Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

Huwa sipendelei sana kwenda sehemu ambazo wenyewe Watoto wa mjini huita kina-happen ile mbaya. Mimi hupendelea kutoka na kwenda sehemu tulivu. Maana sehemu hizo za kunapo-happen huwa ni shida tu na watu kujifanya tunajuana sana.

Weekend hii sababu ya mualiko wa rafiki yangu nikawa sina jinsi nikaenda ile pub moja pale sinza mori njia ya kutokea kwa kakobe ambayo ndio ina-happen sana kwa sasa(sitaitaja jina).

Kilichoshangaza zaidi kuwepo kwa vijana wengi Mashoga, niseme ukweli kwenda kwangu kote sehemu za starehe sikuwahi kuona idadi kubwa ile ya vijana Hawa Kama niliyoiona weekend hii. Na Cha ajabu kabisa hata mavazi yao wengi wamevaa ya kike kike.

Hawa vijana hawana hofu kabisa, ni wengi sana na muda mwingi hujipitisha pitisha kwa kubinua makalio mbele ya wanaume. Na mwingine niliona akienda kumkatikia mwenzie, wakawa wanabambiana. Wamejiremba na wengine wamepaka make-up.

Ni kina nani huwatongoza hawa na Kulala nao? Mbona sio kawaida? Huu wingi umetoka wapi? Mwenye hii bar sijui pub sijui lounge anakubali vipi hii sehemu kufurika hawa watu?
Vigogo wa ccm pengine kwann wanashindwa kukemea
 
Umenichosha hapo uliposema hutataja jina... Sasa una Nia Gani?
 
Huwa sipendelei sana kwenda sehemu ambazo wenyewe Watoto wa mjini huita kina-happen ile mbaya. Mimi hupendelea kutoka na kwenda sehemu tulivu. Maana sehemu hizo za kunapo-happen huwa ni shida tu na watu kujifanya tunajuana sana.

Weekend hii sababu ya mualiko wa rafiki yangu nikawa sina jinsi nikaenda ile pub moja pale sinza mori njia ya kutokea kwa kakobe ambayo ndio ina-happen sana kwa sasa(sitaitaja jina).

Kilichoshangaza zaidi kuwepo kwa vijana wengi Mashoga, niseme ukweli kwenda kwangu kote sehemu za starehe sikuwahi kuona idadi kubwa ile ya vijana Hawa Kama niliyoiona weekend hii. Na Cha ajabu kabisa hata mavazi yao wengi wamevaa ya kike kike.

Hawa vijana hawana hofu kabisa, ni wengi sana na muda mwingi hujipitisha pitisha kwa kubinua makalio mbele ya wanaume. Na mwingine niliona akienda kumkatikia mwenzie, wakawa wanabambiana. Wamejiremba na wengine wamepaka make-up.

Ni kina nani huwatongoza hawa na Kulala nao? Mbona sio kawaida? Huu wingi umetoka wapi? Mwenye hii bar sijui pub sijui lounge anakubali vipi hii sehemu kufurika hawa watu?
Hapo kitambaa cheupe kiukweli ni pa hovyo sana. Nilifika mara moja tu hata kurudi sikutamani. Malaya wengi kama uchafu + hao.
 
Kama unamaanisha Meeda (Kitambaa Cheupe Sinza) pale kuna mashoga wengi

Wale wana wateja wao mamende kuna mwanangu yeye ndo michezo yake kashawala mashoga kadhaa pale

Mkistay sehemu pale Kitambaa Cheupe mnagonga mbili tatu lazima wajipitishe wanabinua vimatako vyao na pozi za kike
Hapo hapo wala hujakosea
 
Kuna malaya wa kike pale Kitambaa Cheupe Sinza ukiongea nao wanakupa connection za mashoga wa kila aina au anamleta pale ulipo

Au ukiongea na baadhi ya wahudumu wanakuletea shoga kazi inabaki kwako.

Kuna siku nikasema ngoja nijaribu nikaletewa shoga ukimcheki unaweza kusema huyu ni straight kumbe anafukuliwa mtaro ila ongea yake ya kidemu kabisa mamæ
Hapo hapo. Ni kwa nn wamechagua pale kuwa kituo chao?
 
Kama yule James Delicious wanawake ndo wanaongoza kwa kumpa umaarufu hasa hawa celebrities wa kike
Na ndo mana niliongea hivyo kwa makusudi mkuu na utakuta na ma-boyfriend wa kwenda kumchokonoa wanamtafutia. Na sio James delicious peke yake.... wako wengi! Wengi! Wengi! Sana! Hata wasiojulikana na marafiki zao wakubwa ni wanawake

Alafu lawama wanazitupa kwa wanaume. Wataalam wanakwambia anayeshiriki kumfira shoga hayuko timamu kiakili.
 
Unadhani kama asingeandika ndiyo mashoga wangepungua? Hell, NO! Nchi ina mashoga wengi sana na ni unafiki tu wa watu kujifanya hawaoni lakini kila sehemu ni mashoga. Wiki iliyopita kuna jirani yangu aliniambia alfajiri alikwenda chooni akakuta mpangaji mwenzake amemwinamisha kijana mmoja anayeishi naye. Sisi tulikuwa tunadhani ni washikaji tu wanaishi wote kumbe ni mtu na mke wake. Na siku si nyingi nilipita maeneo ya Mikocheni nikakuta vijana wawili wanapigana vibaya sana kuuliza kumbe ni ''wake'' wa mzungu mmoja mmoja wanaishi naye.
Ukweli vijana wengi sana sasa ni Mashoga. Wengi mnooo
 
Zamani walikua wanawaua, wamama (mama zao) walipoanza kuwalilia watoto wao kwanini mnaua watoto wetu? ndio yakaja Mambo ya Haki za Binadamu, kwa hio watetezi wao namba moja ni mama zao waliowazaa hawataki watoto wao waliowaweka kwenye matumbo yao wauawe maana hawakuomba kuzaa mashoga nani alaumiwe Mungu?

Ni sawa na kumlaumu mtoto ambae amezaliwa bila kua na njia ya haja kubwa kua kwanini amezaliwa bila kua na njia ya haja kubwa?
Kuna documentary niliionaga zamani sana ya kijana mmoja alikuwa anaishi England kwa wakati huo anatoa historia yake.... akaelezea alivyonusurika kifo baada ya kugundulika na familia yake, ukoo na jamii yake kwamba anachezewa utope. Mpaka wakasafiri mpaka Jamaica na kuonesha nyumba waliyokuwa wakiishi. Wanarekodi kipindi wakiwa kwenye tinted kali! Anawapitisha maeneo ambayo alikuwa anaenda kula raha na kwa marafiki zake wa zamani... hapo ni baada kama ya miaka inshirini (20) tangu anusurike kifo ndo anakanyaga tena Jamaica.


Ila nasikia kisirisiri bado wanawaua sana!
 
Huwa sipendelei sana kwenda sehemu ambazo wenyewe Watoto wa mjini huita kina-happen ile mbaya. Mimi hupendelea kutoka na kwenda sehemu tulivu. Maana sehemu hizo za kunapo-happen huwa ni shida tu na watu kujifanya tunajuana sana.

Weekend hii sababu ya mualiko wa rafiki yangu nikawa sina jinsi nikaenda ile pub moja pale sinza mori njia ya kutokea kwa kakobe ambayo ndio ina-happen sana kwa sasa(sitaitaja jina).

Kilichoshangaza zaidi kuwepo kwa vijana wengi Mashoga, niseme ukweli kwenda kwangu kote sehemu za starehe sikuwahi kuona idadi kubwa ile ya vijana Hawa Kama niliyoiona weekend hii. Na Cha ajabu kabisa hata mavazi yao wengi wamevaa ya kike kike.

Hawa vijana hawana hofu kabisa, ni wengi sana na muda mwingi hujipitisha pitisha kwa kubinua makalio mbele ya wanaume. Na mwingine niliona akienda kumkatikia mwenzie, wakawa wanabambiana. Wamejiremba na wengine wamepaka make-up.

Ni kina nani huwatongoza hawa na Kulala nao? Mbona sio kawaida? Huu wingi umetoka wapi? Mwenye hii bar sijui pub sijui lounge anakubali vipi hii sehemu kufurika hawa watu?
Astaghafulilah!!!
 
Ukweli vijana wengi sana sasa ni Mashoga. Wengi mnooo
Tena wa kisirisiri. Siku unagundua mshkaji wako ni shoga hutaamini utatamani ulie kwa aibu, kuumia na fedheha. Hasa hawa mablaza meni wanaotaka gari kali, demu mkali simu kali, pamba kali, anukie na apartment kali aishi bila mchongo wowote wa maana, kazi wala elimu.
 
Huwa sipendelei sana kwenda sehemu ambazo wenyewe Watoto wa mjini huita kina-happen ile mbaya. Mimi hupendelea kutoka na kwenda sehemu tulivu. Maana sehemu hizo za kunapo-happen huwa ni shida tu na watu kujifanya tunajuana sana.

Weekend hii sababu ya mualiko wa rafiki yangu nikawa sina jinsi nikaenda ile pub moja pale sinza mori njia ya kutokea kwa kakobe ambayo ndio ina-happen sana kwa sasa(sitaitaja jina).

Kilichoshangaza zaidi kuwepo kwa vijana wengi Mashoga, niseme ukweli kwenda kwangu kote sehemu za starehe sikuwahi kuona idadi kubwa ile ya vijana Hawa Kama niliyoiona weekend hii. Na Cha ajabu kabisa hata mavazi yao wengi wamevaa ya kike kike.

Hawa vijana hawana hofu kabisa, ni wengi sana na muda mwingi hujipitisha pitisha kwa kubinua makalio mbele ya wanaume. Na mwingine niliona akienda kumkatikia mwenzie, wakawa wanabambiana. Wamejiremba na wengine wamepaka make-up.

Ni kina nani huwatongoza hawa na Kulala nao? Mbona sio kawaida? Huu wingi umetoka wapi? Mwenye hii bar sijui pub sijui lounge anakubali vipi hii sehemu kufurika hawa watu?

Laana hiyo asee ukila wewe sio mwenzetu
Moto unakuhusu
 
Serikali mbona iko kimya kuhusu huu uchafu
Kuna mambo yanahitaji akili kubwa komredi. Sisi hatuna ubavu wa kukemea hayo kwa sababu hatuna nguvu ya kupambana nao (mataifa makubwa)

Tupo bado kwenye uhitaji wa support kubwa mno kutoka kwao. Unaujua ule msemo wa "jifunze kula na Kipofu"

Ila amini usiamini humohumo serikalini Viongozi wetu wanachukia sana na wanaumizwa na hivi vitendo mno! Mno! Mno! Si katika tamaduni zetu.
 
Unaweza washangaa hao na wengine wenye tabia hizo ila nikuambie tu ndugu yangu Mambo hayo ni muendelezo wa yale ambayo kwenye ukoo wao yupo mtu alifanya vile. Nakupa mfano

Wewe mtoa mada unaweza mfira ama mwanamke wako ama mwanaume mwenzio na ukavhekelea hiyo dhambi ni lazima irudi kwenye kizazi chako au ndugu zako ama ataliwa tako ama atawala matako wengine na wajukuu wataridhi daima mpaka apatikane mwenye kukimbilia kwa Yesu na yy ili avunje hiyo dhambi ni mpaka asimame kwa uaminifu na sadaka kuukomboa ukoo ndugu.

Hali hii sio nzuri sbb ni roho mbaya sana lakini nani ajuaye maana ni tendo linafanyika sirini linaanzia kwenye ulimwengu wa Roho ni kama vile kujichua yaan mapepo yanatumaliza vijana.

Haina tofauti na mtu anaejiua ukitizama kwenye ukoo yy sio wa kwanza na itaendelea kizazi hadi kizaz.

Acha uongo.
 
Back
Top Bottom