Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

Haya mambo yana uhusino mkubwa na sera hizi za kucopy kutoka mataifa ya kimagharibi.

Ukianzia mambo ya haki sawa yamechangia sana hili janga. Vijana wetu wanakutana na mabinti wanaowaonyesha viburi na jeuri hadi wanakosa mood ya kuwa na wanawake sababu ya kuepuka rejection na kero za kudeal nao wanaona watafute affection kwa wanaume wenzao.

Malezi especially ya single mothers. Wanawake wanalea watoto kimahaba sana. Mabusu kibao na kukumbatiana kama nyani muda wote. Mtoto wa kiume hii inamfanya awe laini na kushindwa kudevelop vizuri male traits ndani yao wanabakia kuwa soft ndani ya nafsi. So wakimiss yale mahaba ukubwani wanajikuta wanaliwa na wanaume wenzao wanaojua kubembeleza.

Mwanamke akilea mtoto bila baba around impact mojawapo ni kutoa picha ya uanaume katika akili ya mtoto yule. So akikua anakuwa hana ajualo kuhusu kuwa mwanaume kwa mwanamke wake so anajikuta anavutiwa na wanaume wenye traits za kiume.

Madogo wengi wa miaka hii hawajui tofauti ya kuwa mwanaume au mwanamke. Maana hata nguo za siku hizi wanavaliana wa kike na wa kiume. Tazama akina rayvan, wanavyosuka nywele kama dada zao. Sasa Madogo wa sampuli hizi umuweke meza moja na Mimi kwann asijiskie dhaifu na kuomba niwe mume wake.

Sera za kiserikali especially maeneo ya Afya na chakula napo ni pa kutazama. Chakula ni silaha nzuri sana ya kujenga taifa lolote.
Tokea miaka ya 1990s serikali na wizara husika wamekuwa very careless kuhusu raia wao vyakula wanavyokula, dawa wanazotumia, mambo ambayo yanachangia sana mabadiliko ya kitabia. Mfano Tazama vyakula vinavyotokana na mbegu za kisasa (GMO).
Tazama mabinti wanavyobwia P2 kila siku, hizi dawa zinawavuruga mzunguko halisi wa uzazi na kudisturb msawazo wa hisia.
Ndio Maana unaweza kushangaa mabinti wa siku hizi especially hawa kuku wa bloiler (mabinti wa mijini) wengi hawana hisia, Labda akuone na hela na hapo tamaa ya hela sio mahusiano.

Naturally vitu vinavyomvutia mwanamke ni Jasho, mchoro wa kidevu cha mwanaume, pua, kifua, gardenlove, sauti nzito, wingi wa ndevu, misuli ya mikono, etc. Ila mabinti wa kisasa hawapo responsive na hizo features wanataka mwanaume soft, mpaka poda, sauti, mwanaume ambaye hata Mimi nikimuona nadinda nataka nikamgegede, why wanaume sasa wasianze kulana na kundi kubwa wanaanza kulainika?!

Kuna mengi sana nyuma ya pazia ila yote inachangiwa na sera za serikali kwa raia.
Na vibretor zinaharibu sana mbunye
 
Kwa hali inavyoendelea ,mpaka kufika 2030, Taifa litakua na Kizazi ambacho Ushoga ni sehem yake ya Kila siku, Mapenzi ya Jinsia Moja ni suala la kawaida kabisa.

Mimi Huwa nashangaa, kwanin Suala hili la Ushoga ,Mapenzi ya Jinsia Moja Kwa ujumla wake LGBT , Serikali Inakua nalo kigugumizi??.Kwanini??.

Kwanini mnahitaji Tamaduni za Mataifa ambayo yameshashindwa, Mataifa ya Kishetani ,ndio yaendeshe Tamaduni za Nchi yetu.??.


Kwanini Mnaruhusu Uingizwaji wa Tamthiliya , na filamu kutoka Nje ambazo Zina maudhui 100% ya kuwafunza watoto wetu kua Ushoga ni sehem ya Maisha yao??

Kwanini Mnaruhusu Mitandao ya Kijamii , ipromote Ushoga na LGBT Kwa ujumla wake ili hali tunafaham Kwa Sasa watoto Wana access na Mitandao hii?.

Waziri wa Habari, Sanaa na Michezo, upo tuuu , unakodoa macho ,huku Kuna filamu na tamthiliya Toka nje, zinaingizwa Kwa makusudi kabisa kuwaharibu watoto wetu ?.


TCRA, mpoo tuuu huku maudhui yanayo promote LGBT yakiendelea kutamalaki mitandaoni ??.



Hili Suala lazima tulibebe kama " Tatizo letu sote kama Taifa" , linalohitaji "Utatuzi wa Pamoja kama Taifa".

Wizara husika ,ikiwemo Wizara ya Katiba na Sheria, lazima zijitanabaishe waziwazi kisera juu ya hili swala na zifanye kazi kwa kushirikiana .


Kama tutaendelea kuchekeana, basi Miaka 20 ijayo, tutakua na taifa linalonuka kinyesi ,Taifa ambalo hatutakua na Vijana wakiume , Taifa lilojaa USHOGA, Mapenzi ya Jinsia Moja n.k .


RAI yangu Kwa WAZAZI, Waleeni watoto, walindeni watoto, msiwaache watoto wajilee.

Viongozi wa Dini, Rudini kwenye misingi ya Kiungu ,Mungu wa Kweli, Muumba Mbingu na Nchi.
Ni Lazima tulinde Tamaduni zetu, ni lazima tulinde Utu wetu , Lazima tulinde vizazi vyetu .



Hapa Duniani tunajinsia mbili tu.

Jinsia ya Kiume... Na Jinsia ya Kike na Hawa pekee ndio waotakiwa kujaamiana kama iliyoamuriwa na Si vingenevyo.
 
Kwa hali inavyoendelea ,mpaka kufika 2030, Taifa litakua na Kizazi ambacho Ushoga ni sehem yake ya Kila siku, Mapenzi ya Jinsia Moja ni suala la kawaida kabisa
Hili suala kiukweli limefikia pabaya, sijui itumike mikakati Gani madhubuti kudhibiti sababu pandikizi tayari wameshatapakaa ndani ya jamii tunazoishi
 
Miaka michache ijayo sijui kama kutakua na wanaume hapa Dar

Nasema haya kwasababu mashoga wanaongezeka kwa kasi sana ushoga umekua ni jambo la kawaida hapa Dar...
Hii kitu nowdays imekuwa kama kuvuta bangi tu na tunajua namna watu wanavilindana kuwaficha polisi kuwafichua watu wanaotumia madawa a kulevya.

Kwahyo ushauri wangu kwenye kila familia kuwepo na kuchunguzana na kukemeana vilivyo kuhusu ushoga kabla ya serikali kuingilia kati, lakini tofauti na hapo ni ujumbe mzuri ndyo ila familia na jamii ndyo kila kitu kinaweza kutokomeza hii ishu kabla ya serikali.
 
Mwananchi?
JamiiForums1349366704.jpg
 
Hoja kama hii yako hutolewa na mashoga au wenye kuvutiwa na mashoga.
Asante sana.

Kuna siku ukipata akili kasome Logic filtration, namna wazungu wanafanikiwa kueneza ajenda zao Afrika. Nataka nikuulize, kwanini Afrika ushoga unakuwa kwa kasi wakati ndio ukanda ambao Ushoga unapingwa vikali?

Ukiweza kinijibu, njoo urudi hapa ukiwa kwenye calm minds, mnakurupuka ndio mana wanawashinda.
 
Kwa hali inavyoendelea ,mpaka kufika 2030, Taifa litakua na Kizazi ambacho Ushoga ni sehem yake ya Kila siku, Mapenzi ya Jinsia Moja ni suala la kawaida kabisa.

Mimi Huwa nashangaa, kwanin Suala hili la Ushoga ,Mapenzi ya Jinsia Moja Kwa ujumla wake LGBT , Serikali Inakua nalo kigugumizi??.Kwanini??.

Kwanini mnahitaji Tamaduni za Mataifa ambayo yameshashindwa, Mataifa ya Kishetani ,ndio yaendeshe Tamaduni za Nchi yetu.??.


Kwanini Mnaruhusu Uingizwaji wa Tamthiliya , na filamu kutoka Nje ambazo Zina maudhui 100% ya kuwafunza watoto wetu kua Ushoga ni sehem ya Maisha yao??

Kwanini Mnaruhusu Mitandao ya Kijamii , ipromote Ushoga na LGBT Kwa ujumla wake ili hali tunafaham Kwa Sasa watoto Wana access na Mitandao hii?.

Waziri wa Habari, Sanaa na Michezo, upo tuuu , unakodoa macho ,huku Kuna filamu na tamthiliya Toka nje, zinaingizwa Kwa makusudi kabisa kuwaharibu watoto wetu ?.


TCRA, mpoo tuuu huku maudhui yanayo promote LGBT yakiendelea kutamalaki mitandaoni ??.



Hili Suala lazima tulibebe kama " Tatizo letu sote kama Taifa" , linalohitaji "Utatuzi wa Pamoja kama Taifa".

Wizara husika ,ikiwemo Wizara ya Katiba na Sheria, lazima zijitanabaishe waziwazi kisera juu ya hili swala na zifanye kazi kwa kushirikiana .


Kama tutaendelea kuchekeana, basi Miaka 20 ijayo, tutakua na taifa linalonuka kinyesi ,Taifa ambalo hatutakua na Vijana wakiume , Taifa lilojaa USHOGA, Mapenzi ya Jinsia Moja n.k .


RAI yangu Kwa WAZAZI, Waleeni watoto, walindeni watoto, msiwaache watoto wajilee.

Viongozi wa Dini, Rudini kwenye misingi ya Kiungu ,Mungu wa Kweli, Muumba Mbingu na Nchi.
Ni Lazima tulinde Tamaduni zetu, ni lazima tulinde Utu wetu , Lazima tulinde vizazi vyetu .



Hapa Duniani tunajinsia mbili tu.

Jinsia ya Kiume... Na Jinsia ya Kike na Hawa pekee ndio waotakiwa kujaamiana kama iliyoamuriwa na Si vingenevyo.
Na miziki yao sahv ndiyo ina promote sana ushog

Ova
 
Back
Top Bottom