Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

Umeua wangapii had sahivi keyboard warrior wee,
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] poleeeeeeeh
Sijafanikiwa kukutana nae, mara nyingi wanapita mbali na mimi. Ipo siku, nasema tena ipo siku.
 
Ndo nimetokaa kuchezea kifiroo, hapa tume pumzikaaa.

Nuksi unazoo tangu unazaliwa leo unashaukwaa,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dyadyaa em kaa kwa kutuliaaa. Lol
Aisee,! Kweli wanasimba ni unstoppable [emoji119]
 
Et MBUGU Daah!
 
Duuh... watu kama hawa hawahitajiki kabisa katika jamii...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Labda wanawake wanawabania sana na kuwapiga pesa ndefu, wakaona wabuni yakwao na kuhamishia uhitaji kwingine.
Watu hao ni nyonyanyonya,juzi kati niko sehemu mtu anasema nipe 35,000/- badala ya hotel uje kwa baba yangu,nikasema sawa,wala sikujisetesa Tena usiku huo.
 
Inasikitisha sana .na pia media zimekuwa ziki push hii agenda kwenye mind za watu kijanja sana. Unakuta sasa hivi mwanaume anaigiza kama ke kwenye hizi comed
Mbuni za wamarekani huanzia kwenye Yale ya the original comedy
 
Ingekua Mimi ningemchukua kwanza video .Kisha ningetafuta fimbo Moja kubwa na kuanza kumchapa sana huyo kijana wa Form 3 mpaka sehemu zake za Siri zirudi ndani awe kama Ng"ombe wa Maksai wa kulima. Kisha unampeleka Polisi na ushahidi ukiwepo.Kesi kama hiyo ya kumnajisi mtoto adhabu yake ni kifungo Cha maisha au miaka 30 gerezani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…