Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

Ha! Hao minyoo wako wana meno kama ya mbuzi mkuu! Mchicha kuchwili![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

[emoji23][emoji23][emoji23] mbuzi ana unafuuu kondooo [emoji23][emoji23][emoji23] mpaka ukimaliza unalala kama mfu
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] nikodi kosta nisafirishe bwabwa! Namuacha hukohuko hosp wakamzike makaburi ya pamoja na matanga hamna! [emoji2962]

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] acha izo wewe
 
Hawajaongezeka. Uhuru ndio umeongezeka. Wapoge tu hao.
 
Sasa utafanyaje! Huo msiba unaenda kuuendeshea pale kibarazani kwako si haramu shehe! Unamuacha huko wenzake watakuja kumchukua " waache wafu wazikane "

Kuwa wewe kuweza [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Misaada yenye masharti [emoji3]
Misaada ya UVICO mnapenda sanaa kupokea, ila terms n conditions hamtaki?

Ukitaka kula, sharti uliwe. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Huwezi kuwajua hata kama anafanya hayo mambo ukikutana nao kuna mmoja ana mtoto tena wakiume lakini uho ndio mchezo wake ataki kuoa kisa kwamparange
Duh! Huruma sana na huzuni juu! Hivyo hua wanaenda kufanya wapi! Mbona ma guest house wanawapiga vita sana hawa watu au wanaingia wakiwa wamevaa madela kama salome wa buza
 
Duh! Huruma sana na huzuni juu! Hivyo hua wanaenda kufanya wapi! Mbona ma guest house wanawapiga vita sana hawa watu au wanaingia wakiwa wamevaa madela kama salome wa buza

Ww huwa wanachonga na yule muhudumu anapewa ka 5000 au 10000 anawaruhusu nendeni kuna mh mmoja alienda hotel fulani hapa dar anapenda tigo kafanya kamaliza muhudumu anenda safisha chumba kwenye shuka akaona ranginya njano walichafua shuka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…