu yaani kuna watu wanna akili za makamasi mpaka wanakera, lingine hapo limekuja linasema wameshtakiwa mahakamani uongo ambao hata shetani anajiuliza nan kamfundisha huyu jamaa😂😂
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umempatia haswaaa
 
wako makini😂
 
Afu kakimbiaa ndukiii, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Laana kwako wee, sio kwa wotee.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…