Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

Wee mchungaji sijui Sheikh nitolee juzuu yako hapa, hisia zangu na zinahusu nn na hayo uliyoandika? Uzinzi umekatazwaa wee huzini?

Mxieeeeeeeew!!!!
Nazini ila si fanyi mapenzi ayo yako
 
huo ndio mtandao wao wanaoutumia kuwasiliana
Sasa ule si uko Fb, na links iko telegram, ule ni mtandao wa gays cheap, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ko wee vidampa unachukua kuleee?

Kuna app special za gays, tena whole World, unalipia, na unaingia kwa password, kabla ya ku create acc kuna sett na quns inatakiwa ujibu. Weraaaaaaaaaah.

Eti Pamoko, sasa si bora TGN. weuweeeeeeee!!!

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wasipokuomba link pm,niite nyau nimekaa pale
 
mie sijui upi ni bora mie nauona huo kwa tanzania na una vituko vingi sana
 
unamaanisha grindr?
 
mie sijui upi ni bora mie nauona huo kwa tanzania na una vituko vingi sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kule ndo wanako jidai gays wengi, couz n bundle tyuuh, hata mie napenda kwenda kusoma vituko vya gays hasa uswaahilini,

Pamoko bhanaaaaaa, zaid ya 2.3k members.
 
unamaanisha grindr?
Grinder nayo App sasa? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ilishapotezaaa mvutooooo kitamboooooo. Wamevamia maharamia kuleeee...

Hakunogiiii tena, kwanza kumepoaaaa hakna hata jambo
 
nimeupitia huo mtandao tgn muda huu
 
nimeupitia huo mtandao tgn muda huu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ziko viewz ya zaman sanaaa, mwenye huo mtandao alikufa kifo kibayaa sanaaa.

Rip to him.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…