Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

Tofauti na wale walio ingia humo kwa tamaa au kufuata mkumbo au kubakwa na mazingira mengine wezeshi yaliyo watumbukiza kwenye janga hilo, HIVI WALE WALIO ZALIWA na disability hizo hua wanakua kundi gani!!?

Kuna ninaemfahamu kazaliwa hivyo ila hatoi utamu ila anapenda sana mambo ya kike hua namuonea huruma sana ni kama kaja kimakosa duniani
 
Tofauti na wale walio ingia humo kwa tamaa au kufuata mkumbo au kubakwa na mazingira mengine wezeshi yaliyo watumbukiza kwenye janga hilo, HIVI WALE WALIO ZALIWA na disability hizo hua wanakua kundi gani!!? Kuna ninaemfahamu kazaliwa hivyo ila hatoi utamu ila anapenda sana mambo ya kike hua namuonea huruma sana ni kama kaja kimakosa duniani
Unajuaje km hatoi? Au wee ndo unamkaguaga, japooo sio wote wa hivyo huwaa wanatoa.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Tofauti na wale walio ingia humo kwa tamaa au kufuata mkumbo au kubakwa na mazingira mengine wezeshi yaliyo watumbukiza kwenye janga hilo, HIVI WALE WALIO ZALIWA na disability hizo hua wanakua kundi gani!!? Kuna ninaemfahamu kazaliwa hivyo ila hatoi utamu ila anapenda sana mambo ya kike hua namuonea huruma sana ni kama kaja kimakosa duniani

Ww mbona umetokoka kule
 
Unajua haya mafantasy ukiyaendekeza sana ukawa umefanya karibu kila aina ya sexual fantasy inaweza ikafika kipindi ukataka uonje tamu ya shoga uone inakuwaje

Na ww si umeonja uzuri wake wew unasema ukweli hila sio sisi hapa tunamaliza kuwatukana sana baadae hao tunawafwata na kuwahonga tuna wahonga
 
Nachekaaaa nusu nizimieee hapaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], ila watu jaman khaaaah.
Cheka tu ila mtihani Sana ingawa watu wanaona kawaida ila ni vitu vya ajabu Sana mtoto wa kiume kufanya mambo hayo Kila kitu kibaki asili yake
 
Ww mbona umetokoka kule
Ndio nilikua njiani kuondoka[emoji1787][emoji1787][emoji1787] huu ulevi mbaya sana! Alie tulisha hii kitu jf akifika mbinguni asifuate ile trekta ya kuni kule kulia, apite zake kushoto atakutana na mitungi ya gesi ataenda kupumzikia humo[emoji1787][emoji1787][emoji1787] shubaaamiti
 
Unajuaje km hatoi? Au wee ndo unamkaguaga, japooo sio wote wa hivyo huwaa wanatoa.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] hajawahi kunialika, hata kwenda kumshikia miguu
 
Zamani walikua wanawaua, wamama (mama zao) walipoanza kuwalilia watoto wao kwanini mnaua watoto wetu? ndio yakaja Mambo ya Haki za Binadamu, kwa hio watetezi wao namba moja ni mama zao waliowazaa hawataki watoto wao waliowaweka kwenye matumbo yao wauawe maana hawakuomba kuzaa mashoga nani alaumiwe Mungu?

Ni sawa na kumlaumu mtoto ambae amezaliwa bila kua na njia ya haja kubwa kua kwanini amezaliwa bila kua na njia ya haja kubwa?
Sasa unaua mtu ambaye hana kosa ili iwejee?? Yaan straight hawana amani na life lao binafsi, kutwaa kuchonga ngenga kwa pande zingine lol.

Utasikia ni dhambi, ila wao uzinzii uliopitiliza hawaoni.
Bongo unafikii unawasumbuaa. Khaaah
 
Unadhani kama asingeandika ndiyo mashoga wangepungua? Hell, NO! Nchi ina mashoga wengi sana na ni unafiki tu wa watu kujifanya hawaoni lakini kila sehemu ni mashoga. Wiki iliyopita kuna jirani yangu aliniambia alfajiri alikwenda chooni akakuta mpangaji mwenzake amemwinamisha kijana mmoja anayeishi naye. Sisi tulikuwa tunadhani ni washikaji tu wanaishi wote kumbe ni mtu na mke wake. Na siku si nyingi nilipita maeneo ya Mikocheni nikakuta vijana wawili wanapigana vibaya sana kuuliza kumbe ni ''wake'' wa mzungu mmoja mmoja wanaishi naye.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Dj waleteeeeeeee.
Sahivi wengi wameoana na wanaishi Pa1, kisingizio washikaji.

Mweeeeeh.
 
Hkn Bado hajawa confirmed huyu Ni transgender hili ,bila shake Ni pungaa

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Unatesekaaa na miee? Nawaambiga ukweli kulia kwenye keyboard haisaidii, km mnaweza na mnajiamini anzeni kuwapopoa huko mtaan na uraiani.

Mtu kawaonaa huko Sinza, makasiriko analeta JF.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23],.

[emoji2380][emoji2380][emoji2380][emoji2380][emoji2380][emoji2380] 4 lifeee, hamtakiiiii mkufweeeee.
 
Cheka tu ila mtihani Sana ingawa watu wanaona kawaida ila ni vitu vya ajabu Sana mtoto wa kiume kufanya mambo hayo Kila kitu kibaki asili yake
Unajua mie siku zote nakataa unafiki, hivi kwann watu hasa straight wajitokeze wazi kupinga na kuzuia hili janga la ushoga?

Mtu hapa mtandaoni anapinga aki log out anaenda kutafuta kizibo, haya umekutana nao mtaani kwann usi deal nao hapo hapo, anakuja kuleta lawama JF.

Ndo nn sasa? Adui ukimshindwaa ungana nae. Kelele tushachokaaa sahv aaaaah.
 
Back
Top Bottom