Foxhound
JF-Expert Member
- Dec 15, 2013
- 28,710
- 76,243
Una ushahidi juu ya hili la kusema Sunna?! Ni mabaradhuli pekee ndio wanaoeneza hii propaganda ya kusema Sunna.Ushoga ni utamaduni wa waarabu wao wanasema ni sunna za mtume.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una ushahidi juu ya hili la kusema Sunna?! Ni mabaradhuli pekee ndio wanaoeneza hii propaganda ya kusema Sunna.Ushoga ni utamaduni wa waarabu wao wanasema ni sunna za mtume.
Ila hii Manchester United ya mwaka huu sijui kama itapona kushuka daraja. Mechi 5 imedondosha point 8 na bado hajakutana na wale top 5 kila mwaka. Kimahesabu imeshashuka daraja (5X3)x2=30(Home and Away)+8(zilizokwisha dondoka)=38. Lengo la hizi hesabu ni kuwatahadharisha mashabiki wote wa Man U mjiandae kisaikolojiaTuwe wakweli juu ya ushoga
Kwa ilivyo juu ya rushwa ndivyo ilivyo ktk ushoga . Tunaimba kiila juu ushoga ni kitu kibaya lkn tunafunga maskio yetu kila siku yasikia wasanii wetu wakisema "kwa mpalange kwa mpalange" na wananchi hata kupiga marufuku maneno zinazo glorify ushoga .
Kwa sbb siasa imeingizwa kwenye rushwa,wanapiga rushwa kwa maneno tu ndio wala rushwa wakubwa.
Ushoga ni ttz kubwa, tuache kuimba nyimbo zinazotukuza ushoga. Hili ttz la ushoga ni balaaa kwa taifa. Wote tunajua kwamba hata ktk familia nyingi manaume wanaingilia hata wapenzi wao na pengine hata wake zao kinyume ncha maumbile.
Swali langu: Tutaacha lini unafiki wa kuingiza siasa ktk masuala muhimu kama haya. Kwanini hatupendi kutatua mattz yetu kulingana na uhalisia wake?
Unashangaa wakati chama cha maandamano, chadema, kinaunga mkono ushoga?Miaka michache ijayo sijui kama kutakuwa na wanaume hapa Dar! Nasema haya kwasababu mashoga wanaongezeka kwa kasi sana, ushoga umekuwa ni jambo la kawaida hapa Dar.
Sidhani kama kuna mtaa Dar ambao hauna mashoga, Mungu atunusu maana kwasasa mashoga wa sasa sio kama kipindi cha nyuma. Wa sasa hivi unakuta ni mtu na status yake, haonekani kama ni shoga, wengi ni watu smart kichwani na wengine wana ndoa zao.
Wengine ni watu na miili yao ya mazoezi wamejazia, ukimuona unasema ni kidume, wengine hadi ni wale watu wa kombati na nyota zao.
Hapa ofisi ninayofanyia kazi kuna watu na vyeo vyao wawili, nilichogundua wana mahusiano yasiyofaa kwani niliwafuma wamejifungia ofisini japo hawakuniona nilihisi kuishiwa na nguvu!
Sijui kama miaka michache kutakuwa na wanaume marijali wengi, itakuja kufika mahali kati ya wanaume 10 ambao ni homesexual ni 8.
Hali ni mbaya sana hapa Dar, kuna haja ya kutangazwa hali ya dharura, ushoga ni janga la kitaifa haswa hapa Dar. Hivi tatizo ninini? Yaani limekuwa ni jambo la kutisha hadi mtu unaogopa kuzaa mtoto wa kiume. Mungu nilindie kizazi changu uwiii, wanaume kwanini hivyo lakini?
Kwahiyo kinaunga mchezo wa kupigana miti??Unashangaa wakati chama cha maandamano, chadema, kinaunga mkono ushoga?
Maana ya "mto" ni nini?Unafahamu maana ya Sunna? Nyie ndio mnaoeneza propaganda mbaya sana!
Ongeza Lucas Mwashambwa
Unamsingizia mtukufu wa Daraja ,Subhana llah .Jua wazi kama utalipwa hapa hapa Duniani ,na mimi ni shahidi kesho akhera kwa ulichokiandika, laana za Allah ziwe juu yako kabla ya kifo chako.Kwa hili sitovumilia,vidole vyako vinaweza vikapotea dakika tu.Surrat 7, hata mtume muhamad alikula tundu la huzuni kwa Hadija mkewe
Bado haija haribika sana, ila iko kwenye second step kuelekea huko. Mtoa mada yuko right, wasanii ndio wana glorify haya mamboJamii tuliyonayo imeshaharibika hata itiwe ndimu haisaidii kitu, cha muhimu ninachokiona ambacho kitasaidia kupunguza (Sio kuondoa) tatizo tulilonalo ni kuwa kila mmoja wetu apaze sauti yake kuanzia ngazi ya familia, ukoo na hata jamaa zake katika kuwaelezea tatizo hili, nahisi kwa kiasi fulani itasaidia.
Kila mmoja wetu na atimize wajibu wake.
Tumia akili japo kidogoSurrat 7, hata mtume muhamad alikula tundu la huzuni kwa Hadija mkewe
Kuandika kama hivyo iwe utani au kwa imani yako,ni upotofu mkubwa sana.Haufanani.Kumla mwanamke ndogo ni sunna mbaya dume kwa dume. 👍 👍
Aisee 😯Surrat 7, hata mtume muhamad alikula tundu la huzuni kwa Hadija mkewe