Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

Nayaelewa hizo mbinu mbona yalianza muda. Mi huwa siyataji kwanza ila yakiona tu uzi yanakuja na kuanza kunipopoa... Basi nacheka nasema hiiii.... Yamekuja yenyewe. Yenye sifa zao. Yaananza kunigeuzia ili tuonekane wote tupo hivyo mi sababu nayajua wala hayanisumbui nayapopoa tu yasikae karibu nami yananuka. So wewe yakikuita mwanaume hayakubadilishi jinsia kama ambavyo yakinigeuzia mimi hayanibadili niwe kama yao.
Kwani mim nayatajaga basi mkuu?
Yakiniona tu sehemu yanakuja kuniita mwanaume hasa moja lina ID ya kike.
Mimi sioni shida kuitwa mwanaume mkuu yanajichoshaga bure tu.
 
Nlijua tu mtajitokeza. Nimerusha jiwe gizani. Mwanaume huwezi jiita CHAPWA 24 hrs. Yaani wewe unachapwa masaa 24. Unajitangaza kabisa.?????
bro, never, ever shall i be like that in my life. shida ni kwamba madume huwa tunaongea kwa hoja, hoja inaletwa unajibu kwa hoja. tukichangamana na mademu kama wewe mtu akiongea hoja wewe unaleta taarabu. hata hivyo, study inaonyesha watu wengi wanaoongelea sana huo uchafu, ndio huufanya. wengi wetu hata kuusikia tu masikioni huwa tunaona inachafua nafsi hatutaki hat akuusikia kwasababu ni machukizo kwa Mungu.
 
Mwamba huyo hapo anatumia na mkongo lakini ajabu ana I’d ya kike jf forum unafiki mwingi
IMG_2573.png
 
Sasa kama hawa ni wanaume eti! Ukiwa tungi unaweza kujilia ukidhani ni demu
FB_IMG_1665130905099.jpg


 
Back
Top Bottom