togetherTight
Member
- May 21, 2017
- 99
- 100
Wakuu Salaam,
Gazeti la Mwananchi limeandika ukurasa wa mbele kuwa ACT-Wazalendo kimepata viti vinne vya ubunge bila kutaja majimbo yenyewe.
Nauliza ni majimbo gani hayo ambayo ACT kimeshinda?
Au ni yale ya Zanzibar?
Gazeti la Mwananchi limeandika ukurasa wa mbele kuwa ACT-Wazalendo kimepata viti vinne vya ubunge bila kutaja majimbo yenyewe.
Nauliza ni majimbo gani hayo ambayo ACT kimeshinda?
Au ni yale ya Zanzibar?