instanbul
JF-Expert Member
- Jun 26, 2016
- 12,037
- 17,212
So Wananua boksa ili waonyeshw wenzao[emoji44]...na wakionyesha wanapata faida gan?kama sio kuonyesha walivyoumbika matako..Sasa wewe nawe unashindwa kufikilia onyesha boksa sio onyesha matako angesema onyesha matako ungekuwa sahihi onyesha boksa hili wao kama mshikaji mchafu hafuo boksa hii pia imeleta chachu kwa vijana kuaza kufua boksa na kununua boksa kwa wingi
Tangu uho wimbo utoke nimekuwa napokea oda nyingi za boksa hasa calvin clein sijui umenielewa mzee
Wavulana wanaonyeshana boksa siku hiz...
Zamani wasichana ndo walionyesha chupi walizovaa kwenye mchezo wao wa rede...siku hiz wanaume na wanavyofanya....