Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

Kwa ujinga wenu ndio maana mnauzwa, Nchi ipo kwenye taharuki ya mkataba wa bandari zetu wewe unanusa makalio ya watu ili kujua nani ana marinda nani hana, itakusaidia nini?

Pathetic fool.
 
Kwa ujinga wenu ndio maana mnauzwa, Nchi ipo kwenye taharuki ya mkataba wa bandari zetu wewe unanusa makalio ya watu ili kujua nani ana marinda nani hana, itakusaidia nini?

Pathetic fool.
Duh.... Nina muda mrefu sijakuona JF [emoji28][emoji28]
 
Sasa hivi viwanda vingi na kadhalika hutumia nguvu ya binadamu kama wafanyakazi

Watu kuzaliana ni toshio kwa watengenezaji wa Roboziwanazotaka zi replace nguvu ya binadamu

Agenda ya kuhakikisha binadamu vizazi vikatike kuwe na shortage ya wafanyakazi hivyo.viwanda vingi vitahamia kununua robots kufanya kazi

Hizi kampeni ya kuhamasisha ndoa na mapenzi ya jinsia moja lengo.vizazi vikatike marobot yao yauzike viwandani nk
 
IJUE SIASA, USHOGA NA NGENDEMBWE ZAKE!!


Na: Suphian Juma Nkuwi


Salaams!!

Nimekwepo kwenye siasa takribani muongo mmoja sasa. Nimefunza Siasa kwa kuitenda na naendelea kujifunza. Ni sahihi kusema Siasa ndio nguzo kuu iongozayo Nchi. Kila maamuzi ya Siasa humgusa kila mtu kwa kupenda ama kutokupenda, moja kwa moja ama 'indirectly'.

Changamoto kubwa ambayo naiona ni namna wafuasi wa wanasiasa wanavyoitafsiri Siasa. Wengi wana alama sikitishi katika somo la siasa. Hawaijui siasa kindakindaki nje ya kusoma machapisho mtandaoni ya Siasa na Wanasiasa na kuishi na majumuisho ya jumla jumla juu ya wanasiasa, na hata kubaki na makasiriko na chuki dhidi ya wanasiasa wasio katika upande wao ama hisia zao.

Mimi ni mhanga wa eneo hili. Wengi wa Marafiki, jamaa na ndugu zangu hupata tabu na hata wengine kufika pahala kunisihi niache siasa kisa taarifa potofu, matusi na vitisho dhidi yangu kwenye mijadala. Wasijue hata ukiacha siasa ukaenda kulima viazi vitamu Ikungi, viazi vataliwa na nguruwe pori, wezi wataiba na wadudu watayashambulia. Kiufupi kila kazi ina changamoto. Hakuna kukimbia changamoto.

Hivyo Leo naomba nitoe darasa fupi kuhusu Siasa na gharama zake. Nitaomba kusamehewa kama nitakuwa muwazi sana. Lengo ni kuepusha kiitwacho; uwongo usipodhibitiwa huweza kugeuka na kuaminiwa na kubebwa mioyoni kama ukweli.

Ipo hivi:
Unapokuwa Chama cha Upinzani, it's obvious Wapinzani wako ni Chama Tawala. Hivo hivyo Unapokuwa Chama Tawala Wapinzani wenu ni vyama vya Upinzani. Lengo lenu kuu ni moja; "kushika dola" (madaraka). Mtaji wenu mkuu ni wananchi. Hakuna pande itakayofurahi pande nyingine ipendwe na wananchi. Kila pande lazima iwe bize kuishinda imani ya wananchi, na kudhoofisha pande nyingine. Huu ndio uhalisia.

Sasa wafuasi wa kila pande lazima watetee pande zao. Ukiwa mbele (front) kutetea kama Suphian lazima udhoofishwe kwa namna yoyote ile ikiwemo kusingiziwa vitu hasi (negative)..Matusi na kuitwa kila majina ya fedheha lengo ni moja tu ni kukufanyia "political psychological assassination" yaani kukuathiri kisaikolojia ili urudi nyuma ukose uhalali (legitimacy) ya kutetea upande wako na hivyo upande wako ukose Sifa bora (credit) mbele ya umma.


Wanauliza; "Kwanini Suphian unasemwa sana pengine kuliko wanasiasa wengine?" Jibu ni rahisi; Kwasababu nipo mbele (front) sana kutetea upande wangu kwenye macho ya wengi (hususani mitandao ya kijamii). Formula ni rahisi mwanasiasa ukikaa kimya na Wapinzani wako nao wanakaa kimya dhidi yako. Uwiano (Rate) wa kuwapinga Wapinzani wako ndio uwiano (rate) huohuo au zaidi wa kupingwa na wa hao Wapinzani wako pia. That's simple mathematics.

Kwahiyo mimi Suphian nilipokwepo Upinzani ilikuwa kawaida upande wa Chama Tawala wanidhoofishe ndio maana Musiba alitunga uwongo wa kunichafua na hili suala la Ushoga kupitia gazeti lake la Tanzanite.. Na wakati huo Wapinzani wa Chama Tawala akiwemo Mange Kimambi, hao vijana wa CHADEMA akina Martin walimlaani sana kwa kunichafua, lakini cha kushangaza, leo hii hao hao Wapinzani na wafuasi wao wanatumia njia hiyohiyo ya kuniita shoga kunichafua. Kiufupi wanakula matapishi yao.

Maana hawana hoja zingine za maana za kunichafua mbele ya Uma. Na ikumbukwe sakata la Ushoga ndio limeshika kasi sasaivi kwahiyo wanajua ukimsema mtu Shoga atakosa maana kwa watu. Ndivyo propaganda za siasa zilivyo.


Msishangae sasa wanatembea na narrative kwamba kila mfuasi wa Rais ama Chama Tawala akinyenyua mdomo tu anaambiwa anatafuta uteuzi mara sijui anajipendekeza, tujiulize toka lini uteuzi umekuwa kitu kibaya? Si njia tu kama njia zingine za kutumikia umma? Kujipendeza? How? Which? Who? Mimi kusimama na upande wangu najipendekeza? Yaani ntupo kijiweni tukakunywa kahawa nimsifie mke wangu ni mrembo na ana maadili, uniambie najipendekeza? Sawa najipendekeza, jipendekeze na wewe kwa wako au upande wako. ACHA WIVU.


Mbona wao kutwa wanatetea na kusambaza kazi za vyama vyao na viongozi wao hatuwaambii wanajipendekeza? Mbona wanateuliwa kwenye vyama vyao hatuwanangi?


Ndugu wasomaji ndio muelewe hizi zinaitwa "propaganda tactics" za kudhoofisha pande pinzani zikose uhalali kwa Umma.


Sasa nipo CCM tangu Desemba 31, 2020, naitetea na kuisema vizuri CCM na kuhabarisha na kuzitetea Juhudi za maendeleo zisizomithilika za Rais na Mwenyekiti wa Chama chetu cha Mapinduzi CCM Daktari Samia Suluhu Hassan. Mnatarajia nipongezwe na Wapinzani wake? Wapinzani wa CCM wanipongeze? HAPANA.



Ni lazima nitukanwe na watu/pande zote pinzani kwa Rais na CCM na ndio maana Mange na wenzake wananitukana baada ya kuwakemea walipomtukana na kuutweza utu wake Rais wetu kwenye sakata la Bandari ambalo kiuhalisia linaenda kuleta Mapinduzi ya kihistoria katika kunufaika na uwekezaji bandarini kinyume na propaganda zinazoenezwa kwamba bandari inauzwa.



Aidha ndugu wasomaji ifahamike kutukanwa huchaguliwi tusi wala huwezi kutuma maombi ya namna ya kuchafuliwa.. Sasa imagine..Mange Kimambi kaweka picha yangu nimefuga kucha ambayo nilipiga wakati nipo Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) miaka 10 huko na nikiwa nimefuga dred, na wakati huo nilikuwa Mtangazaji wa Mlima TV kipindi cha wasanii (Muziki na Maisha)...So ilikuwa kawaida kuwa na mwonekano huo kuakisi kipindi hicho na pia nilikuwa najihusisha na mambo ya mtindo.


Picha nyingine ni ile nimejifunika shuka la kimasai ameizoom kama vile nimesuka rasta.. Uwongo Sijawahi kusuka rasta maishani. Ni kawaida sana hata wewe ukitembelea kwenye gallery za wamasai Arusha unaweza kuvaa hizo shuka ukapiga picha.



Kupitia Makala hii pia naomba niwahakikishieni (kwa wale wenye mashaka).. Naaapa kwa Mungu wetu; Sijawahi na namwomba Mungu sana isije ikatokea niwe Shoga. Na hata kuzungumzia tu Ushoga huwa napata kichefuchefu. Na naumia sana nikiona wanaume wanafanya wanafanya ujinga huo. Nipo vizuri kimwili, nina mchumba wangu na Mungu akipenda nitafunga nae ndoa karibuni. Inshallah!!


Hivyo ni vizuri sote huku tukaelewa mambo haya. Katika mambo mabaya watu wanapenda kujizungumzia jinsi walivyo kwa kutumia nafsi ya mtu mwingine.


Ni vizuri sasa tutambue Mheshimiwa Rais ameturejeshea na kuimarisha uhuru wa Kujieleza kuliko wakati wowote ule tangu tupate uhuru. Hamuoni yeyote anafungwa, kutekwa ama kuuawa kisa amemkosoa ama kumtukana Rais na Serikali yake. Kiongozi wa namna hii nisipende? Ndio maana rafiki yangu mmoja juzi ananiambia: Suphian huna ushabiki na Rais Samia, una mahaba na Rais Samia akidai Siambiki unapokuja mjadala wa kumsema vibaya. Yes she deserves it.


Uungwana huu wa Rais Samia nawaomba tuutumie vema. Ifahamike Dictators are also made from innocent leaders via abusive critics. Viongozi wema huweza kutengenezwa kuwa madikteta kupitia midomo michafu. Hivyo Tukosoe kwa staha, tusifie kwa staha, tujenge Nchi yetu pamoja.


Otherwise NAWAPENDA nyote ndugu zangu Watanzania.

Mungu ibariki Tanzania.

Ahsanteni.


Suphian Juma Nkuwi,

Kada-CCM,

Singida,

Juni 14, 2023

Namba: 0717027973


 
Kumbe "MAMA" alikuwepo madarakani tangu December 31 2020?

Kwanini msiyaache maendeleo aliyoyaleta "MAMA" yazungumze yenyewe kuliko kujaza machawa kama nyie muongee?

Suala la wewe kuwa shoga it's up to you! We don't need any proof from you.
 
Kwa ujinga wenu ndio maana mnauzwa, Nchi ipo kwenye taharuki ya mkataba wa bandari zetu wewe unanusa makalio ya watu ili kujua nani ana marinda nani hana, itakusaidia nini?

Pathetic fool.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwann Bandari zisiuzwee hapo?? Na zitauzwaa mnoo. Wananchi wenyewe wana kazi ya kupelelezana km fulani ana marinda au hana. Lol
 
Sijawahi jua kwanini huwa unatumia nguvu nyingi mnoo kupinga kuwa wee sio shoga, km inavyosemekana, ili hali unaweza kaa kimya tyuh na isiwe lolote, unless ukweli wee ndo unaujua, km ndiyo au hapana.

Sawa unaweza ukawa hoja zako umezitoa kwa usahihi, lakini jiulize kwann wee unazushiwa skendo hiyo na sio zingine?jiulize pia waliotoka upinzani kwenda chama tawala ni wengi, ila mbna wao hawazushiwi skendo km yako, na umedai skendo hiyo ni maarufu kwa sasa kila mtu kuzushiwa, why wee na sio hao wengine?

Hoja ya kusema wee uko mbele zaidi kuliko wengine haina mashiko, labda ulete nyingine ueleweke,

Umezungumzia hapo na kuukandia ushoga, plus mashoga wenyewe kuwa ni laana, mara unachukizwa, unaomba isitokee kwako kamwee, mara una mchumba na mtafunga ndo karibuni, uko tumamu kimwili. Kwani kuwa hivyo ndo huwezi kuwa shoga?au usingezungumza bila kuukandia na kuunanga hivyo watu wasinge kuelewa??

Km kuhusu skendo kupitia hilo gazeti, mbna tuhuma zilikaa miaka km 2 bila kutolewa ukanusho au pingamizi kutoka kwako, ila baada ya msemaji wa serikali Msigwa kuzungumza kuwa ile skendo itakua kweli sababu hakuna pingamizi kutoka kwa wahusika tajwa ndo wee ukaleta andiko lako humu la kukanusha, kwann usingeenda kwenye vyombo vya habari, au hata kwa gazeti husika wakanushe kupitia chapisho zao? Vipi mbna hukuwashitaki hao musiba na wenzake ktk hilo gazeti ili wakulipe fidia ya udhalilishaji huo ambao wee una ukemea na kuukandia kuwa huna na utaka uwe nao??

Kaka suphian ni bora hata ukawa kimya tyuuh, kuliko kutumia nguvu nyingi kulizungumzia, ni unazidi kufanya watuu waanze kuhisi ni kweli.


Ukimya nao ni busara.
 
Wazungu wengi hawapendi kabisa system ya kuwa na mke zaid ya mmoja
Na huwa wanatushangaa pengine na kulaumu Jamii za kiafrika kwa kuoa wake wengi

Lakin hawahawa wankubali mahusiano ya jinsia moja na kutulazimisha sisi tuwaige. Kwanini wao hawakubali polygamy system!
 
Wazungu watu ambao wanapenda kujiona wao wako sahihi mda wote Kwa Kila kitu na wanapenda kuchallenge pia Kila kilichomo ardhini ila vingi wamefanikiwa kasoro tu kutengeneza pumzi bandia ya kuweza kumfufua mtu au mtu asife na kutengeneza mwili Wa manadamu awe km Mimi na wewe tulivyo hivi na hapo Mungu aliwakomesha (Kwa tunaoamini Mungu ndo tutaelewa)
 

Culture zinatofoautiana sanaa hatuwezi kuwa sawa kuna mambo wao wanaona sis tuko backward na kuna mambo sisi tunaona wao wako backward, mwisho wa siku kila mmoja atajiona sahihi kuliko mwenzie
 
Si umeshajijibu mwenyewe. Mashoga na kuoa wapi na wapi?
 
Waarabu wa pemba mnajuana kwa vilemba.
 
Jf members hata salamu sitoi coz yaliyonikuta huko west.....
Kwa majina naitwa costa ni mzaliwa wa tanzania lakini nimekulia marekani . Wazazi wangu wana mtoto mmoja tu pekee ambaye ndo mimi . Ni miaka sasa imepita baada ya kuhitimu masomo yangu in the collage. Baba yangu na mama yangu waliachana . Sikujua tatizo ni nini ila kutokana mimi ni mtoto wa kiume nikaamua kuua na baba.
Nayaleta kwenu yote haya coz inaniuma sana baba yangu mimi kawa si mwanaume tena . Hata base lake lile si tena kama la zamani . Ikafika kipindi akataka nifanye nae mapenzi hapana ...
Nikatoka pale nyumbani nikaelekea kwa mashkaji zangu nikiwa na begi langu la nguo.
Oh MY GOD nao pia si wanaume tena . Jamani huko west kume fura
na ndio kisa cha mimi kupanga safari ya kwenda mashariki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…