Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

Ndiyo nina family friend ni shoga. Aliwahi onekana kwenye shooting ya wimbo wa Snura

Nilikua bodaboda nimeshakua na abiria shoga.

Kwani mkuu unaishi wapi ambapo hakuna mashoga?

Naishi Chitipa hakuna shoga huku. Simjui shoga yeyote personally my entire life. Watu wengi ukuwauliza hawana shoga in their circle. Hao mashoga wako ukiwauliza vizuri walianza ushoga majumbani mwao.

Wewe unawajua mashoga wawili unapoteza muda wako kujadili uamuzi wa mashoga wawili wakati kuna mambo ya msingi yanayogusa jamii nzima kila mmoja wenu? Huoni hayo ni matumizi mabaya ya rasilimali?

Wewe kwa akili yako unaamini mtu anakuwa shoga kwa kukutumia marashi na dawa ya meno?
 
Funny enough, juzi tumekubali kupokea mabilioni ya US kwa kupitia Makamu wake, watu wanajua zile pesa ni za mchezo mchezo TU. Pesa tunataka ila attachment yake hatutaki....
Hawana ubavu wa kukataa, wakate waone watalii wasije ile Znz kama haijageuka magofu ya tumbili kwa kukosa watu,

Hapo bado hatujasema lile fungu wanalopokea kila mwaka kwa ajili ya watu hao hao wanaopigiwa kelele [emoji1]

Yaan kilichofanyika sisi Wadanganyika tumepewa kile tunachotaka kukisikia huku wajanja wanalamba tu Asali kwa raha zao
 
Mzungu aache kupambana na teknolojia ya kuishi Mars aanze kukimbizana na spika za waswahili [emoji23]
Sisi weusi tunajikutaga wakina nani sijui kwenye dunia hii, yaan tunajitutumua hata pasipotutumka,

Hao Wazungu wakiacha kuleta misaada tunakondeana na utapiamlo juu, halafu eti mtu anasema tunaweza kuishi bila wazungu ukizingatia hata nguo iliyomstiri maungo imetoka kwa hao hao wazungu [emoji1]

Hata hivyo, hiyo ripoti haina jipya lolote ilikuja kimkakati kuzima ripoti ya CAG na imefanikiwa, vitu muhimu havijadiliwi watu wanajadili ngono tu,
Huyo dada mtoa ripoti file lake limetoka kumbe na yeye ni blender ya taifa [emoji40]
[emoji851][emoji851][emoji851][emoji851][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787]
 
Blender ya taifa [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
Eeh,
Alinogewa akamchora hadi tattoo, naweza kusema ripoti ya yule mwandishi uchwara ni ya mtu aliyevunjwa moyo kwa mapenzi, akaamua kutoa hasira zake kwenye kiuchuguzi chake kisicho na mbele wala nyuma
 
Mzungu aache kupambana na teknolojia ya kuishi Mars aanze kukimbizana na spika za waswahili [emoji23]
Sisi weusi tunajikutaga wakina nani sijui kwenye dunia hii, yaan tunajitutumua hata pasipotutumka,

Hao Wazungu wakiacha kuleta misaada tunakondeana na utapiamlo juu, halafu eti mtu anasema tunaweza kuishi bila wazungu ukizingatia hata nguo iliyomstiri maungo imetoka kwa hao hao wazungu [emoji1]

Hata hivyo, hiyo ripoti haina jipya lolote ilikuja kimkakati kuzima ripoti ya CAG na imefanikiwa, vitu muhimu havijadiliwi watu wanajadili ngono tu,
Huyo dada mtoa ripoti file lake limetoka kumbe na yeye ni blender ya taifa [emoji40]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbavu zangu mie
 
Hata hivyo mashule ni hatari sana....hasa hizi za jinsia Moja...
Mimi nilisoma uboyzini O level niliona vitu vya kutisha sana [emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huko ndo kiwandaa kabisaa
Shule za jinsia 1, yanayofanyika huko ni hatareeee.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huko ndo kiwandaa kabisaa
Shule za jinsia 1, yanayofanyika huko ni hatareeee.
Mashoga wanakua na hiyo tabia toka utotoni sema wakija shule wanaanza kutafuta kama kuna wengine ndo wanajipendekeza kwa wasio mashoga....
 
Popoma, arguing with you is wasting my precious time. Nonetheless, watu wengi hapa bongo hawana shoga yeyote in their circle. Mnaua nzi kwa nyundo kupambana na ishu non-existent.

Kama unawajua mashoga wawili wewe utakua shoga wa tatu. Everything comes in a set of threes.

Kama unaamini marashi na dawa ya mswaki vinakufanya uwe shoga basi umeprove pasi na shaka jinsi ulivyo popoma mbobezi.

TBS washakanusha madai ya mwakyembe na yule muandishi kanjanja, endeleeni kuamini nyie mapopoma.
Hopefully you know that you're an International Certified Fool with a Mental Case.
 
Naishi Chitipa hakuna shoga huku. Simjui shoga yeyote personally my entire life. Watu wengi ukuwauliza hawana shoga in their circle. Hao mashoga wako ukiwauliza vizuri walianza ushoga majumbani mwao.

Wewe unawajua mashoga wawili unapoteza muda wako kujadili uamuzi wa mashoga wawili wakati kuna mambo ya msingi yanayogusa jamii nzima kila mmoja wenu? Huoni hayo ni matumizi mabaya ya rasilimali?

Wewe kwa akili yako unaamini mtu anakuwa shoga kwa kukutumia marashi na dawa ya meno?
Sasa hivi unahamisha magoli.

Niliungana na wewe kusema marashi na dawa za meno haziwezi kua chanzo. Saa hii unauliza kwa akili zangu
 
Nimeshangaa jinsi hawa wazungu wako serious kulinda mashoga. Huko facebook nimeforward clip mashoga wakilishwa mboko huko uganda nimepigwa ban ya siku 29.
Ndugu zangu watanzania na waafrika kwa jumla hii vita ni kubwa na tuwe tayari kupambana kutunza familia 'baba na mama' kama kitovu cha familia na jamii.
Wenzetu wameshatuamulia kwamba watatujazia mashoga na wasagaji kusudi tusiwe na familia nchi iwe sodoma na gomora.
Lengo lao ni vigumu kujua lakini ni baya sana na ni chukizo la mungu.
Facebook unafanya nn?
 
Back
Top Bottom