Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Manzese kwenye zile Hotel za wakinga wapo kibao tuu hapo Tip Top...Itakuwa dar es laam maeneo ya kinondoni, Mbagala na viunga vyake
Pia na baadhi ya wanaume wa mikoani wakija dar wengine wanabadilika sana
Manzese tupo ma hardcore hatunaga ujinga huo
Hivi kanda ya ziwa ina mikoa mingapi??Hakuna hayo mambo kanda ya ziwa, nimeishi sana, japo kuna lihindi moja libonge ndo lilikuwa shoga Musoma nzima ikawa inalitenga
... Utaingiza tuu hebu nione... [emoji23] [emoji23] DaaahHuna unalolijua wee kaa kmyaaa.
Wajaribu waoneee ndo watajua nani atamfunga paka kengele, wamuulize Makonda atawapa majibu muruaaa kabisaaa, km ndoa zao zimewashindwaaa watulizane, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]... Utaingiza tuu hebu nione... [emoji23] [emoji23] Daaah
Inaitwje tufanye uchunguziHivi karibuni kumeibuka mitandao (Applications) za kuunganisha wapenzi wa jinsia moja walio eneo moja. Sasa hivi vijana wa vyuo wanadabuliwa bila huruma Wala kinga Kwa tamaa ya pesa. Yaan dakika 10 nyingi dogo huyu hapa na bodaboda.
NB: Vijana msipende vya bure.
Mbona manzese wapo wengi sana... yaani kuanzia magomeni mpaka ubungo ni pachafu...Itakuwa dar es laam maeneo ya kinondoni, Mbagala na viunga vyake
Pia na baadhi ya wanaume wa mikoani wakija dar wengine wanabadilika sana
Manzese tupo ma hardcore hatunaga ujinga huo
Achaga uongo sijaona chuo kikuu chenye mambo ka hayo hapa bongo mtu mpk kafika cchuo kikuu bado hajitambui tuHivi karibuni kumeibuka mitandao (Applications) za kuunganisha wapenzi wa jinsia moja walio eneo moja. Sasa hivi vijana wa vyuo wanadabuliwa bila huruma Wala kinga Kwa tamaa ya pesa. Yaan dakika 10 nyingi dogo huyu hapa na bodaboda.
NB: Vijana msipende vya bure.
Hujui unaloongea. Wanachuo (individual) sio chuo (taasisi).Achaga uongo sijaona chuo kikuu chenye mambo ka hayo hapa bongo mtu mpk kafika cchuo kikuu bado hajitambui tu