Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

Ila hii Manchester United ya mwaka huu sijui kama itapona kushuka daraja. Mechi 5 imedondosha point 8 na bado hajakutana na wale top 5 kila mwaka. Kimahesabu imeshashuka daraja (5X3)x2=30(Home and Away)+8(zilizokwisha dondoka)=38. Lengo la hizi hesabu ni kuwatahadharisha mashabiki wote wa Man U mjiandae kisaikolojia
 
Kumekuchaaaaaa!!!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wabongo wameamua kupenda mchezo wa kupigwa pipe za nyuma ila mnatisha sana asee
 
Unashangaa wakati chama cha maandamano, chadema, kinaunga mkono ushoga?
 
Surrat 7, hata mtume muhamad alikula tundu la huzuni kwa Hadija mkewe
Unamsingizia mtukufu wa Daraja ,Subhana llah .Jua wazi kama utalipwa hapa hapa Duniani ,na mimi ni shahidi kesho akhera kwa ulichokiandika, laana za Allah ziwe juu yako kabla ya kifo chako.Kwa hili sitovumilia,vidole vyako vinaweza vikapotea dakika tu.
 
Bado haija haribika sana, ila iko kwenye second step kuelekea huko. Mtoa mada yuko right, wasanii ndio wana glorify haya mambo
 
Kuna jamaa anasema aliwahi kwenda kwa P didy ila waliyoyafanya hawezi kuyaweka wazi.

Mchizi hawezi kuimba bila kutaja hizo sehemu.
 
Mitaro ni yao, mitalimbo ni yao acha watifuliwe kama ni hiyari yao.

Tatizo ni kuwahusisha watoto kwenye haya. Jitu lina 30 yrs au lile liafande la zenji kwa hiyari yake limeamua kutinduliwa acha litinduliwe.

Likitinduliwa wewe inakuathiri nini??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…