Bufa
JF-Expert Member
- Mar 31, 2012
- 12,599
- 26,263
Ndiyo nina family friend ni shoga. Aliwahi onekana kwenye shooting ya wimbo wa Snura
Nilikua bodaboda nimeshakua na abiria shoga.
Kwani mkuu unaishi wapi ambapo hakuna mashoga?
Naishi Chitipa hakuna shoga huku. Simjui shoga yeyote personally my entire life. Watu wengi ukuwauliza hawana shoga in their circle. Hao mashoga wako ukiwauliza vizuri walianza ushoga majumbani mwao.
Wewe unawajua mashoga wawili unapoteza muda wako kujadili uamuzi wa mashoga wawili wakati kuna mambo ya msingi yanayogusa jamii nzima kila mmoja wenu? Huoni hayo ni matumizi mabaya ya rasilimali?
Wewe kwa akili yako unaamini mtu anakuwa shoga kwa kukutumia marashi na dawa ya meno?